Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

ujudaisimu, Ukiristo na Uislamu ni mwigo, dini ilianzishwa na mtu mweusi, sababu
751ab715076e007c3f58a50979284c56.jpg
yeye ndio binadamu wa kwanza
 
View attachment 807030
Asante sana!
Na sijui tulikosea wapi kiasi ambacho wao ndiyo wakachukua mbinu zetu zote!
Mwigo, wanaiga mambo yetu, kufanya mambo yao machafu, piramidi ndio jengo la ibada ya mtu mweusi,na jicho la Osare ndiye yagashya mwana wa mungu aliye hai,ndugu ni kazi ya ibilisi kukupotosheni, msijitambue, mara free mason, mara, illuminati
 
Kwa bahati mbaya Yesu si mzimu, labda kwa ufahamu wako, hiyo ndiyo tabu yetu kwa baadhi ya waafrika hatujui na hatjui kama hatujui.
Kwanza Yesu ametokea Mashariki ya kati, sisi tumekuja kujulishwa kunako habari zake na wazungu, kwa nini tusijifunze kujua ukweli tufanye utafiti kama tujue uhalisia wa maisha ya Yesu huko alipozaliwa na kuishi. Halafu jiulize huo mzimu wa babu yako hadi hii leo umekusaidia kitu gani?
yesu wa kwenye biblia hakuwa kuzaliwa,hakuwepo,hayupo na hatakuwepo
hakuna historia inayotambua uwepo wa huyo mtu wako
 
Back
Top Bottom