Na wewe yesu josefu kakusaidia nini?Kwa bahati mbaya Yesu si mzimu, labda kwa ufahamu wako, hiyo ndiyo tabu yetu kwa baadhi ya waafrika hatujui na hatjui kama hatujui.
Kwanza Yesu ametokea Mashariki ya kati, sisi tumekuja kujulishwa kunako habari zake na wazungu, kwa nini tusijifunze kujua ukweli tufanye utafiti kama tujue uhalisia wa maisha ya Yesu huko alipozaliwa na kuishi. Halafu jiulize huo mzimu wa babu yako hadi hii leo umekusaidia kitu gani?
ni Dhana iliyoibiwa, hadithi ikatengenezwa....hadithi ya jicho la horus, ndio stori ya yesu, lakini Iko legend ya yagashya....imefanana sana na yesusihitaji kujua yote..wewe ndio unahitaji kuprove kuwa alikuwepo huyo yesu historically
Vichekesho, sasa imekuwa biashara, mara wanafufua watu...ni sadaka kwa kwenda mbele,na unga pia wanabebaNa wewe yesu josefu kakusaidia nini?
Naomba unitafsirie sio utani nataka unitadsirie kweli.
Ukweli wa maanaSijaelewa kabisa umejikita katika ukweli upi ?
kabla ya bibles kuandikwa, dunia ilikuwepo...mamilioni ya miaka....myahudi na uongo wake, ni tone tu katika bahariNaomba unitafsirie sio utani nataka unitadsirie kweli.
AsanteUtaeleweka tuu
Ukifika wakati nitakuwa msikilizaji kwa asilimia kubwa naimani nitapata mengi zaidi na mazuri na tatizo la watu wengi ukiwa unayazungumzia haya mambo wanayaona kama ni uzushi na wewe hauna la kufikiri.Usijali tutayazungumzia yote....kwa wakati wake
Soma profile, mkikosaga hoja mnaanza ubaguzi,mtu ni roho, sio mwili huu, mbele za Mungu wote ni kitu kimojaAvatar Unayoitumia Ni Mwafrika Kweli?
Utapata yote, kil a kitu kiko hapaUkifika wakati nitakuwa msikilizaji kwa asilimia kubwa naimani nitapata mengi zaidi na mazuri na tatizo la watu wengi ukiwa unayazunumzia haya mambo wanayaona kama ni uzushi na wewe hauna la kufikiri.
Watu wanatakiwa waelewe haya mambo yapo na yanafanyika muovu ananjia nyingi sana za kuwaangamiza watu na hii ni kutokana na tamaa zetu za hapa duniani.
sawaa mamaaaUtapata yote, kil a kitu kiko hapa
Kwanzaa hapa sasa hivi ninaona ono,ninaanza kukuona katika ulimwengu wa roho.....Utapata yote, kil a kitu kiko hapa
idea ya trinity waliiba hapa(isis,osiris and horus) wakaita god father,god son and holy ghost(hapa wakamuondoa goddess isis sababu ya mfumo wao dume)ni Dhana iliyoibiwa, hadithi ikatengenezwa....hadithi ya jicho la horus, ndio stori ya yesu, lakini Iko legend ya yagashya....imefanana sana na yesu
Hata maswara ya kuja kutupima ukimwiKuweni waanga lifu sana....chanjo hizi, na vyakula by a masupa maketi...angalia wimbi la wanaume wanaitawala na viungo vya kike linaongezeka, na wanawake vya kiume pia
Vipi kuhusu roho chafu! Zipo au hazipo?mungu ni roho, ukiskia mzimu unachanganyikiwa, mzimu ni roho, Chenye roho chochote ni uungu
Nimewahi kufika ktk hilo pyramid kuu,mpk ndani kabisa ktk sehemu alipolazwa faraoMwigo, wanaiga mambo yetu, kufanya mambo yao machafu, piramidi ndio jengo la ibada ya mtu mweusi,na jicho la Osare manage ndiye yagashya mwana wa mungu aliye hai,ndugu ni kazi ya ibilisi kukupotosheni, msijitambue, mara free mason, mara, illuminati
Ebrania wana kaa watu weusiyagashya(Yesu) tunaemfahamu sisi, ni mtu mweusi muebrania, asilia yake Abyssinia, huyo wa kwenu ni mwigo
sio farao,huyo ndio Mungu wakoNimewahi kufika ktk hilo pyramid kuu,mpk ndani kabisa ktk sehemu alipolazwa farao
Hayo mafundisho yana patikana wapi? Navyojua Mungu ni muumba wa vyote.Sahihi kabisa, ni mafundisho, yaliyopotoshwa....nasi tunarudia mulumule, kuirudisha maana asilia, which unajua Maana ya neno mungu?