Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,054
majority of black musician in america being hunted since since, wazungu huwanga wanaangalia mbali sana na kutengeneza a sort of conflict between blacks to kill them self, anagalia nyimbo alizokuwa anatoa 2pac alikuwa basis yake iko pande ipi, what About notoriou b. i. g wote waafrica......... wazungu wana msemo wao wanasema...........Hata Tupac na Biggie waliuliwa, hawakuuwana, kama wengi tunavyodhani
"we dont kill anyone but we Find the way our victims to kill themself "
their life are in jeopardy up to now