Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Wanabodi,

Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. Tuiachie "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

Kwanza tuendelee kumuombea Lissu uponyaji wa haraka.
Nimenote katika baadhi ya mitandao ya kijamii, watukumeibuka makundi ya watu kujenga nadharia na wengine hadi kupiga ramli chonganishi kuwa aliyepanga mpango huo ni fulani, nara ni fulani alimradi kunyooshea watu vidole!, hili sio jambo jema hata kidogo!.

Kwa sisi wa imani ya Kikristu, dini yetu inatufundisha, "Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!". Tena kwenye ile kesi ya mwanamke kahaba aliyeshikwa ready handed, Bwana wetu Yesu Kristo akawaambia, "Na asiye na dhambi, awe wa kwanza kutupia jiwe!", hakuna aliyethubutu!.

Vivyo hivyo kwenye hili tukio la Lissu kupigwa risasi, maadam aliyepanga ni binadamu, na watekelezaji ni wanadamu, tangu dunia hii kuumbwa, haijawa kutokea, damu ya mwanadamu ikamwagika bure, kile anayefanya uovu katika dunia hii, lazima atalipwa kwa uovu na malipo ni hapa hapa duniani.

Japo alichofanyiwa Lisu ni uovu mkubwa, mbaya na ukatili wa ajabu, hakuna haja wala sababu ya kuanza kunyoosheana vidole, tuviache vyombo husika kufanya uchunguzi na kutupatia majibu ya kina, na endapo hivyo vyombo husika ndio wahusika na tukio hilo, bado kuna chombo kikubwa kuliko vyote kinachoitwa karma, ambacho ndicho pekee hutoa hukumu ya haki kwa kila kinachofanyika hapa duniani!.

Lissu Get Well Soon, Mungu yupo, kama alivyokusimamia uko hai mpaka sasa, yeye ndiye pekee kupitia karma, atawahukumu watesi wako!.

"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa ...

Paskali
Kwa nini usinyamaze, mbina unakuwa shetani hivi. Unatibua nyongo za watu. Aliyefanya tukio anajulikana ni Issak Maliyamungu, anajulikana fika.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. Tuiachie "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.
wananchi wamechoka na matukio yanayotokea nchini na wana haki ya kuhoji na ikibidi kuhukumu pale majibu ya msingi yanapokosekana. hatuwezi kusubiria karma (if there's...) kuja kutoa hukumu, ni sawa na duwa la kuku...mwewe siku zote haathiriki na ndo anazidi kuchukua vifaranga! nafikiri ni muda mwafaka kwa wananchi kujilinda wenyewe huku wakitambua serikali ndo adui yao namba 1.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. Tuiachie "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

Kwanza tuendelee kumuombea Lissu uponyaji wa haraka.
Nimenote katika baadhi ya mitandao ya kijamii, watukumeibuka makundi ya watu kujenga nadharia na wengine hadi kupiga ramli chonganishi kuwa aliyepanga mpango huo ni fulani, nara ni fulani alimradi kunyooshea watu vidole!, hili sio jambo jema hata kidogo!.

Kwa sisi wa imani ya Kikristu, dini yetu inatufundisha, "Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!". Tena kwenye ile kesi ya mwanamke kahaba aliyeshikwa ready handed, Bwana wetu Yesu Kristo akawaambia, "Na asiye na dhambi, awe wa kwanza kutupia jiwe!", hakuna aliyethubutu!.

Vivyo hivyo kwenye hili tukio la Lissu kupigwa risasi, maadam aliyepanga ni binadamu, na watekelezaji ni wanadamu, tangu dunia hii kuumbwa, haijawa kutokea, damu ya mwanadamu ikamwagika bure, kile anayefanya uovu katika dunia hii, lazima atalipwa kwa uovu na malipo ni hapa hapa duniani.

Japo alichofanyiwa Lisu ni uovu mkubwa, mbaya na ukatili wa ajabu, hakuna haja wala sababu ya kuanza kunyoosheana vidole, tuviache vyombo husika kufanya uchunguzi na kutupatia majibu ya kina, na endapo hivyo vyombo husika ndio wahusika na tukio hilo, bado kuna chombo kikubwa kuliko vyote kinachoitwa karma, ambacho ndicho pekee hutoa hukumu ya haki kwa kila kinachofanyika hapa duniani!.

Lissu Get Well Soon, Mungu yupo, kama alivyokusimamia uko hai mpaka sasa, yeye ndiye pekee kupitia karma, atawahukumu watesi wako!.

"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa ...

Paskali
Pasco uliwahi mno kukimbilia verified ID kwa sifa ya siku moja na sasa inakugharimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhusika wa ufyatuaji RISASI anajulikana , siku ya tukio hakuwepo kituo chake cha kazi, baada ya tukio alikimbilia Morogoro, tunajua anavyokingiwa kifua lakini muda utaamua. Nimalize kwa kusema sina muda wa kuombea wale wanaotaka kuombewa. Nitamuombea Lissu kwa sasa apone haraka.
hilo jina la PhD unalidhalilisha jiite zero kwa sababu umeandika pumba
 
Mhusika wa ufyatuaji RISASI anajulikana , siku ya tukio hakuwepo kituo chake cha kazi, baada ya tukio alikimbilia Morogoro, tunajua anavyokingiwa kifua lakini muda utaamua. Nimalize kwa kusema sina muda wa kuombea wale wanaotaka kuombewa. Nitamuombea Lissu kwa sasa apone haraka.
Kama ni hivyo tuambie ni Mani, au nenda kavisaidie vyombo VYA kimataifa kumweka nguvuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Paskali sisi hatuhukumu, bali tunamhukumu aliyemhukumu Tundu Lissu kwa kauli zake zilizo juu ya sheria zilizopelekea ndugu yetu kukutwa na mabaya haya. Sisi tunatimiza tuu maandiko
 
Paskali,si kila aliyefanya uovu duniani amelipwa hapa hapa.Mfano mzuri ni Bush na Blair wanadunda kwa raha zao baada ya kusababisha maumivu na vifo kwa namilioni ya watu Iraq Afghanistan,Libya nk

Pili kumbuka ile kanuni kubwa ya upelelezi ya Sherlock Holmes;-
" Kati uchunguzi ukiondoa vyote visivyohusika kilichobaki ndio muhusika"

Kwa suala la Tundu ukiondoa washukiwa ambao hawana uwezo wa kutekeleza shambulio lile aliyebaki mwenye uwezo ndiye muhusika
Suala lipo wazi mno
 
Kuna vitu vinajionyesha wazi siku hizi. Kwa waliobahatika kuangalia matukio mawali ya kukabidhiwa ripoti ya almasi na tanzanite na hii ya kumwapisha jaji mkuu sikuwaona viongozj wa dini za kikristo aidha akiyambulishwa kama wale mashehe au kuwepo bila kutambulishwa. Je, walisusia mwaliko au hawakualikwa? Au mie nina uoni hafifu? Nisahihisheni na au nipeni majibu.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. Tuiachie "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

Kwanza tuendelee kumuombea Lissu uponyaji wa haraka.
Nimenote katika baadhi ya mitandao ya kijamii, watukumeibuka makundi ya watu kujenga nadharia na wengine hadi kupiga ramli chonganishi kuwa aliyepanga mpango huo ni fulani, nara ni fulani alimradi kunyooshea watu vidole!, hili sio jambo jema hata kidogo!.

Kwa sisi wa imani ya Kikristu, dini yetu inatufundisha, "Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!". Tena kwenye ile kesi ya mwanamke kahaba aliyeshikwa ready handed, Bwana wetu Yesu Kristo akawaambia, "Na asiye na dhambi, awe wa kwanza kutupia jiwe!", hakuna aliyethubutu!.

Vivyo hivyo kwenye hili tukio la Lissu kupigwa risasi, maadam aliyepanga ni binadamu, na watekelezaji ni wanadamu, tangu dunia hii kuumbwa, haijawa kutokea, damu ya mwanadamu ikamwagika bure, kile anayefanya uovu katika dunia hii, lazima atalipwa kwa uovu na malipo ni hapa hapa duniani.

Japo alichofanyiwa Lisu ni uovu mkubwa, mbaya na ukatili wa ajabu, hakuna haja wala sababu ya kuanza kunyoosheana vidole, tuviache vyombo husika kufanya uchunguzi na kutupatia majibu ya kina, na endapo hivyo vyombo husika ndio wahusika na tukio hilo, bado kuna chombo kikubwa kuliko vyote kinachoitwa karma, ambacho ndicho pekee hutoa hukumu ya haki kwa kila kinachofanyika hapa duniani!.

Lissu Get Well Soon, Mungu yupo, kama alivyokusimamia uko hai mpaka sasa, yeye ndiye pekee kupitia karma, atawahukumu watesi wako!.

"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa ...

Paskali

kar·ma
ˈkärmə/
noun
noun: karma
  1. (in Hinduism and Buddhism) the sum of a person's actions in this and previous states of existence, viewed as deciding their fate in future existences.
    • informal
      destiny or fate, following as effect from cause.

  2. hii ni ibada ya miungu ya uongo achana nayo itakupoteza kabisa. it's idolatry.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. Tuiachie "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

Kwanza tuendelee kumuombea Lissu uponyaji wa haraka.
Nimenote katika baadhi ya mitandao ya kijamii, watukumeibuka makundi ya watu kujenga nadharia na wengine hadi kupiga ramli chonganishi kuwa aliyepanga mpango huo ni fulani, nara ni fulani alimradi kunyooshea watu vidole!, hili sio jambo jema hata kidogo!.

Kwa sisi wa imani ya Kikristu, dini yetu inatufundisha, "Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!". Tena kwenye ile kesi ya mwanamke kahaba aliyeshikwa ready handed, Bwana wetu Yesu Kristo akawaambia, "Na asiye na dhambi, awe wa kwanza kutupia jiwe!", hakuna aliyethubutu!.

Vivyo hivyo kwenye hili tukio la Lissu kupigwa risasi, maadam aliyepanga ni binadamu, na watekelezaji ni wanadamu, tangu dunia hii kuumbwa, haijawa kutokea, damu ya mwanadamu ikamwagika bure, kile anayefanya uovu katika dunia hii, lazima atalipwa kwa uovu na malipo ni hapa hapa duniani.

Japo alichofanyiwa Lisu ni uovu mkubwa, mbaya na ukatili wa ajabu, hakuna haja wala sababu ya kuanza kunyoosheana vidole, tuviache vyombo husika kufanya uchunguzi na kutupatia majibu ya kina, na endapo hivyo vyombo husika ndio wahusika na tukio hilo, bado kuna chombo kikubwa kuliko vyote kinachoitwa karma, ambacho ndicho pekee hutoa hukumu ya haki kwa kila kinachofanyika hapa duniani!.

Lissu Get Well Soon, Mungu yupo, kama alivyokusimamia uko hai mpaka sasa, yeye ndiye pekee kupitia karma, atawahukumu watesi wako!.

"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa ...

Paskali
Hivi ndugu yangu paskali,Mtu akisema ukweli...amehukumu?
Waliompiga TL Risasi ndo walimhukumu?.
Mimi na wewe ni wakristu....Yesu alihukumiwa kwa kusema ukweli,tena kwa kuitwa mchochezi.
Leo tunaposoma historia ya ukristu,Tunatambua kuwa wayahudi ndo walikuwa wachochezi kwa kumsingizia yesu makosa ili lengo lao la kumuua Yesu itimie.Vile vile wayahudi wa tanzania ndo walianza kumsingizia TL Kuwa ni mchochezi ili lengo lao la kumuua litimie,wakampiga TL Risasi..
 
Mhusika wa ufyatuaji RISASI anajulikana , siku ya tukio hakuwepo kituo chake cha kazi, baada ya tukio alikimbilia Morogoro, tunajua anavyokingiwa kifua lakini muda utaamua. Nimalize kwa kusema sina muda wa kuombea wale wanaotaka kuombewa. Nitamuombea Lissu kwa sasa apone haraka.
Ila pia kwa jicho la tatu unaweza sema pia yaliyomkuta Lissu ni KARMA, yategemea uko upande gani!!
 
Wanabodi,
karma.jpg

Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. Tuiachie "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

Kwanza tuendelee kumuombea Lissu uponyaji wa haraka.
Nimenote katika baadhi ya mitandao ya kijamii, watukumeibuka makundi ya watu kujenga nadharia na wengine hadi kupiga ramli chonganishi kuwa aliyepanga mpango huo ni fulani, nara ni fulani alimradi kunyooshea watu vidole!, hili sio jambo jema hata kidogo!.

Kwa sisi wa imani ya Kikristu, dini yetu inatufundisha, "Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!". Tena kwenye ile kesi ya mwanamke kahaba aliyeshikwa ready handed, Bwana wetu Yesu Kristo akawaambia, "Na asiye na dhambi, awe wa kwanza kutupia jiwe!", hakuna aliyethubutu!.

Vivyo hivyo kwenye hili tukio la Lissu kupigwa risasi, maadam aliyepanga ni binadamu, na watekelezaji ni wanadamu, tangu dunia hii kuumbwa, haijawa kutokea, damu ya mwanadamu ikamwagika bure, kile anayefanya uovu katika dunia hii, lazima atalipwa kwa uovu na malipo ni hapa hapa duniani.

Japo alichofanyiwa Lisu ni uovu mkubwa, mbaya na ukatili wa ajabu, hakuna haja wala sababu ya kuanza kunyoosheana vidole, tuviache vyombo husika kufanya uchunguzi na kutupatia majibu ya kina, na endapo hivyo vyombo husika ndio wahusika na tukio hilo, bado kuna chombo kikubwa kuliko vyote kinachoitwa karma, ambacho ndicho pekee hutoa hukumu ya haki kwa kila kinachofanyika hapa duniani!.

Lissu Get Well Soon, Mungu yupo, kama alivyokusimamia uko hai mpaka sasa, yeye ndiye pekee kupitia karma, atawahukumu watesi wako!.

"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa ...

Paskali
Kaka hapa leo tegemea nothing BUT povu kuelekezwa upande wako!
 
Wanabodi,
karma.jpg

Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. Tuiachie "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

Kwanza tuendelee kumuombea Lissu uponyaji wa haraka.
Nimenote katika baadhi ya mitandao ya kijamii, watukumeibuka makundi ya watu kujenga nadharia na wengine hadi kupiga ramli chonganishi kuwa aliyepanga mpango huo ni fulani, nara ni fulani alimradi kunyooshea watu vidole!, hili sio jambo jema hata kidogo!.

Kwa sisi wa imani ya Kikristu, dini yetu inatufundisha, "Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!". Tena kwenye ile kesi ya mwanamke kahaba aliyeshikwa ready handed, Bwana wetu Yesu Kristo akawaambia, "Na asiye na dhambi, awe wa kwanza kutupia jiwe!", hakuna aliyethubutu!.

Vivyo hivyo kwenye hili tukio la Lissu kupigwa risasi, maadam aliyepanga ni binadamu, na watekelezaji ni wanadamu, tangu dunia hii kuumbwa, haijawa kutokea, damu ya mwanadamu ikamwagika bure, kile anayefanya uovu katika dunia hii, lazima atalipwa kwa uovu na malipo ni hapa hapa duniani.

Japo alichofanyiwa Lisu ni uovu mkubwa, mbaya na ukatili wa ajabu, hakuna haja wala sababu ya kuanza kunyoosheana vidole, tuviache vyombo husika kufanya uchunguzi na kutupatia majibu ya kina, na endapo hivyo vyombo husika ndio wahusika na tukio hilo, bado kuna chombo kikubwa kuliko vyote kinachoitwa karma, ambacho ndicho pekee hutoa hukumu ya haki kwa kila kinachofanyika hapa duniani!.

Lissu Get Well Soon, Mungu yupo, kama alivyokusimamia uko hai mpaka sasa, yeye ndiye pekee kupitia karma, atawahukumu watesi wako!.

"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa ...

Paskali
Tunajua unamtetea msukuma mwenzio
 
Mhusika wa ufyatuaji RISASI anajulikana , siku ya tukio hakuwepo kituo chake cha kazi, baada ya tukio alikimbilia Morogoro, tunajua anavyokingiwa kifua lakini muda utaamua. Nimalize kwa kusema sina muda wa kuombea wale wanaotaka kuombewa. Nitamuombea Lissu kwa sasa apone haraka.
Mkuu tuombee basi na sie wengine maana wewe maombi yako ukiomba ndiyo unajibiwa na Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mayalla, umejitahidi kutoa ushauri, lkn ninakukumbusha kuepuka kuelezea habari ya Lissu kwa kipindi hiki ambacho tuna maumivu Moyoni! Tunalitizama janga lililompata Lissu nakuliona dhahili km tuyaonavyo mawingu angani na kutabiri ama Mvua inataka kunyesha au la!!
 
Back
Top Bottom