Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Nitatumia fursa hi kufafanua kuhusu mizimu
Mzimu ni roho, ama ghost, unaposema roho mtakatifu, ama holy ghost unamaanisha, mzimu mtakatifu. Sisi wote ni mizimu yenye mwili, ukitenganisha unapata, ama roho, ama maiti. Ziko limwengu mbili, ile ionekanayo na ile isiyoonekana. Hi ndio original, sasa wanasayansi wameyathibitisha haya, ya kwamba roho ni energetic form, na chanzo ni the super source au sense hiyo mnaita Mungu. Utaratibu was maumbile unangazi zake, lazima uzipitie zote kumfikia Mungu. Kwa hivyo unakuta walio hai, wafu mizimu wa Aina mbalimbali, pepo ama majini, kisha malaika, miungu na hatimaye Mungu. Kila kitu kina roho, kila kitu ni energy, fundisho la kumkweza binadamu juu' ya vingine vyote ni fundisho la uongo, mbele za Mungu kila uhai una thamani ileile
 
Ndio sababu tumepaswa kuheshimu uhai wote. Unapoifahamu maana ya uungu mara moja unajua fundisho la uteule wa Taifa la Israeli ni fundisho la ibilisi, mbele za Mungu wote ni sawa, hata sisimzi mdogo kabisa, Mungu hakukosea kuumba, kazi yake ni kamilifu, Israeli ni kakikundi ka kakabila ka jangwani, kalikoiba maandiko matakatifu ya mababu weusi wa zamani na kuyapotosha kwa uchu wa utawala, 75 asilimia ya biblia ni mwigo wa ngano za Miungu wengi za urumi, ugiriki, Uchina, uajemi na arabuni, na awali kabisa bara la Africa. Fundisho la kuinua kabila la watu kuwa teule ni la ibilisi, Mungu anaheshimu kila watu na taratibu zao, unapovunja taasisi ya watu ya dini na Imani, ni sawa na mwanaume kumvunja mapumbu, ama mwanamke kumng'oa kizazi. pamoja na mengine mengi unaua uwezo wa watu Hawa kufikiri, yaani unawageuza misukule
 
Nitatumia fursa hi kufafanua kuhusu mizimu
Mzimu ni roho, ama ghost, unaposema roho mtakatifu, ama holy ghost unamaanisha, mzimu mtakatifu. Sisi wote ni mizimu yenye mwili, ukitenganisha unapata, ama roho, ama maiti. Ziko limwengu mbili, ile ionekanayo na ile isiyoonekana. Hi ndio original, sasa wanasayansi wameyathibitisha haya, ya kwamba roho ni energetic form, na chanzo ni the super source au sense hiyo mnaita Mungu. Utaratibu was maumbile unangazi zake, lazima uzipitie zote kumfikia Mungu. Kwa hivyo unakuta walio hai, wafu mizimu wa Aina mbalimbali, pepo ama majini, kisha malaika, miungu na hatimaye Mungu. Kila kitu kina roho, kila kitu ni energy, fundisho la kumkweza binadamu juu' ya vingine vyote ni fundisho la uongo, mbele za Mungu kila uhai una thamani ileile
Umeanz vizuri ila mwisho umeboronga.
 
Nenda fb kiongozi nazani umepotea njia
Mkuu Kauga Jr Kama Umeandika Nazani Badala Ya Nadhani Unadhani Unaendana Na Mimi Kweli?

Mwisho Wako Leo Kunikuu Ukijua Kuwa Ubongo Wako Umejaa Pumba!
 
Mkuu Kauga Jr Kama Umeandika Nazani Badala Ya Nadhani Unadhani Unaendana Na Mimi Kweli?

Mwisho Wako Leo Kunikuu Ukijua Kuwa Ubongo Wako Umejaa Pumba!
Hahaha, mizimu wenyewe ambao unao waamini wanakosea mkuu, kukosea ni jambo dogo sana.
Ila tujikite kwenye mada.
 
karibu ndugu tusaidiane kujenga,nisahihishe Kama nimekosea
Mwanadamu ameumbwa kwa vitu viwili, umbile la nyama na roho, ndio kitu kinachomtofautisha na viumbe wengine, unapotenganisha roho na mwili, hapo tunasema mwanadamu amefariki. Mwanadamu anapotumia kimoja wapo anakuwa na mapungufu makubwa sana.
 
Ni ujinga na upumbavu wa Hali ya juu, we sayansi imethibitisha, Kuna zaliwa watoto wa kike wengi kuliko wa kiume duniani kote, we unakuja unasema ndoa ya mke mmoja, Hawa wengine wataolewa na Nani? Africa Mila desturi zinaendana na mazingira, vivyo hivyo Imani, wake wengi, watoto wengi, Miungu wengi, ardhi kubwa,Kuna chakula kingi, watu wengi Taifa kubwa.....fundisho la ndoa ya mke mmoja, Kama lile la mungu mmoja, ilikuwa ni kampeni ya wachache, kuwadhoifisha, na kuwatawala wengi, na wamefanikiwa mno
 
Mwanadamu ameumbwa kwa vitu viwili, umbile la nyama na roho, ndio kitu kinachomtofautisha na viumbe wengine, unapotenganisha roho na mwili, hapo tunasema mwanadamu amefariki. Mwanadamu anapotumia kimoja wapo anakuwa na mapungufu makubwa sana.
Ni kweli, lakini limwengu ya roho, na ya kimwili vinategemeana,mizimu wetu ndio daraja letu na ulimwengu wa roho na malaika na uungu, ukiondoa tembe moja, mkufu umevunjika, Achebe akakwambia things fall apart
 
Back
Top Bottom