Fillipina Bellini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 353
- 490
hata kufananisha picha???????kweliaah fafanua kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata kufananisha picha???????kweliaah fafanua kidogo
Swali sijalielewa....binafsiNgoja nikuulize wewe maswali madogo tu kama hutojali na anaweza kujibu yeyote mwenye kujua
1.Unaamini katika vyama vya siri kama vipo kweli.?
2.la nyongeza_Je mmewahi kufanya utafiti mkatambua watu wanaounda ivyo vyama wana life span kama yetu au wao ni tofauti na sisi.?
Wapi ujaelewa.?Swali sijalielewa....binafsi
Ukiipata unitagNataka ni google hii issue!
Ipo kwenye Deep Web, hutoipata kwa Google...kwa ufupi kuna classified info huwezi kuzipata popote kwenye Surface Internet (internet tunayotumia, public) ila zinapatikana kwenye Deep Web...baadhi ya Browser za kufukunyua Deep Web ni Tor Browser. Pia lazima computer yako uifanyie configuration...lazima uwe mtaalamu kidogo au uilete kwa wataalmu wa Networks & Configuration.Nataka ni google hii issue!
Dada isis asanteMimi nakubaliana na wewe maana wadhungu wametudanganya sana, kiasi ambacho ukweli hau exists kwenye mambo yao yote!
Sasa hivi ni heri kuishi na imani yetu na kikubwa ni kuamini your intuition!
Mengine yote huwa yana ji unfold by itself!
Huyo, mweupe, ni feki, wa kufikirikaw, masia, kama dhana ni ya mtu mweusi, usijali, usijali tutatoa mafunzo yote hapaMleta Mada nakuelewa vzr,ila nataka unieleweshe vzr ,kuna Uzi humu ulikua unasema na unasisitiza kuwa Yesu Masiah ni MTU mweusi ,lkn Leo unasema Masiah ni wakufikirika sasa nashindwa kuelewa vzr hapa
AsanteIpo kwenye Deep Web, hutoipata kwa Google...kwa ufupi kuna classified info huwezi kuzipata popote kwenye Surface Internet (internet tunayotumia, public) ila zinapatikana kwenye Deep Web...baadhi ya Browser za kufukunyua Deep Web ni Tor Browser. Pia lazima computer yako uifanyie configuration...lazima uwe mtaalamu kidogo au uilete kwa wataalmu wa Networks & Configuration.
haya kaburudishe mmeo.Al-Maliki
Alamsiki, miye nimemaliza ya kwangu, nasubiria wengine nanyi, mchangie mada,
kwa niaba ya Timu Fatima Binti Hemedi, usikuni mwema☺☺☺
Nisaidie, vyama vya siri vipo, na wenye nacho wanaishi tu kama binadamu wengine, swali, je hii inauhusiano gani na mada?Wapi ujaelewa.?
Alikuwa akiwachana sana. Alikuwa akitaka kusema yote kuwahusu, hata kuwaita devil.Michael Jackson aliuliwa na wayahudi wamiliki wa sonny music company
Ni hivyoAlikuwa akiwachana sana. Alikuwa akitaka kusema yote kuwahusu, hata kuwaita devil.
They took him
Huyo masia MTU mweusi aliwahi kuwepo?Huyo, mweupe, ni feki, wa kufikirikaw, masia, kama dhana ni ya mtu mweusi, usijali, usijali tutatoa mafunzo yote hapa
Watu hawajui, kuna spirits zinawekwa na rituals hufanywa kabla hata musics haijaachiwa kwa media. And mbali zaidi ni subliminal msg ndani yao....I will refer to the power behind the music industry as the machine. Those that operate and control the machine are like ghosts to the masses, but those that have an open third eye are able to see these ghosts. As I have stated in other blogs, if one doesn’t have a thorough knowledge of the occult, they will never fully understand the secret society within the music industry. Some call this secret society the Illuminati and others refer to them as the elite. Whatever name you call them by doesn’t matter, but what does matter is their silent control that they have over the masses without ever being seen.
Nikitumia VPN ambayo inanipeleka kufungua site za deep web vipi naweza kupata hy kitu?Ipo kwenye Deep Web, hutoipata kwa Google...kwa ufupi kuna classified info huwezi kuzipata popote kwenye Surface Internet (internet tunayotumia, public) ila zinapatikana kwenye Deep Web...baadhi ya Browser za kufukunyua Deep Web ni Tor Browser. Pia lazima computer yako uifanyie configuration...lazima uwe mtaalamu kidogo au uilete kwa wataalmu wa Networks & Configuration.
agiza soda ntalipa.Hadi ugonjwa wa ukimwi, ni kutudhoofisha, madawa ya uzazi wa mpango, kuwa makini sana, tunawekewa sumu
VPN si chochote kwa Depp Web. Inatumika kwenye Public Internet tuuu (surface web). Nenda Wikipedia usome, usizoee Google tuuu Google tuu. Soma Wikileaks, Wikipedia, etcNikitumia VPN ambayo inanipeleka kufungua site za deep web vipi naweza kupata hy kitu?
Kwa jibu hili tu unaonekana wewe ni mwathiriki namba 1 wa unachokiongelea hapaSaidia kutafsiri