Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
- Thread starter
- #381
Na hapo ndio nchi takatifu alipokanyaga Musa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaHayo mafundisho yana patikana wapi? Navyojua Mungu ni muumba wa vyote.
Nyabingi kuhani, wasaidie hawa nduguidea ya trinity waliiba hapa(isis,osiris and horus) wakaita god father,god son and holy ghost(hapa wakamuondoa goddess isis sababu ya mfumo wao dume)
mkuu pitia the egyptian book of coming forth by day and night(them crackers mis-called it the egyptian book of the dead)
hapa serious copy and paste ya biblia na quran ilipofanyika
supposedly moses alipoiba anazoita amri kumi za mungu na kuacha nyingine 32
- Osiris did the same things. He was born of a virgin, was considered the first true king of the people, and when he died he rose from the grave and went to heaven.
- Osiris's son, Horus, was known as the "light of the world", "The good shepherd", and "the lamb". He was also referred to as, "The way, the truth, and the life." His symbol was a cross.
ebrania ni kizazi cha waethiopia, watu weusiEbrania wana kaa watu weusi
AmenHuo mzimu unaitwaje?
kwa makuhani, mwone nyabinghi akusaidieHayo mafundisho yana patikana wapi? Navyojua Mungu ni muumba wa vyote.
UsikondeDuh,tia tia nyama kidogo hapa mkuu
Mzimu unaitwa Amen!?Amen
We ukimaliza kusali unasema ameni, maana yake hujui?????Mzimu unaitwa Amen!?
isome tena sala ya baba yetu uliye mbinguniMzimu unaitwa Amen!?
Huyo kuhani nyabinghi ametumwa na nani? Anafanya tukio gani tuweze kumwamini?Mwalimu wa kiafrica anaitwa kuhani ama nyabinghi, sio, padri, mchungaji Wala shekhe
nyama tele, mpaka uchokeUsikonde
anazotaarifa nyingi sahihiHuyo kuhani nyabinghi ametumwa na nani? Anafanya tukio gani tuweze kumwamini?
Hiyo sala ya baba yetu inapatikana wapi ni kaisome?isome tena sala ya baba yetu uliye mbinguni
watajifunza tu mwaka huuNyabingi kuhani, wasaidie hawa ndugu
Ahsante ngoja niindelee kuijaza Diary yangu paka niijue Dini ya ukweli ni ipi haswa maan nimekuwa mpagani toka nitoke kwa baba na mama. Nili zipiga chini Dini zotekabla ya bibles kuandikwa, dunia ilikuwepo...mamilioni ya miaka....myahudi na uongo wake, ni tone tu katika bahari
Ahsante, kumbe nilifanikiwa kufika kwa Mungu Wangu [emoji120] [emoji120] ,ahsante kwa kunijuza hili,hakika mie ni mwenye bahati [emoji120] [emoji120]sio farao,huyo ndio Mungu wako
Misri? Ahsante sana nimefika nchi hy ,na mji huo wa el GizaNa hapo ndio nchi takatifu alipokanyaga Musa