Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

VPN si chochote kwa Depp Web. Inatumika kwenye Public Internet tuuu (surface web). Nenda Wikipedia usome, usizoee Google tuuu Google tuu. Soma Wikileaks, Wikipedia, etc
Huwa nasoma baadhi ya links through VPN ,huko huko deep web
 
nasemaga kila siku mtu mweusi ndio kila kitu,ukitokea muujiza wa kuweka ukuta baina ya ulaya uarabuni na afrika watu watastaajabu.tatizo tumefunikwa sana,kila siku wanawaza kutumaliza ila mdogo mdogo tutaamka,msichoke tupo nyuma yenu.
 
View attachment 806225 huyu sio Michael JacksonView attachment 806227 hahaha, yaani mtu, kachongwa kabisa kama kinyago????, Huyu si o Michael Jackson
View attachment 806225 huyu sio Michael JacksonView attachment 806227 hahaha, yaani mtu, kachongwa kabisa kama kinyago????, Huyu si o Michael Jackson
je zile habari za Mj kwamba aliamua kufanya plastic surgery ili afanane na diane ross kwa kuwa alikuwa ana mpenda sana huyu dada ni zakweli?
 
Hii ni habari nzuri sana japo haijafafanuliwa ipaswavyo. Kuna ukweli usiosemwa wazi ila uongo ndo unasambazwa! Mfano... ebu nakuja kwanza. ...
 
Kweli Iko complicated, hasa pale siasa , dini , ubaguzi wa rangi ya ngozi, na uchumi, vinapokinzana, yahitaji jitihada binafsi, na mbinu mbadala kuupata,ndio sababu, Kuna relative, neutral na concrete Ama absolute truth
mbona kisa kizima cha Yesu masia ni hadithi ya kufikirika, lakini haipingiki??
Hapo kwa yesu masia hapo!
Jikite kwenye hoja tu! Usiingilie IMANI za watu
 
I will refer to the power behind the music industry as the machine. Those that operate and control the machine are like ghosts to the masses, but those that have an open third eye are able to see these ghosts. As I have stated in other blogs, if one doesn’t have a thorough knowledge of the occult, they will never fully understand the secret society within the music industry. Some call this secret society the Illuminati and others refer to them as the elite. Whatever name you call them by doesn’t matter, but what does matter is their silent control that they have over the masses without ever being seen.
Siku hizi wanawekewa Vionjo fulani vinavyoufanya Ubongo eitha uwe kwenye Huzuni, hasira, hofu, FURAHA au hali yeyote........!! kwenye Vionjo vya Furaha Mtu akiwa kwenye Mfano Ngoma humpanda Mdadi mpaka hufikia kuchimba shimo, kukata Mauno kusikofaa au kupagawa anapocheza hiyo ngoma yenye vionjo(Power behind the Music)
 
Tahadhali!...dunia ina wanaojua na kukaa kimya,wasiojua na kukaa kimya,wanaojua na wasiokaa kimya,wasiojua na wasiokaa kimya,wasiojua kama wanajua na kukaa kimya,wasiojua kama wanajua na wasiokaa kimya....kama kundi lako halipo,rudia tena kusoma.
 
Hao mizimu ni akina nani?? Mizimu ni "mashetani" yanayojigeuza na kujifanya ni watu waliokufa zamani. Sikia wewe mdada Fatima binti hemedi iko hivi; kwangu mimi YESU KRISTO ndiyo njia, kweli, na uzima.

YESU KRISTO pekee ndiyo jina tulilopewa na BWANA MUNGU ili tulitumainie na kutuokoa. Hata wewe nakuomba kuanzia leo anza kumtumainia YESU KRISTO na utaupokea uzima wa milele na hao "mapepo" unaowaita "mizimu" watakukimbia na utakuwa huru, tena utakuwa huru kweli kweli.
acha ujinga,yesu ni mtu wa kusadikika aliyetengenezwa na warumi
there was never jesus
 
Na ninakuhakikishia we son of gamba na wenzio wakiristo na waisilamu ni Msukule tu katika gereza la wayahudi...huijui biblia, Wala Yesu, wala shetani, na tuko hapa tutakufunza, ujitambue, uanze upya kujipenda nafsi yako, na vyote vya kwako, hivyo hivyo nchi na bara lako, na ukome kuwatukana muzimu, mababu na wahenga wako
nimeshaanguka kwenye penzi na wewe
hii ndio akili itakayomkomboa msukule mweusi anayeamini upuuzi wa biblia na quran
 
Mambo ni [emoji91] OK tutakuwa tukijadii fundishana tuu bila kuchukua hatua maana Mada Kama hizi nyingi Sana tumekuwa Tukizisikia PIA kuzijadili Ila hakuna kinachofanyika, MY QUESTION TO YOU ALL TUNASUBIRI AJE HATUA ACHUKUE KILA SIKU TUTAJADILI TUUUU
 
acha ujinga,yesu ni mtu wa kusadikika aliyetengenezwa na warumi
there was never jesus
Kwako wewe YESU ni ujinga, lakini kwetu sisi YESU KRISTO ni NJIA KWELI NA UZIMA WA MILELE. Bahati nzuri sana NENO la KWELI la MUNGU lilishatuambia kwamba watu kama ninyi mtatokea na kuikana ile KWELI. Mimi sishangai hata kidogo ukisema hayo unayosema sababu BIBLIA iliandika habari za watu kama wewe.

Upinge, ukatae; YESU KRISTO ni BWANA WA MABWANA NA MFALME WA WAFALME na atakuja tena duniani "kuusimika" Ufalme wa MUNGU na kuleta uhukumu ya kweli na haki, na siku hiyo utapiga magoti mbele yake huku ukilia na kusaga meno. Amini nakuambia nyabhingi siku hiyo utakumbuka maneno yangu.
 
Kwa hiyo Yesu Masiah hakuwahi kuwepo na wala hakua MTU mweusi? Km baadhi ya wachangiaji humu JF ,wamewahi kuchangia?
yesu anayeelezwa kwenye biblia hajawahi kuwepo
yeshua hamashiach alikuwepo na alikuwa black,huyu alikuwa ni freedom fighter,the soldier aliyepambana na utawala wa warumi pale canaan..
your bible jesus is a fable..throw him in garbage bin
 
Kwako wewe YESU ni ujinga, lakini kwetu sisi YESU KRISTO ni NJIA KWELI NA UZIMA WA MILELE. Bahati nzuri sana NENO la KWELI la MUNGU lilishatuambia kwamba watu kama ninyi mtatokea na kuikana ile KWELI. Mimi sishangai hata kidogo ukisema hayo unayosema sababu BIBLIA iliandika habari za watu kama wewe.

Upinge, ukatae; YESU KRISTO ni BWANA WA MABWANA NA MFALME WA WAFALME na atakuja tena duniani "kuusimika" Ufalme wa MUNGU na kuleta uhukumu ya kweli na haki, na siku hiyo utapiga magoti mbele yake huku ukilia na kusaga meno. Amini nakuambia nyabhingi siku hiyo utakumbuka maneno yangu.
rubbish
Matthew 16:28 King James Version (KJV)
28 Verily I say unto you, There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom.

hapa your man god jesus hakudanganya?
hivi unaweza kuniambia kuna mwandishi yoyote aliyeandika kuhusu yesu wako zaidi ya biblia yako iliyochongwa na warumi?
 
Back
Top Bottom