Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Ngoja nikuulize wewe maswali madogo tu kama hutojali na anaweza kujibu yeyote mwenye kujua

1.Unaamini katika vyama vya siri kama vipo kweli.?

2.la nyongeza_Je mmewahi kufanya utafiti mkatambua watu wanaounda ivyo vyama wana life span kama yetu au wao ni tofauti na sisi.?
Swali sijalielewa....binafsi
 
Nataka ni google hii issue!
Ipo kwenye Deep Web, hutoipata kwa Google...kwa ufupi kuna classified info huwezi kuzipata popote kwenye Surface Internet (internet tunayotumia, public) ila zinapatikana kwenye Deep Web...baadhi ya Browser za kufukunyua Deep Web ni Tor Browser. Pia lazima computer yako uifanyie configuration...lazima uwe mtaalamu kidogo au uilete kwa wataalmu wa Networks & Configuration.
 
Mleta Mada nakuelewa vzr,ila nataka unieleweshe vzr ,kuna Uzi humu ulikua unasema na unasisitiza kuwa Yesu Masiah ni MTU mweusi ,lkn Leo unasema Masiah ni wakufikirika sasa nashindwa kuelewa vzr hapa
Huyo, mweupe, ni feki, wa kufikirikaw, masia, kama dhana ni ya mtu mweusi, usijali, usijali tutatoa mafunzo yote hapa
 
Ipo kwenye Deep Web, hutoipata kwa Google...kwa ufupi kuna classified info huwezi kuzipata popote kwenye Surface Internet (internet tunayotumia, public) ila zinapatikana kwenye Deep Web...baadhi ya Browser za kufukunyua Deep Web ni Tor Browser. Pia lazima computer yako uifanyie configuration...lazima uwe mtaalamu kidogo au uilete kwa wataalmu wa Networks & Configuration.
Asante
 
I will refer to the power behind the music industry as the machine. Those that operate and control the machine are like ghosts to the masses, but those that have an open third eye are able to see these ghosts. As I have stated in other blogs, if one doesn’t have a thorough knowledge of the occult, they will never fully understand the secret society within the music industry. Some call this secret society the Illuminati and others refer to them as the elite. Whatever name you call them by doesn’t matter, but what does matter is their silent control that they have over the masses without ever being seen.
Watu hawajui, kuna spirits zinawekwa na rituals hufanywa kabla hata musics haijaachiwa kwa media. And mbali zaidi ni subliminal msg ndani yao....

Hizi occult things zinafanywa tena na watu wakubwa tu
 
Ipo kwenye Deep Web, hutoipata kwa Google...kwa ufupi kuna classified info huwezi kuzipata popote kwenye Surface Internet (internet tunayotumia, public) ila zinapatikana kwenye Deep Web...baadhi ya Browser za kufukunyua Deep Web ni Tor Browser. Pia lazima computer yako uifanyie configuration...lazima uwe mtaalamu kidogo au uilete kwa wataalmu wa Networks & Configuration.
Nikitumia VPN ambayo inanipeleka kufungua site za deep web vipi naweza kupata hy kitu?
 
Back
Top Bottom