Tuambiane Dalili zinazonekana kwa mwanamke ambae ametumika sana kwenye uzinzi au uashetati

Tuambiane Dalili zinazonekana kwa mwanamke ambae ametumika sana kwenye uzinzi au uashetati

Kuchafu sana pale sema napenda sana kunywa supu ya samaki(sato au sangara) kwenye migahawa ya hapo hawajawahi kuniangusha katika hilo
Pale nilikua nikifika ushirombo nampigia yule msomali, anaandaa samaki mkubwa sana, pale pakachoka nikawa nakanyaga supu Kwa mama wa kinyarwanda, napo sipaelewi siku hizi nampigia jamaa bonge nakuta sato mkubwa kama mtu, napiga na ugali wa mtama uliochanganywa na udaga, basi ni kunywa maji taratibu huku safari inaendelea, halafu mitaa ile hadi kahama samaki ni wengi kuliko mwanza
 
Pale nilikua nikifika ushirombo nampigia yule msomali, anaandaa samaki mkubwa sana, pale pakachoka nikawa nakanyaga supu Kwa mama wa kinyarwanda, napo sipaelewi siku hizi nampigia jamaa bonge nakuta sato mkubwa kama mtu, napiga na ugali wa mtama uliochanganywa na udaga, basi ni kunywa maji taratibu huku safari inaendelea, halafu mitaa ile hadi kahama samaki ni wengi kuliko mwanza
Inashangaza sana wakati waliopo kando ya ziwa hawaandai samaki wazuri km maeneo hayo, hapo kwenye sato mkubwa kama mtu panaitwaje? Nilipita miezi kadhaa hapo nilikunywa supu na familia mpaka leo Mr anapasifia tulizunguka kanda ya ziwa na viunga vyake, ila supu ya hapo ilikuwa ya kiwango cha peke yake, wako vizuri kiukweli
 
Mi hayo mambo ya uzinzi siyajui ila ni kweli wajitunze maana wakitumika tumika sana wanachakaa hizo private parts kama jinsi nyonyo zinavyolegea ndo sehemu zingine zinalegea hivyo hivyo.

Ukiniuliza nimejuaje ni marafiki zangu huwa wananiambia.
Na wanasema wakikutana na demu yuko hivyo huwa hawatamani kukutana nae tena
 
Hi,

Kwa uzoefu wangu wakati na wajuu, nimeona na kushuhudia papuchi mbovu mbovu, ambazo ni kinyume na muonekano wa nje wa mwanamke kwenye maeneo kama mavazi,, urembo, sura, shepu,, samosa zimetumika hovyo.

Wanaume tujitafakari hawa wadudu wanashinda sana saloon ila chini moto chini kwa hovyo sana.

Sitaki kusema mengi ila papuchi zama hizi zimekuwa za hovyo hadi kero.

Kichefuchefu.

Anyway sijui labda ni peculiar kwangu and all the manigers around me.

Kichwamoto
Uke mkubwa, baridi kunako, tabia wise kuna mambo atakuonyesha au kukwambia ambayo mwanamke ambae si mzinifu hawezi zungumza kamwe
 
Inashangaza sana wakati waliopo kando ya ziwa hawaandai samaki wazuri km maeneo hayo, hapo kwenye sato mkubwa kama mtu panaitwaje? Nilipita miezi kadhaa hapo nilikunywa supu na familia mpaka leo Mr anapasifia tulizunguka kanda ya ziwa na viunga vyake, ila supu ya hapo ilikuwa ya kiwango cha peke yake, wako vizuri kiukweli
Sasa wanaamka nasamaki wanashinda na samaki wanalala nao ata hamu ishakata samaki sio kipaumbele kwao.
 
Ntarudi kuchakata nondo zaidi, kuna wimbi kubwa la wanaoingizwa au kufanywa nyuma na mbele kwa frequency kubwa na watu tofauti, usage level, different users na frequency and type of usage, imagine matopeni uchanganye na mbele
Halafu kinachosikitisha zaidi uyo mfanywaji akishakua demaged beyond repair kuna nice guy atampigia magoti kumvalisha pete, atatoa mahari na kumuoa. Wapumbavu eti wanasema past doesn't matter
 
Back
Top Bottom