Tuacheni utani jamani, katiba inayopendekezwa imewajali wasanii!


Usipomjua mtu ni hatari sana.Nimekwambia hivi IQ yako =-ve.in short haisomi.Huwezi hata nukta kujibishana nami.

Wapumbavu kama nyie sababu ya akili za kushikishwa na majibu ya kuandikiwa ukadhani wote wako sawa nawe.

Pole sana ila nakuonea huruma japo ungekuwa mjinga ungeweza japo kupata elimu ndogo unayopewa na watu wenye akili na maamuzi ya binafsi kama sisi,lakini sababu ni MPUMBAVU huwezi kuvuna chochote.

Walimu wangu waliniasa ukiona kichaa kachukua nguo zako basi chutama usimkimbize,hivyo siwezi jibishana nawe.

Na mwisho kila siku kumbuka katika maisha KIBAYA KINAJIEMBEZA hakiuziki kamwe na KIZURI CHAJIUZA,ni sawa basi kati ya KATIBA ya MAFISADI na ya KATIBA ya WARIOBA,Katiba ya WARIOBA inajiuza,lakini ya Chenge pamoja na kujitembeza bado haiuziki.
Kaendelee kuvuta:bange::bange::bange:
 


Wee Mbure unaishi mapangoni,hujielewi sasa ulitaka iweje???ulifikiri haki za wasanii zisipotajwa kwenye KAtiba inayopendekezwa zitatajwa wapi kwa akili zako fupi,we kenge unayewaza kula mayai usiyojua yanatoka wapi?usipende sana kudandia mada na kuchafua hali ya hewa umetumwa wewe sio bure maana hiyo sio akili yako uko ka shetani vile.
 
we kweli punga kweli, yani mambo yako binafsi unataka yawekwe kwenye hiYo katiba hivi una akili timamu wewe?? Au umelewa gongo?

Hivi mtaa una nyumba moja tu? Kuwa na taa za barabarani kwenye barabara ya mtaa ni mambo binafsi? Kama kauli yangu inaonesha upunguani, basi ata hilo la wasanii ni la kilevi. Kwa sababu katiba ni sheria mama, sheria nyingine zinatokana na katiba. Kama katiba inataka haki kutendeka kwa kila mwananchi basi kunatungwa sheria kwa ajili ya haki kwa maeneo tofauti. Wasanii wako kwenye sheria ya 'copyright and neighbourhood Act'.

Ambaye haijui hii Act ya copyright and neighbourhood Act' ndio amelewa, hana akili timamu, punga!!!
 


Tetty una mdomo kama bata unaomeza kila kilicho mbele yake, hapa naona unajaribu kumeza moto!! Ha ha ha pole sana ni bora ukalale kuliko kuendelea kuchafua jamvi si muda mrefu utahukumia, aiseee jitambue bhana usiwe mburula wee utakua unakula cha Arusha sio bure aisee.
 


IBARA YA 59 YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA:

59.-(1) Kila mtu atakuwa na uhuru wa kushiriki kwenye mambo yanayoendeleza na kukuza sanaa, taaluma, ubunifu na ugunduzi.
(2) Kila mtu atakuwa na uhuru wa kujifunza, kufundisha, kutafiti na kueneza matumizi ya matokeo ya utafiti kulingana na kanuni za kitaaluma na za kiutafiti.
(3) Serikali itakuza na kuendeleza utafiti, ubunifu na ugunduzi katika sanaa, sayansi na teknolojia kwa kutunga sheria ambazo:
(a) zitalinda hakimiliki na hataza na haki za wabunifu, watafiti na wasanii;
(b) zitawezesha taasisi za elimu na za utafiti kutumia ugunduzi wao kwa manufaa ya Taifa;
(c) zitasimamia uhamishaji wa sayansi na teknolojia;
(d) zitawezesha kukuza rasilimali watu kwenye nyanja za kitaaluma, sayansi, teknolojia na ubunifu;
(e) zitalinda na kusimamia ubora wa taaluma, utafiti na matumizi ya ugunduzi na ubunifu; na
(f) zitafafanua mambo mengine yanayohusu hakimiliki na hataza.


MAONI:

1. Nia njema ipo;

2. Tatizo ni watawala, tunazo sheria kama hizi:

THE COPYRIGHT AND NEIGHBOURING RIGHTS ACT, 1999 (NO. 7 OF 1999) na kanuni zake ( THE COPYRIGHT AND NEIGHBOURING RIGHTS (REGISTRATION OF MEMBERS AND THEIR WORKS) REGULATIONS); The Patents Act No.1, 1987, as amended by Acts Nos. 13 and 18 of1991; The Trade and Service Marks Act No. 12 of 1986; The Fair Competition Act, 2003 (FCC); ETC.

JE, SHERIA HIZO ZIMEFANYA NINI HADI SASA?

KATIBA ITUPATIE MWONGOZO IMARA, LKN WATAWALA WAZEMBE HAWATAWEZA KUBADILISHA MAMBO HATA KAMA YATAKUWA MAZURI CHINI YA SHERIA.
.
 

UVCCM na wanaCCM mmezoea sana kutukana watu.PUMBAVU kweli wewe.Kama huna hoja usitukane watu.Wewe Mdomo wako uko kama nini?Kama wazazi wako hawakukufunda mdogo wangu basi subiri soon DUNIA itakufundisha ADABU.

Mwambie aliyekutuma kutukana watu kwangu ameshindwa akutumme kwingine.

Unayejua maana ya chakula cha ARUSHA basi wewe niyo umekula ndiyo maana mdomo wako hauna tofauti na CHOO.Mdomo wako unanuka MATUSI tu ndiyo uanyoyajua.Tafadhali nisingependa kujibiwa na MPUMBAVU kama wewe tena na usitegemee nitakujibu,sababu huna tofauti na MCHUNGAJI WENU GWAJIMA.Kuvuta:bange::bange::bange: ndiyo unajua.Nawewe leo TOPIC:closed_2: unless unaheshimu watui wengine
 


Mbure una bahati jina lako limesitiliwa na herufi ya mwanzo M ilitakiwa liwe BURE usijifanye kudandia mada usiyoimudu,taifa la Tanzania lina watu makini na ndio maana we still stay katika umoja na amani licha ya kwamba kuna tofauti za hapa na pale, take your time kujifunza bhana unakua kama mtu asiyelewa.

Acha kutulisha maneno ya huyo mwenyekiti wako wa mkoa wa chama fulani ni uongo usiokubalika ungekua mzima wewe ungemtaja na huo mkoa wake!!!! Haha ha ha ha sasa unaishia kutuzuga tu unafikiri tutakuamini wewe uliyelewa ulanzi saa 1 asubuhi wee kama umeshindwa kuelewa tambaa na utulie pembeni.
 

wewe utrabaki kuwa punga tuu kila kukicha huelewi kitu we weka katuni tuu ndo kazi unayoijua hapo. Boya weee
 
wewe utrabaki kuwa punga tuu kila kukicha huelewi kitu we weka katuni tuu ndo kazi unayoijua hapo. Boya weee

Nadhani najua hili umelewa:bange::bange::bange:na ndiyo maana upo total:A S confused::A S confused😛ole.Nakutakia siku njema.
 

tetty inabidi jina lako liingizwe kwenye orodha ya wagonjwa milembe haiwezekani kama wewe nimtanzania kweli ushindwe kujua katiba pendekezwa imetokana na bunge maalumu la katiba??????
 

.


MKilimani na TEtty VifunGu vinaeleweka, nyie ndio wazembe mmecopy sana vifungu na kwa taarifa yenu navielewa mie sio kama nyie mnakalia kumangamanga hamna mwelekeo ongeeni mambo mengine mnachotakiwa kufanya ni kupigia mstari na kuelewa acheni kelele zisizo na maana kura itapigwa kazi kwenu kujiandikisha na kuhamasisha wengine acheni uzembe.
 
tetty inabidi jina lako liingizwe kwenye orodha ya wagonjwa milembe haiwezekani kama wewe nimtanzania kweli ushindwe kujua katiba pendekezwa imetokana na bunge maalumu la katiba??????

Hahaaa hivi bado unataka kunipeleka motoni kwa kuikubali Katiba ya Mafisadi.Hahahaaa dogo malizia tu :bange::bange::bange::bange:zako ukimaliza labda utaweza kuwa Mzalendo.Niite majina yote utakayojisikia kuniita lakini ninamaamuzi yangu na wala si ya kuambiwa wala ya kuhadithiwa.Mimi KATIBA YA CHENGE NI HAPANA.fullstop.
 
Ivi we ndugu yangu kwani hii nchi watu wote ni wasanii ? hii katiba jibu lake ni HAPANA
 

Katiba ya nmna hiyo Tanzania haipo. Hatuna KAtiba ya Chenge hata kidogo, acheni uongo huo kuwadanganya Watanzania. Tusiwe wasahaulifu kiasi hicho. Chanzo cha Katiba Inayopendekezwa ni sisi wenyewe Watanzania kuomba tupate katiba inayoendana na wakati wa sasa. Kwa Busara na Hekima ya Rais wetu Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akawa msikivu na akaamua kuanzisha mchakato huo na Bunge Maalumu la Katibu lililotokana na Wabunge zaidi ya 500 kukamilisha kazi ya iliyoanzishwa na Tume ya Katiba. Iweje leo tunakuwa na mawazo potofu na kuwahadaa watanzania na kuwaambia ni ya Chenge? Acheni uchochezi muwe waungwana na wapenda ukweli. Soma Katiba Inayopendekezwa tutimize azma ya Tanzania ya kupata Katiba Mpya.
 
 
 
Kwanza nikuuulize unakubali kwamba kwenye Katiba hii ya mafisadi wa CCM pamoja na Mwenyekiti wao watanzania tunahaki ya kuipigia KUR ya HAPANA NA AU KURA YA NDIYO?

Kama unakubali basi tusichoshaane endelea na mawazo yako niachie mawazo yangu na uamuzi wangu.MrDi sijamtukana mtu wala kuvunja sheria.Kwangu katiba niijuaya ni Ile ya Tume ya Warioba,hii nyingine ni ya Mafisasi au ya Chenge.

Naomba heshimu uamuzi wangu.Kwangu mimi KURA YA HAPANA ITAKUWEPO.BUSARA Angekuwa nazo huyo mwenyekiti wa CCM basi hii leo mimi na wewe tusingelumbana kamwe ila kwasababu hana hata chembe ya BUSARA ndiyo maana leo tunalumbana.Heshimu mawazo yangu sababu ninaheshimu mawazo yangu.Usinilazimishe sababu unapoteza muda wako tu!
 

sasa.anayepiga kelele ni nani kama siyo nyie watoto wa MAFISADI mlivyozoea kuuza madawa ya kulevya basi mnadhani wote wajinga kama nyinyi.Please dont argue with me.I have all the rights to SAY NO KWA KATIBA YA CHENGE.Hiyo ni haki ambayo hata Prof wa Kichina anajua.So please acha kupoteza muda wako.Tukana kashfu lakini my NO WILL STAY.Ninachotaka kukwambia kupiga Kura ya HAPANA SI MVUNJI KATIBA,bali ni haki yangu kisheria.Unalilia tu toka asubuhi,ukidhani sababu ninamaamuzi yangu ukadhani nitakutukana ili nipate ban jua umekosa.Ukimaliza kuvuta:bange::bange::bange:nenda:sleep::sleep:TOPIC:closed_2:
 

Ni kweli TEtty umezeeka akili huna ubavu wa kupambana na mimi, elimu yako ya kuungaunga unakalia kuokota maneno unayaleta Jf jiangalie sana,umesema hupendi kujibiwa na mimi si ukae kimya,wee mbona unaongea utumbo wa bata hapa hilo hulioni, kama una misimamo yako ya chama au una ugomvi na mtu tafadhali usiniletee hapa,na hizo bange unazovuta mwaka huu zitakucost maana dalili zinajionyesha kabisa hauko sawa kichwani kazi kutaja majina ya watu wasiohusiana na hoja unayoitoa kwa nini nisikuite crazy,tena hapo nimekuheshimu sana! Usirudi tena hapa na vibao vyako closed unakalia kuvibrate kwa kuguswa tu je ukitukanwa sawasawa si ndio utakufa?
[/QUOTE]

Nimezeeka sijazeeka mradi sili wala silali kwako basi aikuhusu.Ila nakuelimisha tu kwamba kama MTANZANIA NINA HAKI YA KUPIGA KURABYA NDIYO AU HAPANA.Kwa sasa nimechagua kupiga KURA YA HAPANA KWA KATIBA HII YA MAFISADI.

PILI HUNA HAKI NIRUDIA TENA HUNA HAKI YA KUNITUSI,KUNIDHALILISHA ETI SABABU TU NIMEAMUA KUPIGA KURA YA HAPANA.

Tatu Prof wa Kichina qnajua wazi na with facts kwamba WATANZANIA TUNAHAKINYABKUPIGA KURA YA NDIYO AU HAPANA KWANI NI HAKI YETU KISHRIA NA KIKATIBA.

Uamuzi wangu hata nikiamka usingizini ni HAPANA KWA KATIBA YA MAFISADI.PLEASE FANYA MAMBO YAKO SABABU SITAKUJIBU.SIPENDI WANAWAKE/ MABINTI WAPUMBAVU wasio jua jema na baya.Ni uamuzi wangu,mradi sivunji katiba ya nchi wqla sheria.Jua ni HAKI yangu ya msingi,nipo huru kipiga KURA YA HAPANA.SINA MUDA TENA WA KUBISHANA NA MTOTO WA FISADI..MOO BUSY KUUZQ MADAWA YA KULEVYA.wapumbavu kweli nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…