blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
Huo mzimu unaitwaje?Bila shaka, Mzimu mtakatifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mzimu unaitwaje?Bila shaka, Mzimu mtakatifu
Amen, babake Yagashya ama YesuHuo mzimu unaitwaje?
Asante sana!ujudaisimu, Ukiristo na Uislamu ni mwigo, dini ilianzishwa na mtu mweusi, sababuView attachment 807026 yeye ndio binadamu wa kwanza
Huyo yagashy ama yesu anakaa wapi?Amen, babake Yagashya ama Yesu
Mungu ni roho, na anakaa katika moyo wako, muite kwa jina lake atakuitikia, na mizimu yako yote itaamkaHuyo yagashy ama yesu anakaa wapi?
Amen,nebet, sekert
Mwigo, wanaiga mambo yetu, kufanya mambo yao machafu, piramidi ndio jengo la ibada ya mtu mweusi,na jicho la Osare ndiye yagashya mwana wa mungu aliye hai,ndugu ni kazi ya ibilisi kukupotosheni, msijitambue, mara free mason, mara, illuminatiView attachment 807030
Asante sana!
Na sijui tulikosea wapi kiasi ambacho wao ndiyo wakachukua mbinu zetu zote!
yesu wa kwenye biblia hakuwa kuzaliwa,hakuwepo,hayupo na hatakuwepoKwa bahati mbaya Yesu si mzimu, labda kwa ufahamu wako, hiyo ndiyo tabu yetu kwa baadhi ya waafrika hatujui na hatjui kama hatujui.
Kwanza Yesu ametokea Mashariki ya kati, sisi tumekuja kujulishwa kunako habari zake na wazungu, kwa nini tusijifunze kujua ukweli tufanye utafiti kama tujue uhalisia wa maisha ya Yesu huko alipozaliwa na kuishi. Halafu jiulize huo mzimu wa babu yako hadi hii leo umekusaidia kitu gani?
Unaingia na kutoka, mizimu ndiyo kitu gani sasa! Mungu pekee hatoshi?Mungu ni roho, na anakaa katika moyo wako, muite kwa jina lake atakuitikia, na mizimu yako yote itaamka
Umejuaje hayo yote?yesu wa kwenye biblia hakuwa kuzaliwa,hakuwepo,hayupo na hatakuwepo
hakuna historia inayotambua uwepo wa huyo mtu wako
mungu ni roho, ukiskia mzimu unachanganyikiwa, mzimu ni roho, Chenye roho chochote ni uunguUnaingia na kutoka, mizimu ndiyo kitu gani sasa! Mungu pekee hatoshi?
how come a place is in the east and at the same time it is in the middle!!!!huyo anachekesha sana,Israeli iko Africa, akaangalie ramani, there is no such a thing as the middle east
Sahihi kabisa, ni mafundisho, yaliyopotoshwa....nasi tunarudia mulumule, kuirudisha maana asilia, which unajua Maana ya neno mungu?Umejuaje hayo yote?
Vichekesho☺☺☺☺☺☺☺how come a place is in the east and at the same it is in the middle!!!!
halafu watu weusi hata hawastuki
sihitaji kujua yote..wewe ndio unahitaji kuprove kuwa alikuwepo huyo yesu historicallyUmejuaje hayo yote?
mungu ana serikali yake,ni Mungu wa taratibu....angalia kila kitu kiko katika taratibu, mwezi, jua, nyota, sayari, na kila kituUnaingia na kutoka, mizimu ndiyo kitu gani sasa! Mungu pekee hatoshi?