Tuanze moja: Tuachie wafungwa wote walio magerezani na walio rumande bila masharti

Mkuu hujaelewa sarcastic language ya Nyani? Huyu ni mtetea legacy ya marehemu (tumepigwa marufuku kutamka neno ‘mwendazake!’) anachofanya hapa ni kupinga maamuzi ya Mazaa! Ni njia nyingine ya kuombolezea hali iliyo mpata kwa kufiwa!
 
Eh unajishauuu Kirangaa
Tutajutaa kukufahamu mbona hehe
 
Umeeleweka kwa mtu mwenye fikra pana tu , wa kawaida ataichukulia kawaida

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hasa wafungwa wa kisiasa, wengi wamebambikiziwa kesi na mwendazake...
 
Hayo mafaili ni ya hao mafisadi tu au hata wale wezi wa kuku?
 
Eh unajishauuu Kirangaa
Tutajutaa kukufahamu mbona hehe
Ujue uzuri wangu maisha yote naweza.

Unaweza kukuta namaliza kujishauu hivyo hapa mpaka ukaniogopa mtoto wa kibalozi, halafu naenda kula ugali wa muhogo kwa nguru wa kuchoma na Wapemba wa Mwananyamala bondeni.

Mwananyamala bondeni unakujua wewe?
 
Wewe ni taahira
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio uone sasa aina ya watu tuliona nao hapa jf
 
Ujue uzuri wangu maisha yote naweza.

Unaweza kukuta namaliza kujishauu hivyo hapa mpaka ukaniogopa mtoto wa kibalozi, halafu naenda kula ugali wa muhogo kwa nguru wa kuchoma na Wapemba wa Mwananyamala bondeni.

Mwananyamala bondeni unakujua wewe?
Sikujui besty..hongera kwa hilo.,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio uone sasa aina ya watu tuliona nao hapa jf
Ni kama vile wamekosa madini fulani muhimu kwa kurutubisha afya ya ubongo kwa miezi sita mfululizo walivyozaliwa na hilo limepelekea matatizo ya akili maisha yao yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…