TUBONGE KIUME: Uzi maalumu wa Kijiwe cha Wanaume

TUBONGE KIUME: Uzi maalumu wa Kijiwe cha Wanaume

Majibu matatu ukiomba mkopo kwa ndugu, rafiki​


Kama mwaume shida inayohitaji pesa inakukumbuka ghafla, unatazama pochi yako haina kitu, simu yako ni nyeupe, unachungulia kwenye akiba yako kuna pesa lakini haifui dafu kwenye hili tatizo, tatizo lenyewe ni nene sana.

Unasema hapana, siishi jangwani, siwezi kufa mwenyewe tu wakati nina maswahiba zangu wa nguvu wanaoweza kunisaidia kama mimi ambavyo huwasaidia wanapokwama kwenye ishu kama hizi. Basi unachukua simu unaanza kuwapigia.

Wa kwanza anapokea, unamwambia ‘kaka nimekwama kidogo, nina shida ya laki moja, nitakurudishia Jumatano.’ anasema ‘Daaaah! Ndugu yangu umechelewa kidogo tu, sasa hivi nimetoka kumpa mtu laki moja, naye alinipigia alikuwa anataka kuongezea kodi. Yaani ungenipigia saa saba mchana, mbona yaani ingewezekana kabisa.’

Mwanaume mwenzako anapokupa jibu la namna hii usijisumbue hata kuendelea na stori za pesa porojo hii tunaitumia sana wanaume kumaanisha kwamba hatuna pesa hata kama ungepiga hiyo saa saba mchana kama anavyokwambia, angekwambia ungepiga saa tatu asubuhi ungepata na ungepiga saa tatu asubuhi, muda ungerudishiwa nyuma zaidi.

Basi unasema bado, ngoja nimpigie mwingine. Ile anapokea tu unamuelezea shida yako vizuri sana. Anakuelewa na sasa inakuwa zamu yake kukujibu. Mara anakuuliza ‘Mwisho saa ngapi? Au ni lazima sana kuipata sasa hivi?’. Unamjibu ‘kama nitapata saa hizi itapendeza lakini hata baadaye si mbaya.’

Hapo ukisikia umeambiwa. ‘Basi sawa. Kuna ishu naisikilizia, hadi jioni mida ya saa 11 hivi au 12 ikikamilika tu nakutumia kaka.’ ukisikia jibu la namna hii, nakushauri usiache ndoano zako hapo, chomoa, endelea mbele kajaribu kutafuta sehemu nyingine.

Mwanaume akikwambia kuna mishe naisikiliza halafu nakutumia, anamaanisha amechoka vibaya kiuchumi tena ungechelewa kidogo kumuomba, ni yeye ambaye angekupigia kuomba umkopeshe. Kwa hiyo endelea mbele, katafute sehemu nyingine.

Mwenyewe unajipa matumaini, unakaa hadi saa 11 jioni kimya, unasema labda saa 12 jioni, nayo inapita bila simu wala meseji. Unampigia tena hapokei au akipokea anakwambia ile mishe haijakamilika.

Basi kwa sababu tatizo lako halijakwisha unaamua kumpigia mtu mwingine. Anapopokea tu unamuelezea kwa njia rahisi sana na anakuelewa. Na anapokujibu anakwambia ‘Pole broo. Sasa naomba kama dakika tano hivi nitakupa jibu.’

‘Nitakupigia kukujibu’ unapoambiwa hivi maana yake ni kwamba mimi sina hela ndugu yangu, sema hapa nilipo siwezi kusema sina hela hivyo nitakupigia baadaye kukujibu kwamba siwezi kukukopesha. Cha msingi unaposikia jibu la hivi pia endelea kufikiria namna nyingine ya kupata hiyo pesa, ila sio kwa huyu ndugu yetu.

Wanaume wa Kitanzania tuna porojo nyingi sana linapokuja suala la pesa, lakini hizi tatu ni miongoni mwa zinazoongoza kwa hiyo ni vyema ukazielewa.

Kanuni rahisi ambayo naweza kukupa ni kwamba, Watanzania hatuwezi au hatupendi kusema maneno mawili neno ‘sijui’ na ‘sina’.
 

Mkeo anatakiwa afahamu nini kuhusu wewe?​


Kuna aina mbili za maisha. Maisha ya hadithi na halisi. Maisha ya hadithi ndio yale unayoambiwa na swahiba wako anayekuelezea jinsi kilimo cha matikiti kinavyolipa.

Anakwambia, ukiwa na milioni tu unalima ekari ya matikiti, ukivuna na kuuza unapata 24 milioni kwa hiyo ukitoa milioni yako ya mtaji, faida ni milioni 23 kwa ekari.

Anakwambia, shamba unapata la kukodi kwa laki tu ukienda kutafuta Kibaha. Kisha mbegu za kutosha kupanda ekari nzima unanunua kwa bei nafuu Kariakoo hata laki haifiki. Ukiajiri kibarua mmoja anakusafishia shamba lote na kukupandia kabisa kwa 2000 tu kwa siku, pesa inayobaki unakodi mashine ya kumwagilia, dawa ya kuulia wadudu, pesa ya mtu wa kukuangalizia shamba ukiwa mjini na kibarua wa kukusaidia kuvuna.

Ukimsikiliza ukaingia huko, ndiyo sasa unakuwa umekwenda kwenye maisha halisi. Sasa utafuata maelekezo yake halafu baada ya miezi sita ukisimama mbele ya shamba ulilokodi kwa laki, unagundua hakuna hata senti 10 yako inayoweza kurudi.

Maisha ya hadithi ni yale unayosikia watu wakisimulia kwamba mke na mume ni mwili mmoja, mke na mume ni muungano wa juu zaidi ya miungano yote, kwa hiyo mke na mume wanatakiwa kuchangia taarifa, siri, anachokijua mke na mume akijue na anachokijua mume ni cha mke pia. Hayo ndiyo maisha ya hadithi.

Katika maisha halisi unatakiwa kuwa muwazi kwa mkeo, unatakiwa kuwa mkweli, lakini kamwe hautakiwi kumuelezea mkeo kila taarifa kuhusu wewe.


Kwa lugha rahisi ni kwamba wewe ni binadamu, una mambo ambayo huenda hayapendezi mkeo kuyafahamu.

Inawezekana yanapendeza akiyajua, lakini itakusababishia kukosa amani sasa ili kuepusha yote inatakiwa uheshimu faragha yako.

Katika maisha halisi watu wengi wameingia kwenye matatizo kwa sababu ya kuchanganya kati ya kutokuwa wawazi na kutunza faragha. Kuheshimu na kulinda faragha yako haimaanishi kwamba wewe ni msiri bali inamaanisha unajali na kuheshimu uhusiano wenu na hauko tayari kumpoteza mwenza wako.

Fikiria kwa mfano labda kuna kosa uliwahi kumfanyia mke wako nyuma bila yeye kujua. Kosa hili linakunyima amani kila ukilifikiria, unatamani sana kumwambia lakini ukifanya hivyo utahatarisha mapenzi, labda utatengeneza roho ya kisasi kwa mwenzio au utamfanya ashindwe kuendelea kuhimili kuwa na wewe.

Kwa hiyo badala ya kuwa muwazi, unaweza ukatumia akili ya kulifanya hili kosa kuendelea kuwa siri, iwe faragha yako ili ulinde uhusiano.

Kuna taarifa nyingi tu kuhusu wewe mkeo hatakiwi kujua, unatakiwa uchague, kuchuja ya kumpa na utakayokufa nayo kifuani mwako. Mkeo hatakiwi kujua kila kitu kuhusu wewe na familia yako. Ikiwezekana asijue hata mshahara wako.

Ili ndoa zidumu wakati mwingine siyo mara zote wanaume wanapaswa kuishi maisha ya hadithi na faragha kwa pamoja.

Kusema sema kila jambo utakuja kuropoka ambalo kwa mwanamke ni kosa kubwa wakati kwako ni jambo la kawaida.

Ndoa itavunjika oohoo...
 

Unachotakiwa kumfanya mkeo mwenye tabia ya kujizeesha​



Mara ya kwanza ulipokutana na mkeo alikuwa malaika. Alikuwa ni mwanamke mzuri zaidi ya unavyoweza kuelezea. Alikuwa ni mwanamke anayeweza kubeba sifa zote tamu na bado akabaki na nafasi ya kupokea zingine, hakika alikuwa ni ndoto yako na uliona fahari kutembea naye kwenye sherehe zote za harusi ukimtambulisha kwa washikaji na ndugu zako bila wasiwasi.

Kipindi kile ulikuwa unamuona kama Miss Tanzania, binti wa mfalme, staa wa Bongo Movie, alikuwa ameiva kama embe dodo katikati ya msimu wake kwa kumuangalia tu ulikuwa na kila sababu ya kumteua kuwa mkeo.

Lakini ulipomuoa tu vitu vikaanza kwenda tofauti, wimbo wenu wa mahaba ukaanza kuimbwa nje, mke wako akajisahau kwamba mwanamke ni maua, pambo machoni mwa mumewe.

Akaanza kuishi kwa kutojijali, kujizeesha na kweli akazeeka.

Kutwa anashinda amejifunga kanga ya kifua, kichwa kina manywele kama ‘mwendawazimu’, ngozi yake haijui mafuta, hajui manukato mazuri yaani kazeeka.

Wakati huo wewe ukienda kazini unakutana na kina Shanteel, wanawake wanaochukia kuzeeka ukiwatazama hivi ni kama kivutio cha utalii.


Sasa ukilinganisha haya unayoyaona nje na mkeo wa zamani ni pilau na mlenda, vitu viwili tofauti. Na usipokuwa makini sana unaweza kujikuta unacheza mechi za ugenini kwa sababu hiyo tu.


Tufanyeje?

Ongea na mkeo

Kwanza kabisa ongea na mkeo. Wanawake wanadanganywa au wanajidanganya kwamba uzuri wa mwanamke si urembo ni akili na tabia, lakini ndani ya mioyo yetu wanaume tunafahamu huo si ukweli wanaume wote tunapenda wanawake wazuri kwa mwonekano, wenye akili na tabia nzuri. Ukitutolea kitu kimoja kati ya hayo hatuishi kwa furaha sana.

Sasa kaa chini zungumza na mkeo ukweli wa jinsi unavyojisikia, mueleze jinsi gani unavyotamani kumuona hazeeki, mueleze jinsi unavyosikia raha ukimtazama akiwa amevaa magauni mazuri yaliyo kwenye fasheni, jinsi unavyopenda ukisikia ananukia na akisuka nywele za Kimasai na mitindo mingine ya kuvutia.

Mwambie asijidanganye kwamba mwanamke ni akili ya maisha kila senti ni lazima iende kwenye kununua mchanga wa kufyatua tofali za nyumba mnayojenga Makongo juu hapana, mwambie ukweli kwamba hukumuoa aje kuwa msimamizi wa miradi ya ujenzi, bali aje kuwa mke. Mkumbushe kuwa mke ni uwaridi kwa mume, uwaridi kwako, lazima apendeze.



Mnunulie unavyovipenda

Waswahili wanasema binamu yako akiwa anakuka kikwapa usimwambie kwa mdomo, nenda dukani, mnunulie pafyumu, mpelekee kama zawadi fanya kwa kurudia ataelewa unachomaanisha.

Fanya hivyo kwa mkeo pia, nenda dukani mnunulie mabegi ya kike, magauni, manukato, mawigi mazuri na kila kitu unachopenda kumuona akiwa nacho matokeo yake utayashangaa.

Wanawake wote ni wazuri wakiamua kuonekana hivyo, kwa hiyo Shanteel wa kazini kwako kwao sio mzuri kwa sababu ni mzuri kuliko mke wako, hapana, ni mzuri kwa sababu ameamua tu awe mzuri.
 
Men,

No parent wants to see their children suffer or struggle.

But struggle is the only catalyst for growth and to make strong adults out of weak kids, it is very important.

A healthy balance between spoiling them and teaching them the importance of struggle goes a long way.

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Be a man of your words.

Too many men today show zero integrity, run their mouths making promises they can’t keep, making claims they can't back up.

If you said you’re going to do something, do it. If you can’t, shut your big mouth instead of trying to show off.

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Men,

When you give a woman reasons to control you, she most certainly will.

When you refuse to lead her and be a man, she has to be. Because somebody has got to run the ship.

Ever seen a wife being the captain of a house with a timid husband who is her pawn? This is why.

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Men,

A woman will early on test your frame in a relationship. People like to call these "shit tests". It is important that you have your boundaries in place from the very beginning.

Once a woman smells desperation and weakness in you, she'll become the boss.

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
This society teaches young boys to get rid of their aggression, become timid and soft like women.

Aggression, when directed positively, is what puts men forward in life, leads to success and keeps them sane.

BJJ, boxing, lifting, aggressive work ethic – project your aggression.

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Men,


Never take a woman's word at face value when she is emotionally induced.

Half the shit she says - she doesn't seriously mean it.

Make her feel good, talk to her again when calm, and ask her what really was the issue. That is when the real answer comes out.


Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Men,


If you let a woman take over all your priorities, consume majority of your time and energy, and have you on your toes all the time, you will eventually FAIL at life.

Most men suffer from this problem.

She should only be a complement to your life, never the focus of it.


Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Men,

The same woman you are trying to please by washing the dishes for, sleeping on the couch for, and never saying “no” to, will be the one wo cheats on you because of this niceness of yours.

Being overly nice in any relationship has the polar opposite of its intended effect.

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
HII NDIYO DNA YA KITAMADUNI YENYE UKWELI 90% KUJUA KAMA MTOTO NI WAKO AU UMEBAMBIKIZIWA
Hapo nyuma nilikuwa nikiambiwa kuwa Wazee ni dawa na hazina hasa katika kutupatia Maarifa sisi Vijana na Wajukuu zao nilikuwa sitaki kuamini na kuna wakati hata nilikuwa nikimwona tu Mtu Mzee au Bibi basi nawapuuza tu nikiamini kwamba hawana jipya tena.

Hali hii ilibadilika taratibu baada ya kuanza sasa kupenda kukaa na Wazee mara kwa mara ili niweze kuchota hekima na busara zao na kwa kweli tokea nianze kurudisha imani yangu kwa Wazee naona nimefaidika mno katika kupata Elimu dunia ambayo wengi wetu hatuna na tumebaki tu kujikita katika Elimu zetu hizi za Kitaaluma tukidhani kuwa pekee ndizo zitatukomboa Kifikra.

Pamewahi kuwa na nadharia kwamba akina Babu na Bibi wao huweza kujua Mtoto mchanga aliyezaliwa leo kama ni Mjukuu wao kweli au labda Mtoto wao amebambikiwa huyo Mtoto na Mama yake kutokana na usaliti wake ndani ya Mahusiano yao.

Niliamua kufanya mazugumzo yangu ya Kiudadisi kabisa na Wazee wa Mikoa mbalimbali ili tu niweze kujua kama kuna njia yoyote mbadala ( ukiachia ile ya kufanya DNA ambayo wengi wetu ndiyo tumeizoea ) ya Kiutamaduni ya kuweza kujua kama Mtoto aliyezaliwa na Mpenzi au Mke wangu ni wangu au nimebambikiwa.

Ndugu zanguni majibu niliyoyapata kutoka kwa hao Wazee wote yalinifanya nizidi kuamini kuwa kumbe tukiwatumia vizuri hawa Wazee bila kuwadhihaki, kuwadharau na kuwapuuza basi wanaweza kuwa sehemu yetu kubwa sana ya kupata maarifa na hata kutatua changamoto zetu zingine za kimaisha ambazo nyingi zimekuja kutokana na mfumo wetu huu wa Kimaisha ulioratibiwa na utandawazi ambao kimsingi umetuharibu na unaendelea kutuharibu.

Leo naweka hapa hadharani jinsi ya Wewe Mwanaume mwenzangu ambaye una Mtoto au hata upo mbioni kumpata Mtoto kuweza kujua kama huyo Mtoto aliyezaliwa ni wako kweli Kibailojia au umebambikiwa tu. Na nitangulize samahani kama kuna ambao nitawakwaza juu ya huu ukweli wa DNA ya Kiutamaduni ila nia yangu ni kuwaokoa tu Wanaume wenzangu juu ya hii kadhia ambayo imesababisha mitafaruku mingi mno katika Mahusiano na Ndoa.

HUU NDIYO UKWELI WA DNA YA KIUTAMADUNI

Ewe Mwanaume mwenzangu uliye na Mtoto hapo ulipo awe bado mdogo au tayari ameshakuwa Mtu mzima chukua mkono wowote uwe wa Kulia au wa Kushoto wa Mtoto unayeamini kabisa kuwa ni wako kisha kwa umakini kabisa huku ukiwa umetulia angalia pale katikati ya mkono ( katika palm ) linganisha ile mistari iliyopo na ya Mwanao kisha ukimaliza linganisha tena mistari iliyopo katika vidole vyake na vya Kwako.

Kwa mujibu wa hawa Mababu na Mabibi ( Wazee ) wanasema kuwa endapo Wewe Baba ukilinganisha hizo alama nilizokuelekeza hapo juu na kuona kuwa hazifanani na zako basi automatically jua ya kwamba huyo Mtoto siyo wako 100% na kwamba Mpenzi wako / Mkeo amekubambikia tu hivyo cha msingi tu ukishajua huu ukweli piga moyo konde, msamehe na maisha yaendelee.

Wamesema kwamba hata iweje Mtoto wako wa damu yako kabisa akizaliwa ni lazima tu alama zilizopo katika Mikono yake zitafanana na Wewe na wala haziongopi. Na ndipo hawa akina Babu na Bibi wakaenda mbele na kusema kuwa hiyo mbinu ndiyo iliweza kuwafanya wao huko nyuma wasiwe wasaliti na wawe wakweli kwani katika Makabila mengi hiyo mbinu ilishasambazwa na iliendelea kutumika. Na ili kulithibitisha hili ndiyo maana Bibi yoyote au Babu akipelekewa Mjukuu akimbeba tu kisirisiri atawahi kuuangalia mkono wa Mjukuu wake na hasa vidole vyake kisha atajua kuwa Mtoto wao kazalisha au kazalishiwa na wenzake.

MWISHO

Andiko langu hili kamwe halina kusudio la kuharibu Mahusiano yoyote yale bali naomba tulitumie tu kama sehemu ya kujipatia maarifa ambayo nina amini wengi wetu ( Vijana na Mabinti ) wa leo tulikuwa hatuna na kama itatokea umekuta umezalishiwa ( umebambikiwa ) basi ninachokuomba tu samehe, piga moyo konde na songa mbele na ule msemo wa Wahenga kuwa siku zote Kitanda hakizai haramu.

Kwa Dada zangu Wapendwa najua huu uzi utawaudhi na kuwauma ila tuvumiliane tu na pengine huu uzi unaweza ukawa msaada mkubwa sana Kwenu hasa katika kuwafanya mbadilike na muache kuwabambikia Wanaume zenu Watoto ambao siyo wao kwani hata Takwimu za mara ya mwisho za Mkemia Mkuu wa Serikali zinasema kuwa 49% ya Wanaume wa Kitanzania wanalea Watoto wasio wao ( wamebambikiwa ) hivyo mtusamehe na mtuonee huruma sisi Wanaume.

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
WOMEN vs MATURITY

Your father married your mother when she was 18 - 24 years,

Your mother raised the family, supporting your father's purpose for you to become what you are today.

Your father never looked for maturity but he looked for a woman who will submit and be part of his purpose.

Men today have become a contraption when it comes to choosing a wife. You will hear them say things like

"I want a woman who is mature"

"I want a woman like my mother"

But here is the point:

Women never mature. If you are looking for a mature woman, you will live a desperate, regretful life forever.

You are looking for a mature woman because you are still immature and entrapped in your mother's bosom yet your mother was married when she was 18 - 24 years old.

The other point is that modern liberalisation and feminism has pushed women into the career path rather than the family path, due to this dysgenic conditioning, women find themselves on the wall at 30 years, without a family, without babies and without a feminine future, therefore they conflate statements like

" a real man dates a mature woman"

" a real man never fears a powerful and independent woman"

So, these statements are meant to entice a man's ego. While a man who ignores such derogatory seductions, is labelled 'weak, broke and a loser' - but which man wants to be called a loser? So he goes ahead to ignore the failures of such a woman and marries her then conforms or convinces himself with words like

"I married a strong, mature woman, - so, I am stronger than her and stronger than all other men..."

"See, I married a woman who is a CEO of a bank, so, I am stronger..."

No, you are not stronger, you are a weak man who was enticed and manipulated into a relationship that doesn't suit you.

You know very well the relationship is a mess but you put on a brave face to hoodwink the public that you are in the world's most stable marriage.

You are not.

You are a pet.

You are a marionette.

And I, Amerix will not stop reminding you that, your first encounter with your woman is what sets the tone of that relationship.

I will never stop reminding you about this. - Defining your boundaries on the first date.

Listen,

Women will never mature in marriage. She is the same girl that was 18 years of age. Her thinking is the same.

A 20-year-old woman reasons alike like a 49-year-old PhD professor of nutrition.

Their jealousy is the same.

Their demons are the same.

What differentiates them is how her father raised her.

Look at you mother,

Your father sees her the same way she saw her 30 years ago. To him, your mother is still the girl he met in the village paths.

Try and eavesdrop on them when they are alone, you will see how your father pets her and tickles her as she melts in her girlish mannerism.

Men, don't look for maturity in women. It doesn't exist. Date a woman who will plug into your purpose while obeying your command.

You must raise your masculine frame so that she can sink into it.

The more she sinks into your frame, the more she becomes girlish and feminine and this is where many men fail. They expect their women to behave like their mothers to them.

Your woman will never be your mother. She will only be like your daughter but never like your mother.

You, the man, must first be her leader before she becomes your disciple.

If you expect her to be like your mother, you are simply signalling to her that you are an immature boy who still wants to suckle.

Once she learns that you are clinging on her with your neediness, she first pampers you, feeds you like a pig then tethers you on her leash.

After tethering you, she cunningly baits you, after which she chokes and smothers you into smithereens destroying you completely then monkey branches to a better higher value man.

That's feminine nature.

Finally, there is nothing like compatibility. It doesn't exist.

There is no compatibility in relationships. Just raise your frame and she will naturally fall into it. Failure to do this will lead to resentment from her.



Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
10 REASONS NOT TO DATE AN OLDER WOMAN.



1. SHE IS DISRESPECTFUL

An older woman won't respect you because she sees you as her junior or a boy not mature enough to guide her. She is probably funding your lifestyle and this makes her disrespect you even more.

2. SHE IS ANGRY

Since she is older, she will not plug into your masculine energy. This leaves her empty, deprived and frustrated. What follows is a series of drama and chaos including alcoholism. She hates her life, she is angry at herself and therefore she will project this anger towards you.

3. SHE IS REBELLIOUS

An older woman believes she is more mature and experienced than you in the marriage. She will openly refuse your instructions and order. She will ridicule your actions and defy you both in public and private.

4. SHE IS MANIPULATIVE

An older woman will manipulate you for her own egocentric needs. She will trick you to make wrong decisions that fulfil her temporary desires then when things backfire she will blame you and call you out this will again make you make further wrong decisions to appease her.

5. SHE SUFFERS SEXUAL NUMBNESS

An older woman has seen more ceiling boards than a painter. Her sensory areas that excite her sex experience are numb. She will therefore resort to masturbation or using dildos to jump-start her dead erotic zones.- When having sex with her, she will be rubbing her clitoral end or use a dildo to excite her.

6. SHE IS INFERTILE.

An older woman is probably a retired war veteran. She has a history of abortions or prolonged use of hormonal contraceptives and other clandestine gynaecological procedures or hormonal therapies. Her chances of conception are very narrow or even zero.

7. SHE WILL CHEAT.

An older woman will openly cheat on you and there is nothing you will do. She is deprived of solid masculine power and therefore she will be looking for a man older than her to fulfil the deprivation.

8. SHE IS A BABY MAMA

She has a baby and therefore she is looking for a 'father figure' to her child. She knows that no serious man will accept her with the baby therefore her surest bet is a younger man she can pocket and manipulate. If you don't see her baby, probably the baby is with her mother. The one she calls 'my niece' or 'my nephew'.

9. SHE WILL ISOLATE YOU

An older woman will isolate you from your parents, siblings, relatives and friends. She will not allow them near you because they will pump sense into you head.

10. SHE WILL DUMP YOU

Eventually, after sucking every value from you, she will dump you. She will leave you devastated and shattered. Your life will be on a downward spiral and consequently, you will be depressed or commit suicide.

Avoid dating a woman who is older than you. Look for a younger woman and shape her to your preference.



Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
7 So True Fact About Women
Believe It
1. Most important thing for
WOMEN is FINANCIAL SECURITY !
2. Although this is important,
They still go out & buy
expensive clothes !
3. Although they always buy
expensive clothes , they never
have anything to wear !
4. Although they never have
nothing to wear they always
dress beautifully !
5. Although they always dress
beautifully , they are never
satisfied !
6. Although they are never
satisfied, they always expect men
to compliment them !
7. Although they expect men to
compliment them, when they do
they don’t believe them.
 
Back
Top Bottom