Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,569
Sasa hapa umepinga hoja yangu au umeisapoti na kuzidishia nyama zaidi, kweli ukiwa mbali na Mungu hadi akili inapungua.Watanzania ni nyie tu mliokusanyika huko Karimjee? Wewe unapoongea utumie akili Watanzania ni wangapi na wanapatikana wapi?
Unatakiwa uwe na akili kuelewa. Watanzania ni wengi Tanzania ina watu zaidi ya milion 50 kule mwanza wana mungu wao wanamwabudu mwanamke.
Na wengine wengi wana miungu yao ya jadi,mizimu ,majini n.k haijawaondolea utanzania. Wewe uliambiwa watanzania wana Dini tatu tu? We una akili kweli? Kuna dini zaidi ya 200 nchini
Kama watanzania wanadini 1000+ na kilamtu anaomba kwa imani yake jibu ni kadhihaki imani zote hizo 1000+...mzizi uliyopo hao ni watanzania na yeye kasema Mungu wa watanzania.