denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Hiki kinachofanyika sasa kisije kuleta picha Tanzania now all is well, hawa wakubwa wataanza kutupiga vizuri tusipokuwa makini, vyema waachiwe kama hawana hatia.Wafungwa wote waachiwe bana!
Waachiwe ASAP!
Na waachiwe bila masharti.
Mama ni mtu mwema sana.
Lakini uwepo msisitizo wa kutii na kufuata sheria, vinginevyo tutarudi kule kwa zamani jela zitabakia kwa wezi wa kuku na simu tu, wakubwa watalindana kesi zao zitaishia juu kwa juu, hapa umakini unahitajika.