Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Kuna wakati walipoanza kuleta dharau zao, mtume akawaambia pepo ya mweupe iko katika mguu wa mweusi, ndio wakazidi kuchukia, ajabu ni kwamba aliyanukuu maneno kama yaleyale ya Issa Ibn Mariam: Jiwe walilolikata waashi limekuwa jiwe kuu la msingi
 
Sometimes hua naangalia hii system ya maisha tunayoishi wanadamu. Naona kuna kitu hakiendi sawa kabisa. Naamini katika Mungu na Yesu kristo lakini naona HUU MUUNDO WA MAISHA TUNAYOISHI WANADAMU WOTE TOKA KUZALIWA HADI KUFA ndio tunatakiwa tuishi hivi? Nadhani kunawatu walikaa chini wakaunda mfumo wotee huu tunaoishi leo kwa manufaa yao binafsi na Sio mpango wa Mungu. Nikifikiria hayo nakua desperated sana sana nawaza kuhusu ulimwengu unavyoendeshwa kwa siri huku adui mkubwa akiwa Black Man. Nabakia tu kumshukuru Mungu kwa kunileta duniani nione Ukuu wake. But real am so Sad kwa yanayoendelea nyuma ya Pazia.
 
Mweusi tii, asili yake ethiopia, si unaona kisa ubaguzi, wanaificha taswira yake., Hata mchoro wa sura yake. Quran yenyewe mambo mengi yamepotoshwa, na mengine kufichwa....Muhammad alikuwa mpingo, mweusi tii
Naomba ushahidi juu ya kauli yako kuhusu Muhammad amani ya Allah iwe juu yake kwamba alikuwa mweusi tii na asili yake ni Ethiopia.
 
Sometimes hua naangalia hii system ya maisha tunayoishi wanadamu. Naona kuna kitu hakiendi sawa kabisa. Naamini katika Mungu na Yesu kristo lakini naona HUU MUUNDO WA MAISHA TUNAYOISHI WANADAMU WOTE TOKA KUZALIWA HADI KUFA ndio tunatakiwa tuishi hivi? Nadhani kunawatu walikaa chini wakaunda mfumo wotee huu tunaoishi leo kwa manufaa yao binafsi na Sio mpango wa Mungu. Nikifikiria hayo nakua desperated sana sana nawaza kuhusu ulimwengu unavyoendeshwa kwa siri huku adui mkubwa akiwa Black Man. Nabakia tu kumshukuru Mungu kwa kunileta duniani nione Ukuu wake. But real am so Sad kwa yanayoendelea nyuma ya Pazia.
kuanza kuhoji ni hatua nzuri sana
 
Mweusi tii, asili yake ethiopia, si unaona kisa ubaguzi, wanaificha taswira yake., Hata mchoro wa sura yake. Quran yenyewe mambo mengi yamepotoshwa, na mengine kufichwa....Muhammad alikuwa mpingo, mweusi tii
Hebu weka sura yake? Maana kipindi hicho technologia ilikuwepo au nawe umekula maharage ya Mbeya.
 
Back
Top Bottom