Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie



cc: Ruge Mutahaba na Clouds Media Group
 
Fatima bint hemedi kuna uzi nina miez miwili sasa nilikua nafikiria kuuandika lakini naona uvivu.kwa thread hii imenipa moyo Kesho mapema naiandika Watu waijue kweli watoke ndani ya Boksi.
Hebu Fanya hivyo
Mweusi tii, asili yake ethiopia, si unaona kisa ubaguzi, wanaificha taswira yake., Hata mchoro wa sura yake. Quran yenyewe mambo mengi yamepotoshwa, na mengine kufichwa....Muhammad alikuwa mpingo, mweusi tii
Tuweke wazi
Muhammad alikuwa mtu wa ajabu mno, mchaji Mungu wa ajabu, yaani hasimuliki utu wake(S.A.W)
Hii mpya kwangu
Naomba ukiandika Uni tag.
Tupo wengi
Naunga mkono hoja fetty.
Asee
I promise bro..
Na Mimi usinisahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…