Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

hahahaaa acha kukarilishwa ujinga ndugu " Hivi mbona wayahudi wamewateka akili kiasi hicho na kuwafanya muwatukuze kwakila jambo "" kitendo cha kuaminishwa hizo ngano na wewe kuanza kuamini pasipo kufanya tafiti ni wazi umejitoa utu wako nakuamini kwamba race yako haina thamani mbele ya wahudi "" lazima tu utajiona kwamba si lolote sio chochote kwa mzungu ....HAYA NAKUULIZA SWALI WAMJUA MANSA MUSSA WEWE ....hebu nenda kamsome vizuri kwanza ndio utajua kuwa huyo Suleiman wako alikuwa ni chamtoto tu kwahuyo nguli mtawala wa Mali
 
Aiseeeeee
 
myahudi kaiba stori Za mataifa yote, kageuza location na wahusika
 
hahahaaa acha kukarilishwa ujinga ndugu
Nimeshasema na narudia tena kusema hivi; "NENO la MUNGU kwako wewe ni ujinga, lakini kwangu mimi na wale wote waliojaliwa kuijua KWELI, neno hilo kwetu sisi ni UZIMA WA MILELE.

Kila kitu kilichoandikwa kwenye Biblia ni kweli na haki kabisa na hiyo ndiyo imani yetu ya uhakika siyo ya kubahatisha. Watu kama wewe wenye kudharau na kudhihaki mlitabiriwa kuwepo siku nyingi sana, miaka elfu na elfu iliyopita. Biblia imesema wazi kabisa kuwa siku za mwisho watakuwepo wenye kudhihaki na kutukana.

Hivyo mkuu hearly huna jipya kabisa, habari zako wewe na wenzako ziliandikwa kabla hata ya mababu wa mababu zako hawajazaliwa.
 
Angalia ramani ya dunia,,nani aliechora hii RAMANI mbona Afrika tupo chini Ulaya ipo juu,, unajua kwanini??
Mbona South Amerca chini North America ipo juu.
Kwanza kabisa unatakiwa uwelewe tunapokua hapa duniani juu ni sehemu yoyote ile ambayo ni juu ya utosi wako au juu ya kichwa chako..na tafsiri ya anaekua 'juu yako' kifikra maana yake amekuzidi kila kitu.

Kwamfano huwa tunasema MUNGU ALIE JUU,,tukimaanisha ndio tegemeo letu kwa kila kitu,,kwahio ile ramani ilichorwa ili kupenyeza hio dhana,lakini ramani wala sio lazima uichore "NORTH DIRECTION" vyovyote vile inaweza kuchoreka tu.

Ndoma magali yao ya kitalii yanakuaga MALORI alafu wao wanakaa juu,ili wakutazame kwa chini.
 
mzimu mweusi unaamka sasa, watajinyea mbwa hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…