Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Nimekuelewa, na maanisha ccm,unataka kuleta politics hapa???? Samahani ndugu, sisi hatuko political, tunashughulikia ukombozi was mtu mweusi katika conscious level, ama kiwango Cha ufahamu, ambako tunaamini mzizi wa tatizo ndiko ulipo,ndugu, Soma mada uielewe, usituletee politics kabisa hapa tafadhali
Sasa kati ya wewe na Mimi yupi aliyemaanisha siasa??Sijataja siasa nimetaja rangi huo consciousness inakujaje kama tunashindwa kutambua jambo dogo kama hilo
 
I will refer to the power behind the music industry as the machine. Those that operate and control the machine are like ghosts to the masses, but those that have an open third eye are able to see these ghosts. As I have stated in other blogs, if one doesn’t have a thorough knowledge of the occult, they will never fully understand the secret society within the music industry. Some call this secret society the Illuminati and others refer to them as the elite. Whatever name you call them by doesn’t matter, but what does matter is their silent control that they have over the masses without ever being seen.
i admit that and more wonder those who mastremind that things always wins a lot of followers, feel very curios
 
Hivi kweli kuna haja ya kuamsha mizimu iliyolala ili ipate kutusaidia?
Yaani tumeshindwa kujisaidia mpaka tunaomba msaada kwa visivyojiweza! Ama kweli tumesoma lakini hatujaelimika, sisi wenyewe hatujui nini tunataka, hatujui nini tatizo letu, hatujui nini suluhisho la matatizo yetu, hatuthamini uwezo wetu tuliyokuwa nao, hatujiamini kabisa na hatujui nini lengo na kusudio la maendeleo yetu. Na hakuna wa kutusaidia isipokuwa ni sisi wenyewe. Imani ya dini haihusiani na maendeleo, kwani wahindi wanaabudu ng'ombe lakini wamepiga hatua kimaendeleo, wachina wanaabudu miungu yao nao wamepiga hatua, wazungu nao wengi wakristo nao wamepiga hatua, wayahudi nao wana imani zao nao wamepiga hatua, waarabu nao wengi ni waislamu wamepiga hatua, sisi waafrika ndiyo wenye matatizo, ikiwa hatuwezi kupiga hatua katika maendeleo ya uchumi na viwanda basi japokuwa tuweze kujitosheleza kwa chakula kutokana na ardhi kubwa na yenye rutuba tuliyonayo, hata hivyo utasikia baadhi ya nchi za Afrika zina ukame.
Na hivi bado kuna watu wanaofikiria mizimu kwenye karne hii sayansi na teknolojia?
Ila mzimu wa Mzungu unauabudu, ukiambiwa wa babu yako ugomvi, Yesu ni duni kuliko mzimu, ni sanamu , mdoli na msalaba wake wa mbao mnao abudu
 
Michael Jackson aliuliwa na wayahudi wamiliki wa sonny music company
michael jackson alikuwanga more Step forward than them, thats kwa kuwa walimzid kwa % chache walijuanga atakuja kuwaumbua day one wakamuwahi, ndo mana his death up to now obscure, angekuwa yuko hai tungeona mengi kwa hizi mambo

R.I. P. michael J.
 
Mizimu wapo, kama wako wanaidharau mizimu, Mungu anaiheshimu, tena ana tusikiliza kupitia wao mizimu, ukiitupa mizimu yako, umemtupa Mungu wako
asante kaka Ncha ya Mkukina kwa mchango wako
 
Back
Top Bottom