Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
sikujui, kituo chake cha mabasi kiko wapi?Nenda celebrities kwa wenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sikujui, kituo chake cha mabasi kiko wapi?Nenda celebrities kwa wenzako
Tehteheh wana zingua sanayesu awabebe kwani ni housegirl.
Kipo mwenge junctionsikujui, kituo chake cha mabasi kiko wapi?
NAIHITAJ HIYO HISTORYMichael aliuliwa mwaka 1984, na stori yote tunayo
Hamka usingizini. Walitulete Bible na Qur'an wakachukuwa............?Kwako wewe YESU ni ujinga, lakini kwetu sisi YESU KRISTO ni NJIA KWELI NA UZIMA WA MILELE. Bahati nzuri sana NENO la KWELI la MUNGU lilishatuambia kwamba watu kama ninyi mtatokea na kuikana ile KWELI. Mimi sishangai hata kidogo ukisema hayo unayosema sababu BIBLIA iliandika habari za watu kama wewe.
Upinge, ukatae; YESU KRISTO ni BWANA WA MABWANA NA MFALME WA WAFALME na atakuja tena duniani "kuusimika" Ufalme wa MUNGU na kuleta uhukumu ya kweli na haki, na siku hiyo utapiga magoti mbele yake huku ukilia na kusaga meno. Amini nakuambia nyabhingi siku hiyo utakumbuka maneno yangu.
Tutaileta, usitie shakaNAIHITAJ HIYO HISTORY
LiniTutaileta, usitie shaka
Kuna mambo mengi ya kujibu kwanza, kusafisha akili za watu....Lini
Huu ni mzimu gani tena?huyu hapa, mliyezika 2008
View attachment 806659
Yani hapa tupo mezani kwa ajili ya chakula.Kuna mambo mengi ya kujibu kwanza, kusafisha akili za watu....
Si Michael Jackson fakeHuu ni mzimu gani tena?
Tafuta hii nondoVinginevyo ni kazi bure, kwani uongo unaendelea hata sasa hivi, watu hawaoni
AsanteTafuta hii nondo
MORAL AND DOGMA by ALBERT PIKE
Ni mwendo wa black megic, mpk dunia inazama.Asante
Huyu ni mdudu gani
Eti Michael Jackson, yule wal izika 2008, kwanza familia ya Michael Jackson hawakuhudhuria msiba, tunataarifa na ushahidi, ilikunyamaza kimya, familia ya Michael Jackson, walilipwa pesa ndefuuuuuuuHuyu ni mdudu gani