Tuacheni utani jamani, katiba inayopendekezwa imewajali wasanii!

Wewe vyama vingi na jina lako la bandia sio size yangu,unakalia kudandia mjadala usiouweza kikubwa jiheshimu na mimi nitakuheshimu mitusi umeianza mwenyewe sasa unalia tulia.
 
Sasa kuitana mwehu, sijui huna akili vinakujaje hapa.
Hivyo vifungu ulivyoweka vipo kwakiwango ambacho hakijakidhi mahitaji ya mtanzania.Masharti ya mgombea binafsi ni magumu ili kukomoana. Madaraka ya rais yameongezwa badala ya kupunguzwa. Tume huru ya uchaguzi hakuna hicho kilichowekwa ni usanii tu ili kuwalaghai wananchi kwa bahati mbaya hata wewe umenaswa kwenye mtego wa ccm. Maadili kilichoandikwa ni mfumo wakubebana hakuna uwajibikaji. Tatizo munasoma hadithi za chenge na sita, ukitaka kuelewa soma katiba ya 1977, rasimu ya ii ya warioba na hiyo ya change utaona hapo katiba hakuna. Lakini pia jaribu kutafuta katiba za marekani, China, India, Brazil ufananishe na huo uchafu wenu. Pamoja na hayo mbona unaogopa kuzungumzia muungano?
 
usitupotezee muda wewe sio mtanzania,ungekua usingeropoka maana hujui nchi yetu inakwenda wapi?
Shukuru umeingiza hiyo book7 yaleo lakini sijaona kama ulichoandika kinafanana na nilichochangia. Sio lazima uchangie vingine unasoma alafu unakausha.
 
Hivyo vifungu umesoma kama gazeti lakini ungesoma kwa lengo lakuelimika tungekuwa pamoja. Lakini asante kwa mchango wako.
 
Sasa nimeelewa kwanini wengine wanaishia la saba, wengine 4m4, wengine kidato chasita na engine chuo kikuu. Elewa waliondika hiyo rasimu ni wajanja sana kuliko Mimi na wewe, sasa kama wewe msomi tasimu imakunasa kiasi hicho ja mkulima ambae amesomea chini ya mwembe ataelewa kitu kweli. Kwa taarifa yako hivyo vifingu ulivyovitaja vingi ni mitego na wengi mmeshanasa kabla hata yakura ya maoni.

BTW matusi hayana nafasi.
 


AFADHALI NIMEKUPATA WEWE UNAYEJIITA TEKNOLOJIA,KWA KUWA NI MARA YA KWANZA MIMI NA WEWE TUNAPAMBANA KWA HOJA NIKUELEZE TU KUWA SURA YA KWANZA IBARA YA 5 imezitaja Tunu za taifa ambazo ni Lugha ya Kiswahili,Muungano,Utu na udugu na amani na utulivu,

Ukiend ibara ya 6 katiba inayopendekezwa imeainisha Misingi ya utawala Bora katika Jamhuri ya Muungano ambayo ni uadilfu,demokrasia,uwajibikaji,utawala wa sheria,ushirikishwaji wa wananchi,haki za binadamu,usawa wa jinsia,umoja wa kitaifa,uwazi na uzalenda.

SASA NIKUULIZE KWA UPOLE TU HUJAELEWA NINI HAPA NIKUSAIDIE????
 


wewe mtumba na kundi lako hivi kwa nini mnatumia baadhi ya makundi vibaya ..... Bila aibu eti wakulima ambao wamesomea chini ya mwembe???? Nini unakifanya,kwa nini unatafuta weak point ili uonewe huruma? Kwa taarifa yako wakulima wa tanzania wana akili timamu na wanauwezo mkubwa wa kuamua ndio maana magala yetu yamejaa chakula.

Acha dharau wewe na hoja zako za kuunga unga kama umeshindwa kuvielewa hivyo vifungu omba msaada kuliko kuendelea kupoteza muda humu.
 
Asante umesaidia kujaza server. Tukutane kura za maoni.
 

nimeshakuambia wewe ni punguani huwezi kufananisha tanzania na marekani,china,india na brazil wao wana katiba zinazoendana na mazingira yao wewe mbona unajifanya kichaaa!!!

Marekani sheria inaruhusu ndoa za jinsia moja afu unataka iwe case study mbona hujielwi wewe, katiba ya tz ni ya watz na kama wewe sio mtz haikuhusu tuachie wenyewe na mazingira yetu.

Nimalizie dhahabu ili iwe na thamani unayoiona lazimia ipitishwe kwenye moto, rasimu ya warioba ilishapitishwa kwenye moto through bmk tukapata katiba inayopendekezwa hatuna warioba tena hapa na rasimu yake arleady bured long time ago, jifunze kuelewa bhana aaaaaa!!!!
 
Tatizo mumechoma dhahabu mpaka imekuwa majivu. BMK imetuletea majivu badala ya dhahabu. Unaikataa marekani lakini kila kitu munafanya kwa hisani ya watu wa marekani. Kwa akili yako katika yoote ya marekani umeona ndoa ya jinsia moja tu, vitu vya maendeleo hujaviona au kwakuwa unapenda hako kamchezo ndo ukaona ujikite kusomea ndoa za aina hiyo.

Nimetolea mifano kwa mataifa makubwa lengo nikuona wao katiba zao zinawasaidiaje katika kuendesha nchi zao kitu ambacho ni kizuri kuiga. Hiyo yenu ya chenge ambayo gains reference sijajua kama mulimaanisha au munazani watanzania ni wajinga kwamba watapitisha uozo wenu. Msomi mzima unarubunika kwa sura na ibara za ajabuajabu hata kutumia akili hakuna.
 
usitupotezee muda wewe sio mtanzania,ungekua usingeropoka maana hujui nchi yetu inakwenda wapi?

Wewe zoba unataka kutuambia nchi yetu inakwenda wapi?watu wanajichotea tu mahela ya escrow halafu hakuna mtu anayefungwa eti unasema tuna katiba .mwizi anachaguliwa asimamie katiba .ndugu yangu mapinduzi ya kiuchumi hayatokei kwa miujiza ,hiyo takataka yenu mnayoiita katiba mkaitupe jalalani
 
wala sikushangai kufanya hivyo maana jina lako linaonyesha wazi umezoea kuishi na manyani udzungwa ha ha ha ndio maana huna tabia za kibinadamu, hna sifa ya kuendelea kudebate humu ndani stay back kakae porini humu utaumia na akili zako za tumbili.

Wapumbavu kama nyie ndio mnachelewesha sana maendeleo ya nchi hii tatazo kubwa la nchi hii sio haki za wasanii na wazee bali ni wizi ,rushwa,na ubadhilifu wa mali ya umma ,vifungu vyote vya kubana mianya hii mwizi chenge akishirikiana na wezi wenzake wa ccm wameviondoa.hizo story zako peleka kwenye vijiwe vya kahawa kwa wapumbavu wenzako
 

SPNERBOY UDZUNGWA, toa kwanza boriti iliyo katika jicho lako ndipo utakapoona kibanzi cha mwenzako. Katiba hii Inayopendekezwa naamini sii ya Chenge ni ya Watanzania na wala sii ya chama chochote cha siasa. Hapa iwe jukwaa la kujenga hoja siyo kutukanana! Maadili tunayoyalilia leo msingi wake ni familia. Kama matusi JF ndiyo mnayatoa hivyo! Watoto wenu mnawafundisha mema kweli?

Mabadiliko yaanze na mimi na wewe kwenye kusafisha matumizi ya maneno yenye kuashiria kuudhi wengine, mwisho wa yote familia yenye maadili tutapata taifa lenye maadili likijengwa kwenye misingi imara ya katiba ya nchi, Chukua hatua kuanzia familia hadi nchi nzima tuzingatie maadili mema kwa ustawi wa nchi yetu
 

Unajua mngekuwa mnaargue kwa hoja na si matusi labda tungeweza kuelewana.Lakini kikubwa kila mtu anauhuru wa kuamua kuipigia kura ya ndiyo au hapana.Ni haki ya kila mtanzania kuamua kura ipi anaitaka.Tumeshuhudia mengi ndani ya Bunge la Katiba wale waliopiga kura ya HAPANA walizomewa,walitukanwa na hata kutishwa.Nilifurahishwa na msimamo wa binti mdogo Salma ambaye ni Mzanzibar aliamua kwa UTASHI wake kupiga kura ya HAPANA sababu kubwa aliuona UBAYA WA Katiba hii ya Mafisadi.Tulishuuhudia Wabinge wa CCM wakitoa maneno machafu sana kama unayoyatoa wewe hivyo kwa asilimia 100 siyashangai matusi unayoyatoa kwa wale wanayoipinga lakini let me tell you,Watanzania tinahaki sawa sawa na tunahaki ya kupiga kura ya NDIYO AU HAPANA.Tulimsikia Mbunge wa CCM Zamzibar bibie Fatma mtu mzima akitoa maneno machafu ambayo kwa mtu wa umri wake na heshima yake hakutakiwa kuyasema.

Hivyo Claudia sikushangai unapotoa matusi na kaahfa kwa wale wanayoipinga Katiba ya mafisadi.Kwani katiba yenyewe ilojengwa katika MATUSI,KASHFA na sita shangaa MATUSI YAKO sababu hata Sitta aliweza kuwakashfu Viongozi wa dini walipojaribu kumsahihisha.

So, Claudia ningependa kurudia tena na tena kuelimisha tu kwenye KURA ya aina yoyote Katiba yetu ya Tanzania inaruhusu kupiga KURA YA HAPANA au NDIYO.

NINGEWASHAURI WATANZANIA WENZANGU WENYE MOYO WA KUIJENGA TANZANIA YETU BASI TUKAJIANDIKISHE ILI TUPIGE KURA YA HAPANA KWA KATIBA HII AMBAYO ITATUACHA MASKINI ZAIDI.

Tuiligie Kura ya hapana tulinde Taifa letu toka mikono ya Manyang'au wachache ambao wanaiuza NCHI yetu kwa kisingizio cha WAWEKEZAJI.Tuamke sasa muda ni mfupi.Taifa kwanza mengine baadaye.

Claudia naomba usinijibu maana hata unitukane matusi ya nguoni sitokujibu tena.Nakutakia usiku mwema.
 

Kaka utaishia kutikanwa matusi machafu.Huu ni UZI WA WANACHAMA WA CCM na wale tu wanaosupport katiba ya Mafisadi.

Hawapendi kuelimishwa ,kuelezwa ukweli na hatakia hata kusikia KURA YA HAPANA.
 
Kaka utaishia kutikanwa matusi machafu.Huu ni UZI WA WANACHAMA WA CCM na wale tu wanaosupport katiba ya Mafisadi.

Hawapendi kuelimishwa ,kuelezwa ukweli na hatakia hata kusikia KURA YA HAPANA.
Hujielewei umelewa viroba wewe
 
Hebu tazama comments zako? Sijaona ukijibu hoja yoyote zaidi ya kubeza hoja za wenzio bila kujibu wala kujenga hoja yoyote zaidi ya kuongeza idadi ya posts zajo.

Hata hivyo jihesabu kuwa una bahati sana kwamba nimekunukuu.

Vv

Achana naye hana hata hadhi ya kuwa na jina CLAUDIA.Hawa inaelekea wamelipwa mahsjsi kwa ajili ya kutukana wanaoipinga KATIBA YA CHENGE.Jiulize umeona hata mmoja akipata adhabu toka kwa Mods?Basi ujue ni ujumbe wa kudhoofisha wapigaji kura wa HAPANA.Lakini ninajiuliza kama MATUSI NDIYO YATUMIKAYO BASI KATIBA YA MAFISADI HAITUFAI HATA KIDOGO.

Kaka njia ni kujiandikisha na kupiga kura ya HAPANA.
 
Hujielewei umelewa viroba wewe

Ni matumaini yangu unafuraha sana baada ya kutukana.Hongera sana.Usiku mwema.Haya ndiyo UVCCM mmefundishwa.Kujibu hoja kwa kutukana.

Mzee Tupatupa wafunde vijana wako mzee wangu hii haopendezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…