Alikuwa na mambo ya kishamba na ulimbuken mkubwa sana hao jamaa zake hawakuwa na hadhi yeyote ya kuwekwa majina yao huko.Mbona hili JPM aliishalimaliza hilo? Alisema kwamba, yeye ameyaita hivyo kwa mamlaka aliyokuwa nayo. Ikitokea Rais mwingine akaja na akaamua kuyabadilisha, sawa. Kwahiyo, wewe endeleza ushawishi, JPM aliishamaliza mwendo wake!
Tutabadilisha upuuzi huu na puuzi nyingi nyingine, ni suala la muda tu.Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
HahahaHaya majina ya Kijazi na Mfugale ni ya kufyekelea mbali!
Naunga mkono hojaHawa Mfugale na Kijazi (RIP), Chamuriho na Deus Kakoko yasemekana walikuwa ndiyo wasiri wa Jiwe kwenye deals za mikataba mikubwa. Wengi ameanza nao akiwa Wizara ya Ujenzi na TANROADS.
Hata mimi sioni mantiki ya kuyaita madaraja kwa majina ya watu ambao walikuwa waajiriwa wa Serikali. Hii ni kuuenzi UFISADI wa Jiwe na genge lake. IBADILISHWE TU
Kwani kuita majina ya viongozi kumeanza kipindi cha Magufuli? Mbona mnakuwa na unaa wa kijinga hivi! Hizo barabara zimeitwa hadi majina ya watu wa nje huko, maeneo kibao yameitwa kwa kumbukumbu za watu, inakuwaje leo wao wakiendeleza huo utamaduni mnawananga!Mungu Fundi sana. Wameng'ang'ania kujipa majina ya miundombinu na COVID19 imewang'oa wote kuanzia Magufuli, Mfugale na Kijazi
Majina mengi yametoka baada ya wenyewe kufariki. Mengine yamekuwa yanatolewa na Mamlaka za Miji na Majiji lakini siyo hawa washirika wa Rushwa watatu toka Wizara ya Ujenzi/ TANROADS miaka 20 iliyopita. Wanapeana majina wenyewe kwa wenyeweKwani kuita majina ya viongozi kumeanza kipindi cha Magufuli? Mbona mnakuwa na unaa wa kijinga hivi! Hizo barabara zimeitwa hadi majina ya watu wa nje huko, maeneo kibao yameitwa kwa kumbukumbu za watu, inakuwaje leo wao wakiendeleza huo utamaduni mnawananga!
Wewe ni nani sasa mpaka ubadili alichopanga mpendwa wetu Magufuli.. kwanini hukusema akiwa hai kama wewe kweli upo straight[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
huwezi kujenga nchi kwa kubadili badili majina kila mara baada ya watu kufariki. Ukianza hivyo, nchi haitakuwa na ramani ya kueleweka kwani kila atakayekuja madarakani atakuwa anabadili majina kuendana na utashi wake hivyo ramani mpya kuchorwa kila baada ya miaka kumi.Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Pia tuite MBEZI BUS TERMINAL siyo ......... ...Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.