kauga JR
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 3,503
- 2,078
Km nani ukiachana na MJKwanza watu wengi mashuhuri wa zamani, wamegeuzwa weupe,lakini walikuwa weusi....wengi mno, huu ni mchezo wao, wameuzoea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km nani ukiachana na MJKwanza watu wengi mashuhuri wa zamani, wamegeuzwa weupe,lakini walikuwa weusi....wengi mno, huu ni mchezo wao, wameuzoea
Yesu, Socrates, Plato, Esopo, Abraham Lincoln, Muhammad, hata huyo Shakespeare ni fake, kazi zake ziliandikwa na mdada mweusi akiitwa AMELIA Bassano. Infact the so called Western and eastern Civilizations are founded upon one huge lie. Mpaka huyo king JamesKm nani ukiachana na MJ
Muhammad hapo kivipi mkuu?Yesu, Socrates, Plato, Esopo, Abraham Lincoln, Muhammad, hata huyo Shakespeare ni fake, kazi zake ziliandikwa na mdada mweusi akiitwa AMELIA Bassano. Infact the so called Western and eastern Civilizations are founded upon one huge lie. Mpaka huyo king James
una nini???Aise huu uzi huu
I will refer to the power behind the music industry as the machine. Those that operate and control the machine are like ghosts to the masses, but those that have an open third eye are able to see these ghosts. As I have stated in other blogs, if one doesn’t have a thorough knowledge of the occult, they will never fully understand the secret society within the music industry. Some call this secret society the Illuminati and others refer to them as the elite. Whatever name you call them by doesn’t matter, but what does matter is their silent control that they have over the masses without ever being seen.
HahahaTuko pamoja bi hemedi, tuko maaskari wako...na ngome ya mababu tutailinda
KaribuAsanteni naendelea kuongeza madini kwenye Uzi huu.
Mweusi tii, asili yake ethiopia, si unaona kisa ubaguzi, wanaificha taswira yake., Hata mchoro wa sura yake. Quran yenyewe mambo mengi yamepotoshwa, na mengine kufichwa....Muhammad alikuwa mpingo, mweusi tiiMuhammad hapo kivipi mkuu?
KaribuFatima bint hemedi kuna uzi nina miez miwili sasa nilikua nafikiria kuuandika lakini naona uvivu.kwa thread hii imenipa moyo Kesho mapema naiandika Watu waijue kweli watoke ndani ya Boksi.
Naomba ukiandika Uni tag.Fatima bint hemedi kuna uzi nina miez miwili sasa nilikua nafikiria kuuandika lakini naona uvivu.kwa thread hii imenipa moyo Kesho mapema naiandika Watu waijue kweli watoke ndani ya Boksi.
Naunga mkono hoja fetty.Muhammad alikuwa mtu wa ajabu mno, mchaji Mungu wa ajabu, yaani hasimuliki utu wake(S.A.W)
I promise bro..Naomba ukiandika Uni tag.
Hii inahitaji ufafanuzi wa kina hasa bi FatimaMweusi tii, asili yake ethiopia, si unaona kisa ubaguzi, wanaificha taswira yake., Hata mchoro wa sura yake. Quran yenyewe mambo mengi yamepotoshwa, na mengine kufichwa....Muhammad alikuwa mpingo, mweusi tii
Nakubaliana na wewe kabisa. Akuna ngozi nyeupe yenye utu. Utu tunao sisi Wa Africa tu. Wengine wana fosi.Muhammad alikuwa mtu wa ajabu mno, mchaji Mungu wa ajabu, yaani hasimuliki utu wake(S.A.W)
Hebu Fanya hivyoFatima bint hemedi kuna uzi nina miez miwili sasa nilikua nafikiria kuuandika lakini naona uvivu.kwa thread hii imenipa moyo Kesho mapema naiandika Watu waijue kweli watoke ndani ya Boksi.
Tuweke waziMweusi tii, asili yake ethiopia, si unaona kisa ubaguzi, wanaificha taswira yake., Hata mchoro wa sura yake. Quran yenyewe mambo mengi yamepotoshwa, na mengine kufichwa....Muhammad alikuwa mpingo, mweusi tii
Hii mpya kwanguMuhammad alikuwa mtu wa ajabu mno, mchaji Mungu wa ajabu, yaani hasimuliki utu wake(S.A.W)
Tupo wengiNaomba ukiandika Uni tag.
AseeNaunga mkono hoja fetty.
Na Mimi usinisahauI promise bro..
Si niliwaambieni nyie, huu uzi utatangaza vita, lakini ukweli lazima ujulikane....sasa mwataka ya Muhammad, Michael Jackson tumwache?????Hii inahitaji ufafanuzi wa kina hasa bi Fatima
Wakapandikiza mbegu Za ubaguzi tena, uislamu wakauharibuNakubaliana na wewe kabisa. Akuna ngozi nyeupe yenye utu. Utu tunao sisi Wa Africa tu. Wengine wana fosi.