Tuanze moja: Tuachie wafungwa wote walio magerezani na walio rumande bila masharti

Tuanze moja: Tuachie wafungwa wote walio magerezani na walio rumande bila masharti

Nina wazo.

Wazo linaloendana na uwezo wa kiakili wa mbeba maboksi.

Ni hivi: tuanze moja. Tuachie wafungwa wote walio magerezani na walio rumande bila masharti yoyote yale.

Au tufanye hivi: tumuulize kila mfungwa aliye gerezani na aliye rumande kama yupo humo kwa kuonewa na kubambikiwa kesi.

Kila atayesema ‘ndiyo’, tunamwachia huru bila masharti yoyote yale.

Tukifanya hivyo utakuwa ni mwanzo mzuri sana.

Magereza yetu hayapendezi yakiwa yamejaa watu waliobambikiwa makesi.

Naamini 99% ya wafungwa wote walibambikiwa kesi zao.

Achia huru wafungwa wote haraka iwezekanavyo!

NB: Au tufanye hivi. Wafungwa wote waliofungwa kati ya Oktoba 2015 na Machi 2021, wote waachiwe huru haraka iwezekanavyo bila masharti yoyote yale.
Waachiwe wale ambao ushahidi hakuna miaka nenda miaka rudi.....Mtu anakaa miaka zaidi ya mi5 DPP anasema hana ushahidi sasa huo si uonevu? Jinai haifi kama hana ushahidi muachie huru ukishapata ushahidi utamkamata tena.

Wale waliohukumiwa waendelea kukaa lupango otherwise kama wana room ya kukata rufaa kama vigezo na msharti wametimiza kesi zao zitasikilizwa upya na kama wakiwa hawana hatia walisingiziwa wataweka ushahidi ubaoni.
 
Hii si mara ya kwanza na msitake kuifanya hoja na kutudanganya wafungwa waliotoka jela kwa msamaha wa Rais wameanza kirudia makosa wakati wa Samia. Acheni upotoshaji nyie Push Gang. Semeni mengine lakini ukweli KWAMBA utawala wa Magufuli ulikuwa utawala dhalimu hata muufunike kwa lami utaibuka tu.
Wewe ngumbaru usiyejua kusoma kwa ufahamu unaelewa hata nimejenga hoja gani hapo?

Yani wewe huwezi kujadili hoja iliyopita kujadii watu, uwezo wako wa kujadili mambo umeishia kujadili watu.

Nimekupa mfano wa rais Samia kwa sababu huo ni mfano wa karibu tu, umetokea juzi, upo katika habari, ni rahisi kuukumbuka.

Unataka nitoe mfano wa rais Nyerere wa mwaka 1964 kutoka gazeti la Ngurumo?

Sijasema hilo ni kosa la Samia, sijasema haijatokea kwa marais wengine.

Kwa nini unakuwa mgumu kuelewa kwamba sijaongelea udhaifu wa rais Samia, naongelea udhaifu wa hoja ya kufungulia wafungwa bila uhakiki wa kina?
 
Wewe ngumbaru usiyejua kusoma kwa ufahamu unaelewa hata nimejenga hoja gani hapo?

Yani wewe huwezi kujadili hoja iliyopita kujadii watu, uwezo wako wa kujadili mambo umeishia kujadili watu.

Nimekupa mfano wa rais Samia kwa sababu huo ni mfano wa karibu tu, umetokea juzi, upo katika habari, ni rahisi kuukumbuka.

Unataka nitoe mfano wa rais Nyerere wa mwaka 1964 kutoka gazeti la Ngurumo?

Sijasema hilo ni kosa la Samia, sijasema haijatokea kwa marais wengine.

Kwa nini unakuwa mgumu kuelewa kwamba sijaongelea udhaifu wa rais Samia, naongelea udhaifu wa hoja ya kufungulia wafungwa bila uhakiki wa kina?
...Lakini huu msamaha unaotoka utaleta madhara.
Bado unajiona una akili huku umejificha shamba la Karanga? Magufuli aliposamehe na wakarudia makosa uliandika hivi?
 
...Lakini huu msamaha unaotoka utaleta madhara.
Bado unajiona una akili huku umejificha shamba la Karanga? Magufuli aliposamehe na wakarudia makosa uliandika hivi?
Kwanibwali nimesema msamaha hautaleta madhara?

Wewe unajua kusoma kwa ufahamu?

Kwq mara nyingine, umeelewa hoja ninayoijenga?

Au wewe ni muhanga wa hizi shule zisizo walimu hujui kusoma kwa ufahamu?
 
Nina wazo.

Wazo linaloendana na uwezo wa kiakili wa mbeba maboksi.

Ni hivi: tuanze moja. Tuachie wafungwa wote walio magerezani na walio rumande bila masharti yoyote yale.

Au tufanye hivi: tumuulize kila mfungwa aliye gerezani na aliye rumande kama yupo humo kwa kuonewa na kubambikiwa kesi.

Kila atayesema ‘ndiyo’, tunamwachia huru bila masharti yoyote yale.

Tukifanya hivyo utakuwa ni mwanzo mzuri sana.

Magereza yetu hayapendezi yakiwa yamejaa watu waliobambikiwa makesi.

Naamini 99% ya wafungwa wote walibambikiwa kesi zao.

Achia huru wafungwa wote haraka iwezekanavyo!

NB: Au tufanye hivi. Wafungwa wote waliofungwa kati ya Oktoba 2015 na Machi 2021, wote waachiwe huru haraka iwezekanavyo bila masharti yoyote yale.
Sabaya na wenzenu woote mtateseka sana hadi mtajuta
 
Nina wazo.

Wazo linaloendana na uwezo wa kiakili wa mbeba maboksi.

Ni hivi: tuanze moja. Tuachie wafungwa wote walio magerezani na walio rumande bila masharti yoyote yale.

Au tufanye hivi: tumuulize kila mfungwa aliye gerezani na aliye rumande kama yupo humo kwa kuonewa na kubambikiwa kesi.

Kila atayesema ‘ndiyo’, tunamwachia huru bila masharti yoyote yale.

Tukifanya hivyo utakuwa ni mwanzo mzuri sana.

Magereza yetu hayapendezi yakiwa yamejaa watu waliobambikiwa makesi.

Naamini 99% ya wafungwa wote walibambikiwa kesi zao.

Achia huru wafungwa wote haraka iwezekanavyo!

NB: Au tufanye hivi. Wafungwa wote waliofungwa kati ya Oktoba 2015 na Machi 2021, wote waachiwe huru haraka iwezekanavyo bila masharti yoyote yale.
Bila shaka ujumbe wako ni irony...
Naunga mkono hoja!
 
Kuna watu wanafikiri kwamba mama anakurupuka kuachia watu

Mafaili yote yapo ikulu na mwenyewe anayaona

Ukweli unajulikana kabisa watu wengi sana wamebambikiwa kesi

Mbona wakina Babu Seya waliachiwa na hamkupiga kelele?

Hatuwezi kujaza magereza kwa kesi fake halafu hatuwezi kuachia wauaji wao waendelee kusota tu.
Babu Seya labda wewe ndiye hukupiga kelele. Kuna watu tulipiga kelele sana kwa sababu waliokuwa wanafuatilia ile kesi ushahidi ulikuwa wazi kabisa. All in all, walikaa sana jela ila kama ni kuwaachia ilitakiwa waachiliwe baada ya kukiri kuwa walifanya makosa na wasingepewa nafasi ya kwenda ikulu.
 
Mmebakia kupiga majungu pelekeni ushahidi mnaodhani Wana makosa wahukumiwe haya majungu hayatawasaidia

Mkiona jela kuzuri nendeni mkaishi na familia zetu

Mama samia ndiye Raisi wetu
 
Wahenga walisema kosa si kosa bali kurudia kosa. Mwaka 2015 tulifanya makosa makubwa sana kwa kumsukumizia madaraka mtu ambaye alikuwa sehemu ya uozo wa nyuma kwa miaka zaidi ya ishirini.

Huyo huyo akadai nchi imepinda na hivyo yuko tayari kuinyosha nasi tukapiga vigelegele tukisahau ni uendawazimu (insanity) kutegemea hali tofauti kwa akili zile zile na watu wale wale!

Fast forward 2020...tunamshangilia aliyekuwa msaidizi mkuu wa mwendakuzimu eti, anyoshe mambo aliyoshiriki kuyaharibu kwa miaka mitano...yale yaleee, hivi hatujifunzi? Are we that thick?

Okay wengine shingo upande tukaamua kumpa muda...sasa siku mia karibu zinakatika huku maagizo na ahadi anazozitoa ni chache sana zinatekelezwa...je mnajua kwa nini? Watu wale wale ukijumlisha na akili zile zile unapata insanity at its best!
Hahaha! Sawa!

Who ya got tonight? Ice Trae Young or Joel Embiid?
 
Kuna mfungwa aliachiwa kwa msamaha wa Rais Samia sikukuu ya muungano, hajakaa kitaa mwezi kafanya zali tena!

Tuweke process tu ya kuhakiki kesi zilivyoendeshwa na haki itolewe.

Lakini huu msamaha unaotaka utaleta majanga.
Kiranga ,yajayo yanatisha .muda ni mwalim mzuri .
 
Kuna mfungwa aliachiwa kwa msamaha wa Rais Samia sikukuu ya muungano, hajakaa kitaa mwezi kafanya zali tena!

Tuweke process tu ya kuhakiki kesi zilivyoendeshwa na haki itolewe.

Lakini huu msamaha unaotaka utaleta majanga.
lengo la mleta mada ni kupinga hii misamaha ya mama inayo tolewa kwa wale wote walio.bambikiziwa kesi..

maana ni aibu mtu ambaye ulikuwa ukimtetea na kumpigia debe kwa ajili ya ukabila, na kama hongo ili upewe uteuzi, leo anaanikwa wazi vile alikuwa akidhulumu na kuonea watu isivyo halali.

na hao wote, hawakuwa sisiemu ila walijifanya hivyo kwakua walijua mzee mwenda zake, alipenda kusifiwa akupe madaraka.

mama akanyagie hapohapo, na atake asitake tutamwingezea muda wa utawala, kwa sauti.ileile ya ndgai
 
lengo la mleta mada ni kupinga hii misamaha ya mama inayo tolewa kwa wale wote walio.bambikiziwa kesi..

maana ni aibu mtu ambaye ulikuwa ukimtetea na kumpigia debe kwa ajili ya ukabila, na kama hongo ili upewe uteuzi, leo anaanikwa wazi vile alikuwa akidhulumu na kuonea watu isivyo halali.

na hao wote, hawakuwa sisiemu ila walijifanya hivyo kwakua walijua mzee mwenda zake, alipenda kusifiwa akupe madaraka.

mama akanyagie hapohapo, na atake asitake tutamwingezea muda wa utawala, kwa sauti.ileile ya ndgai
🤣🤣🤣

You can’t be serious!

Mimi nilikuwa nataka uteuzi gani sasa kwa mfano?
 
Nada tako ni fikilishi Sana maana inabeba mstakabali wa nchi yetu.hivo kwa mawazo yangu government inatakkiwa iwe makini Sana kwa Sababu baadhi ya walioachiwa ni hatali kwa usalama wa nchi yetu.Hali ya Msumbiji na watu kuachiwa lazima kutakua na shida.
 
Nina wazo.

Wazo linaloendana na uwezo wa kiakili wa mbeba maboksi.

Ni hivi: tuanze moja. Tuachie wafungwa wote walio magerezani na walio rumande bila masharti yoyote yale.

Au tufanye hivi: tumuulize kila mfungwa aliye gerezani na aliye rumande kama yupo humo kwa kuonewa na kubambikiwa kesi.

Kila atayesema ‘ndiyo’, tunamwachia huru bila masharti yoyote yale.

Tukifanya hivyo utakuwa ni mwanzo mzuri sana.

Magereza yetu hayapendezi yakiwa yamejaa watu waliobambikiwa makesi.

Naamini 99% ya wafungwa wote walibambikiwa kesi zao.

Achia huru wafungwa wote haraka iwezekanavyo!

NB: Au tufanye hivi. Wafungwa wote waliofungwa kati ya Oktoba 2015 na Machi 2021, wote waachiwe huru haraka iwezekanavyo bila masharti yoyote yale.
Ukiwa na kikohozi, ukitaka kujizuia usikohoe ni ngumu sana, ni bora kukohoa ili mwili upate nafuu. Mkuu umeona bora ukohoe ili koo lipate nafuu. Wabveja sana Ngosha.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mimi napenda tu kale kamsemo kao cha "wamebambikiziwa kesi".

Sijui huwa wanatumia mashine gani kupima waliobambikizwa kesi?

Wanajuaje?
 
Back
Top Bottom