Tahariri yenye Taharuri
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 416
- 499
si bora, ungekaa kimya basi???Ukimya nalo jibu kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si bora, ungekaa kimya basi???Ukimya nalo jibu kaka.
Inaonekana hujui hata nimekaa kimya kwa swali gani. Ungeuliza mzee. Najua ninachoandika na kukikusudia pia.si bora, ungekaa kimya basi???
Haya mjukuu, asant e kwa heshima na taadhimaInaonekana hujui hata nimekaa kimya kwa swali gani. Ungeuliza mzee. Najua ninachoandika na kukikusudia pia.
Sikukaa kimya sababu nilitakiwa kuandika au kutoa hoja.
Nimekaa kimya kwa kauli zako na nimekaa kimya kwa kukupuuza tu.
Ukitaka ziada nitakupa mzee.
Mimi nakubaliana na wewe maana wadhungu wametudanganya sana, kiasi ambacho ukweli hau exists kwenye mambo yao yote!View attachment 806225 huyu sio Michael JacksonView attachment 806227 hahaha, yaani mtu, kachongwa kabisa kama kinyago????, Huyu si o Michael Jackson
Duh!Huyu ndio baba wa wale watoto wazungu....kisa ni ubaguzi wa rangi...ona sasa wana Justin bieber wao, wakamuua tupac wakamchomeka Eminem....lakini hawatuwezi....sisi ni watu wa Mungu, mbegu ya asili
Ngoja nikuulize wewe maswali madogo tu kama hutojali na anaweza kujibu yeyote mwenye kujuaSiasa na dini vimetupofusha, ni lazima mwafrika aamke kwenye sector zote!
aah fafanua kidogowatu wawili tofautiiii
Acha ujinga, Mungu sio mbaguzi hata kidogo....na wala mungu sio myahudi, wamekushikeni kweli masikio, kwa hivyo hata ubaya gani wakifanya hamtaona, misukule nyinyiEnenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!