Tuacheni unafiki, Le Mutuz alikuwa ni mtu wa ovyo na mfano mbovu kwa vijana

Tuacheni unafiki, Le Mutuz alikuwa ni mtu wa ovyo na mfano mbovu kwa vijana

Namjua Lemutuz wakati anaishi New York ingawaje hatukuwa karibu sana, very nice guy, mambo ya familia hatujui na sote tuna matatizo yetu, alipenda kula shangwe zake tuu, pombe au mademu 90% humu tunahusika na haikufanyi uwe mtu wa ovyo, na idea ya mfano mbovu kwa vijana sijui maana yake nini, mnashindwa kuwafundisha vijana wenu leo mnamsingizia Lemutuz, wapuuzi sana nyie na watoto wenu wote
Nakazia
 
Lemutuz hakuwa mnywa pombe. Hapo umedanganya. Kuhusu mademu ni kweli alipenda. Hata nje ya Instagram alikuwa mtongozaji sana wa vibinti vidogo. Kwa upande wangu sina ubaya naye kwasababu maisha yake hayakuwa na athari yoyote kwa taifa. Alikuwa mtu poa tu hana noma na mtu.
Duh!
Yaani unakiri kabisa kuwa alikuwa Fataki, akinyandua vibinti vidogo kama kawa, halafu tena unasema hakuwa na athari yoyote kwa taifa.. Contradiction!
 
Tukiwafata ndugu zako na wale wanaokujua vizuri tukawauliza kuhusu wewe, watasema unaishi kama malaika? Au kwasababu haufahamiki basi unapata mafasi ya kufungua hilo kopo lako juu ya maisha ya watu wengine?

Ushenzi kabisa huu, aliyekuzaa kapata hasara sana.
Nini shida, sio kwa kupanick huku.
 
Alikuwa wa ovyo Kwa vigezo vya nani?
Kwa vigezo vyako binafsi?
Au Kwa imani yako ?


Why tunapenda Ku judge watu Kwa kupitia vigezo vyetu ambavyo sio universal??

Umalaya unaweza thibitisha?au picha za Instagram na warembo ndo uthibitisho?
Pombe?lini ulimuona akinywa? Au picha Akiwa wavuvi ndo ushahidi wako??


Why mnapenda kuishi kinafiki?kujifanya watu wema Kwa nje huku mna madhambi ya kutisha Kwa Siri huku mnahukumu watu Kwa picha za mitandaoni?
Hili nalo mkaliangalie!
 
Who are you to judge the life i live?
i know i'm not perfect and i don't live to be,but before you start pointing fingers to others,make sure your hands are clean,

Bob Marley.
 
Mi siwezi kumjaji vyovyote na maisha yake, ila kwangu alikuwa intertainer flan amazing!

Halafu kambebez kalivyoitwa kutoa neno wakati wa kaga sasa 😆😂😂😂!
 
Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.

Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);

1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)

Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.

Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.

UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Mimi na ww tumemjua lemutuz mitandaoni tu sidhani kama tunamafahamu vizur, nenda kwenye account ya edo kumwembe instagram kasome kamuelezea kidogo.

Kasema kuna lemutuz watatu ila mimi na ww tunamjua lemutuz mmoja huyu wa instgram
 
Aibu yake mtoa mada. Shida ya wengi humu hujifanya wanawajua watu sana. Kumbe wanaona mitandaoni. Ambako huko ni fake life, ikitokea kitu anamuongelea mtu kwa kitu asichokijua.
Le mbebez aliishi maisha yake, kayamaliza. Kila mtu asubirie safari yake.
 
Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.

Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);

1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)

Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.

Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.

UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Mkuu unq guts kwa kweli.
Loh
 
Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.

Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);

1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)

Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.

Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.

UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Halafu kumbe humujui ungejua alikuwa hatumii pombe usingeandika hivyo
 
Hahahahahah
Young Killer aliwahi kuimba bongo ukifanikiwa unachukiwa waziwazi
Kama uliwahi kusoma huu Uzi halafu bado unamdharau Lemutuz basi inatakiwa uwe umehaso kuliko yeye na utupe evidence...

[/b]
 
Mtoa mada nilikuona mtu mwenye maana tokea niwepo jamiiforum ila kuanzia leo wewe mpika chai tu kwenye boti
 
kuna mtu humu alishawahi sema shati la le mutuz unaweza kuligeuza turubai la fuso, sasa imagine alikua anatukanwa hivi kwanini asjtumie muda wake kupoteza stress? R.I.P Le Kichwa Kopoz.
 
Kwanza, ninapenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, washikaji na wanaJF walioguswa na kifo cha William Malecella. Mungu awape faraja katika kipindi hichi kigumu cha majonzi.

Sasa, twende moja kwa moia kwenye mada, kupitia mada hii, bila kuficha wala kumumunya maneno, William Malecela (Le mutuz) alijulikana na kufahamika zaidi kama mtu wa ovyo kwa sifa hizi (sifa ambazo alikuwa akijivunia nazo hadharani mitandaoni na mitaani);

1. Mpenda sifa popote.
2. Mpenda pombe.
3. Mpenda umalaya.
4. Mpenda maisha ya kujirusha na kuponda raha.
5. Mpenda kujipendekeza kwa watu maarufu (chawa)

Le Mutuz japokuwa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 50, akijaliwa kuwa na watoto, akipambana kwa namna mbalimbali kutafuta kipato, huku akitokea kwenye familia ya mzee Malecela yenye heshima kubwa sana kisiasa na kijamii ndani na nje ya Tanzania, lakini mienendo na tabia za Le mutuz zilikuwa zenye kutia aibu na kinyaa, akiishi kama kijana aliyepevuka juzi, aliyekosa malezi yoyote ya kijamii na kidini.

Japokuwa hayo yalikuwa ni maisha yake binafsi (sio busara sana kuyahukumu) lakini ni vyema kusema ukweli na kuweka angalizo muhimu kwa vijana ambao ndio wamejaa mtandaoni kuwa makini na kukwepa kuiga au kujifunza kupitia maisha binafsi ya Le mutuz ambayo yalijaa anasa na uchafu mwingi.

UKWELI USEMWE KIKAMILIFU.
Maisha ni kuchagua masee., mi nahis jamaa naye alichagua kuishi maisha aliyoyaishi. Kuiacha USA na kuja kuishi maisha aliyoishi si mchezo masee. Hata wew kuna maisha uliyoyachagua na kwa wengine yawezakuwa hayawapendezi.
 
Back
Top Bottom