Tuacheni ujinga, unafiki na mihemko. Afande Sele aachwe asisumbuliwe kabisa

Tuacheni ujinga, unafiki na mihemko. Afande Sele aachwe asisumbuliwe kabisa

Kuna video jamaa mwingine kapost Whatsapp amenukuu aya anasema Waislamu wamsamehe Afande Sele kashaomba msamaha, mashehe wasiwe wakali waseme na watu kwa upole.

A very touching and compassionate side of Islam. Nimeipenda.

Hapo ndipo utajua Uislamu una sura tofauti.
Shida ipo kwenye mapokeo yao waliyopata kutoka kwa Walimu wao
 
Yaah...! Ni waraka wenye HEKIMA...
Time will tell...
Katiba inasema kuna uhuru wa kuabudu. Afande Sele alitoa audio moja ambayo haikuwa na maadili au maneno mazuri. Alimtukana mungu.

Kuna watu wanataka ifanya issue.mimi naamini kwa uwezo wake mungu huyo anaweza jipigania. Mungu mkuu hahitaji jeshi la wanadamu kumpa support.

But zaidi sikusikia akimtaja mungu wa mtu yeyote. Why sasa muanze ifanya kuwa ni issue? Ni kukosa kazi,kutokuwa na elimu,kutokuwa na ufahamu na uwezo wa kufikiri.

Yeye anaamini mungu si kitu na ametoa lugha ya kuudhi kwa mungu.wewe unapata wapi ujasiri wa kusema kamtukana mungu wako? Na je mungu akiitwa aje atoe ushahidi ameumizwa kiasi gani na maneno ya afande sele atakuja?

Lakini ikiwa zikapita siku hizo zilizotamkwa na asipokufa je itamanisha huyo mungu hana lolote? Na je akifa ndani ya siku hizo itaaminisha wengine kuwa mungu alichukia?kuna tofauti gani ukagombana na jirani mchawi akasema kesho hufiki na usiku ukafa?je naye ni mungu?

Na sisi tumemkufuru mara ngapi kwa kutenda dhambi ? Afande Sele hajawah kuwa na akili timamu toka miaka mingi imepita wenye akili wala hatuhitaji kuhangaika naye. Zaidi mna m promote tu.

But simuungi mkono kwa lugha chafu aliyotumia. Mimi naamini Mungu wangu ana uwezo mkubwa na atajionesha uwezo wake. Si lazima mpaka afande sele amtambue. Hana haja. Na walio karibu naye wamuase kuacha tumia vitu vinavyomchanganya akili.
 
Hata nikiunganishwa, hilo halitathibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
Hivyo, ambao tunaamini kuwa Mwenye Enzi Mungu alisikia kilio chetu, na kuamua kuliondoa JIWE, wewe haumtambui?
 
Katiba inasema kuna uhuru wa kuabudu. Afande Sele alitoa audio moja ambayo haikuwa na maadili au maneno mazuri. Alimtukana mungu.

Kuna watu wanataka ifanya issue.mimi naamini kwa uwezo wake mungu huyo anaweza jipigania. Mungu mkuu hahitaji jeshi la wanadamu kumpa support.

But zaidi sikusikia akimtaja mungu wa mtu yeyote. Why sasa muanze ifanya kuwa ni issue? Ni kukosa kazi,kutokuwa na elimu,kutokuwa na ufahamu na uwezo wa kufikiri.

Yeye anaamini mungu si kitu na ametoa lugha ya kuudhi kwa mungu.wewe unapata wapi ujasiri wa kusema kamtukana mungu wako? Na je mungu akiitwa aje atoe ushahidi ameumizwa kiasi gani na maneno ya afande sele atakuja?

Lakini ikiwa zikapita siku hizo zilizotamkwa na asipokufa je itamanisha huyo mungu hana lolote? Na je akifa ndani ya siku hizo itaaminisha wengine kuwa mungu alichukia?kuna tofauti gani ukagombana na jirani mchawi akasema kesho hufiki na usiku ukafa?je naye ni mungu?

Na sisi tumemkufuru mara ngapi kwa kutenda dhambi ? Afande Sele hajawah kuwa na akili timamu toka miaka mingi imepita wenye akili wala hatuhitaji kuhangaika naye. Zaidi mna m promote tu.

But simuungi mkono kwa lugha chafu aliyotumia. Mimi naamini Mungu wangu ana uwezo mkubwa na atajionesha uwezo wake. Si lazima mpaka afande sele amtambue. Hana haja. Na walio karibu naye wamuase kuacha tumia vitu vinavyomchanganya akili.
Kwanini wanatumia nguvu wakati yule bwana anahitaji kusaidiwa na sio kuhukumiwa?
 
Kwanini wanatumia nguvu wakati yule bwana anahitaji kusaidiwa na sio kuhukumiwa?
Ni kukosa Busara,Hekima na Roho ya Mungu. Huwezi mhukumu mtu kama afande sele kwa yale maneno.kuwa afe. Afe kwa lipi?
 
Kama afande sele amekosea basi hao masheikh wamekosea zaidi
Nina imani kuwa, Sele angemtukana yule MTUME "M", waalaaaaa jamaa wasingesubiri… eti mpaka Mwenyezi Mungu amuadhibu! Wangeshamuadhibu! Jamaa hawana utani kwa MTUME wao!
 
Yote kwa yote watwana watasema ganja inam-drive
 
Anayelia lia kwamba Seleman amemtukana Mungu basi ni fala sana. Unachukuaje maamuzi ya kumtukana na kumchukia sele kisa amesema vibaya kuhusu Mungu ilihali unajua kila MTU atauchukua mzigo wake mwenyewe? Afadhali Kwa wale wanaomsikitikia na si hawa wapumbavu wanaomchukia na kumtukana ilihali Mungu mwenyewe anamsikia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi issue ya Mungu imeisha ila jeshi linamuhitaji atoe maelezo kwanini ametukana matusi ya nguoni na kutuma hiyo clip mitandaoni
 
Basi issue ya Mungu imeisha ila jeshi linamuhitaji atoe maelezo kwanini ametukana matusi ya nguoni na kutuma hiyo clip mitandaoni
Kwa matusi kwa kweli sheria ifuate mkondo wake. Na kama kuna kifungo afungwe. Asiachwe kwa kosa la kutukana na kusambaza matusi kwenye jamii.
 
Wewe bWege sana. Hivi hata hampendi kutumia akili? Kuna watu wanaabudu mizimu. Inaonekana? Unadhani Mungu wa Waislamu ni sawa na wa Wakristo? Hujui hata Dini yako. Ni maamuma tu.
Amesema
“Huyo Mungu munaye munayemuomba watanzania kilasiku ni.....”

Kama utakumbuka Mungu tuliyemuomba sisi pale 'Karimjee Posta' ni tulikuwa na imani tatu zilifanya mahombi
*Islam
*Chistian
*Budha

_Kwa mantiki hii katukana Mungu wa waislam, Wakristo na Budha...ndio maombi tuliofanya pale kwa ujumla...Si pale tu kuna mahombi Mengi.

Unapoongea uwe na thinking.

Ana makosa ya
1)Kuumiza kiisia imani zingine ambazo nimeeleza juu hapo
2)makosa ya kimtatandao (kutukana)
3)Udhalilishaji wa wanawake
 
Amesema
“Huyo Mungu munaye munayemuomba watanzania kilasiku ni.....”

Kama utakumbuka Mungu tuliyemuomba sisi pale 'Karimjee Posta' ni tulikuwa na imani tatu zilifanya mahombi
*Islam
*Chistian
*Budha

_Kwa mantiki hii katukana Mungu wa waislam, Wakristo na Budha...ndio maombi tuliofanya pale kwa ujumla...Si pale tu kuna mahombi Mengi.

Unapoongea uwe na thinking.

Ana makosa ya
1)Kuumiza kiisia imani zingine ambazo nimeeleza juu hapo
2)makosa ya kimtatandao (kutukana)
3)Udhalilishaji wa wanawake
Watanzania ni nyie tu mliokusanyika huko Karimjee? Wewe unapoongea utumie akili Watanzania ni wangapi na wanapatikana wapi?

Unatakiwa uwe na akili kuelewa. Watanzania ni wengi Tanzania ina watu zaidi ya milion 50 kule mwanza wana mungu wao wanamwabudu mwanamke.

Na wengine wengi wana miungu yao ya jadi,mizimu ,majini n.k haijawaondolea utanzania. Wewe uliambiwa watanzania wana Dini tatu tu? We una akili kweli? Kuna dini zaidi ya 200 nchini
 
Ambaye ni yupi?ili tupate uhakika. Alishawahi enda msikitini pia. Bahati mbaya wewe unaweka hisia na mihemko.mimi naongea kama mwenye akili,msomi. Unamjulia wapi Mungu wa Dr. Magufuli? Tupe uthibitisho wake.
--Ni yule Mungu mmoja asiye na mama wala baba wala mtoto.

--Ni yule Mungu mmoja ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa.
--Wala hana mshirika.

Ukumbuke kuwa wote kwa pamoja,, wakristo na waislam wote wanaamini Mungu ambaye haonekani

Sasa wewe unayeabudu Jua na Mtume wako ni bangi wala sikulaumu..

Endelea kuabudu unachokiamini,,
Ila wacha kutetea upuuzi.


Hivi halafu wewe una usomi gani bwege tu wewe?

Kupata vyeti kwa kushikishwa ukuta na lecturers ndy unajiita msomi.?
 
Back
Top Bottom