TUBONGE KIUME: Uzi maalumu wa Kijiwe cha Wanaume

TUBONGE KIUME: Uzi maalumu wa Kijiwe cha Wanaume

As a man, don’t stay at a girlfriend's place! Call it toxic masculinity if you must. We are masculine in nature and this should reflect in our deeds. Never rely on a woman for anything. Don’t rest on your laurels. Have a plan. Be a man!

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Men,

Confidence matters. Be a man with BIG BALLS.

You will go far in this life,in everything.

No school will teach you this!

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Young men:

ATTENTION is your weapon in sexual marketplace.

Use your attention wisely.

If girl behaves well, give her a little extra attention.
If girl behaves badly, withdraw your attention for some time.

Absolutely avoid giving her much attention when she's rude.

BE SMART.

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Watu wengi hufikiri wanawake wanavutiwa na wanaume ambao ni nice, wenye mali, nyumba, magari, anayejali na vitu kama hivyo. Ukijaribu kumuuliza mwanamke mmoja mmoja ni aina gani ya mwanaume anamhitaji, asilimia kubwa watakuambia tunahitaji mwanaume ambaye ni nice, anayenipa pesa, anayetuma na ya kutolea, mwenye six packs n.k n.k

Wanaume wengi wamejikita kutaka kutimiza yale mwanamke anayoyataka ili waweze kuwavutia, kuna watu wanashinda gym ili kuwavutia wanawake, kuna watu wanatuma na ya kutolea ili wawavutie wanawake, kuna watu wanakubali kila mwanamke anachomwambia ili wawavutie wanawake lakini mwisho wake watu hawahawa wanatendwa na wanabaki wakijiuliza, mbona nilikuwa najitoa, natuma na ya kutolea na bado nimekuwa dumped tena wakati mwingine anaenda kwa mwanaume mwingine ambaye ukimtizama unaona ni wakawaida tu tena sio bora kama wewe, unabaki unajiuliza sasa hawa wanawake wanataka nini mbona hawaeleweki.

Wanawake tayari wamekwisha tambua sisi wanaume tunapenda sex, na wanatumia vizuri mwanya huu wa sisi wanaume kupenda kwetu sex kutufanya tuwajengee nyumba nzuri, tuwanunulie magari, tuwafungulie biashara kubwa kubwa, lakini kwa upande wao wamekuwa vizuri kutuficha tusijue nini wao wanataka, sasa unaonaje na sisi tukafahamu wanachokitaka, itakuwa vizuri si ndiyo?

Ukiwa njiani ghafla ukamwona mwanamke mrembo aliyeuteka moyo wako na kuufanya usimame kwa sekunde kadhaa kisha ukaanza kudunda kwa kasi, kudume unavuta pumzi unaamua kumfuata mnaongea vizuri, unachukua namba na mnaagana vizuri. Tatizo linaanza unamtext hajibu, au anakujibu ila baada ya kuwasiliana siku moja au mbili anakata kabisa mazungumzo na wewe, au baada ya first date anakata kabisa mazoea na wewe, hali hii inaendelea kukupata kwa mwingine na mwingine na mwingine mpaka unaanza kujiona una mkosi.

Sisi wanaume huwa hatunaga mambo mengi kama walivyo wanawake, mara nyingi baada ya miangaiko yetu tunakutana kwenye vibanda vya kahawa, tunapiga kahawa na wakati mwingine tunakutana kwenye kumbi za kuangalia mpira, au kwenye magenge ya kucheza draft, chess n.k n.k na katika mazungumzo yetu huwa hatujadiliani kabisa kuhusu wanawake tunafanya kilichotukutanisha kisha kila mtu kurejea kwake.

Kwa wanawake ni tofauti na sisi wanaume, wao wakikutana Saloon wataanza kujadiliana ni namna gani watawafanya wanaume wao wasiwe na sauti juu yao, ni namna gani watamwendesha mwanaume, ni namna gani wafanye wapate madanga, namna gani wafanye watumiwe na ya kutolea na wanapeana mbinu mbalimbali, haiishii hapo tu bado wanasoma majarida mbalimbali na vitabu vya mahusiano, kuomba ushauri mitandaoni kwa kuficha ID zao na wakaona haitoshi na ndiyo wanaoongoza kwenda kwa waganga wa kienyeji kututafutia limbwata.

Kwa mtindo huu unafikiri ni wanaume wangapi watasalimika katika hili, ni wachache sana waliogundua jinsi ya kuplay hii game, lakini usiogope hata wewe unayesoma post hii kama ulikuwa muhanga basi leo nakuibia siri ambayo itakutoa kutoka kwenye "nice guy trap"

NICE GUY TRAP

Umewahi kujiuliza kwanini unajitoa sana kwa mwanamke wako na still ukawa dumped au ukaishia kuwekwa kwenye kundi la friendzone(hapa waswahili husema unakula kwa macho)

Game huwa linaanza kama ifuatavyo mpaka unajikuta umenaswa na huwezi kujinasua, mwanzoni mnaanza vizuri, mnawasiliana vizuri, anajisogeza sana karibu yako mpaka unaona yes huyu ndiye mtu sahihi kwangu, na wakati mwingine ukikwama anakuwa bega kwa bega na wewe na unajaa na hapa ndipo unapoanza kuharibu unaanza kumtakia asubuhi njema, Umeshindaje?, Umekula?, Na sms kibao kila dakika. Kwa jinsi wanawake walivyo, then they decide to test you if you are a man or not.

Drama zinaanza unamtext anagoma kureply au anajibu mkato, unampigia hapokei au anapokea anakuambia yupo bize atakupigia badae ndo imetoka hivyo. Hapa kama wewe ni masculine na wewe ni "A man", hili halitakutishia utastay cool na utafaulu test na ataanza kukufukuzia badala ya wewe kumfukuzia, asilimia kubwa ya wanaume wanaanguka kwenye huu mtihani na matokeo yake anaishia kuwekwa friendzone au kuwa dumped au kufanywa danga wa kutuma na ya kutolea huku mbususu akiishia kuila kwa macho.

NEVER KISS THEIR ASS

"A man does not kiss the ass of a woman for approaval"

Usimpe mwanamke chochote kile anachokitaka, usimtimizie anachokuomba hata siku moja.

Ukimtongoza mwanamke once kwa maneno mazuri na kwa kumbembeleza na akakukatalia usirudi tena kutafuta attention kwake, dunia inawatu takribani billion 7.7 sasa kwanini ukomae na mmoja wakati wewe ni "a man" na kuna wanawake wengi huko nje wanakuitaji.

Usimnunulie zawadi kwa lengo la kumshawishi akupende kama sio mpenzi wako, labda kama mmeshakuwa wapenzi na yenyewe sio mara kwa mara, mimi nashauri usimpe kabisa zawadi.

Usimvutie kiti akae, usimfungulie mlango wa gari, usifanye chochote kile kumshawishi akupende.

Akikufanyia drama once, dump her, atajifunza huko aendako, kuna plenty of women around you.

HIGH VALUE & LOW VALUE MEN

Mwanaume mwenye thamani kubwa ni mgumu kupatikana, mwanamke anatakiwa astruggle kupata attention yako, high value man does not settle easly for a woman. Just imagine umefahamiana na mwanamke labda mna wiki au wiki mbili au siku kadhaa, tayari ushaanza kumpenda na kumsumbua kutuma sms kila saa, wewe ni cheap kiasi gani unajirahisisha ndani ya mda mfupi namna hiyo hata hujamjua vizuri, kwahiyo kama umekuwa ukifanya hivyo tambua kuwa umejiweka kwenye position ya "a low value man" na mwanamke akishakuconsider wewe ni low value ni ngumu kumbadilisha forever.

Chukulia mfano hujui kucheza mpira wa miguu halafu unataka kwenda kuchezea timu ya taifa, je watakuchukua? Jibu ni hapana. Halafu baada ya siku mbili kimiujiza unapata kipaji kama cha Ronaldo au Messi, halafu unarudi tena unawaambia sasa naweza kucheza mpira na ntawaletea makombe mengi, unafikiri watakuamini? Jibu ni hapana. Hivyo hivyo kwenye relationship, ukishaonekana low value once, hata ukibadilika ni ngumu kuaminika.

High value man haendeshwi na hisia hana papara na sex, hivyo hupaswi kabisa kukiss their ass for approaval.

BE THE MAN

"A man does not seek approval"

Simamia unachokiamini, stay away from female manipulation.

Usiendeshwe na hisia, tumia akili.

"A man", sikuzote hufanya anachokiona sahihi yeye na hupaswi kuomba msamaha kwa sababu umefanya kitu kilicho sahihi.

A man does not afraid when a woman pulls back or when she pretends to leave, he let her go because he knows there are plenty of women who needs him.

Be the man.
 
Wasalaam,

Kati ya vitu vingi mbavyo wanaume wengi huwa wanakosea ni pale wanatumia 'Nguvu' kubwa sana kuwapata hawa wanawake, hasa ikiwa ana malengo naye ya future.

Kama ni mwanamke anayekusuuza roho ukimuona na wewe ukatumia nguvu kula 'msambwanda' uridhishe nafsi sawa. Ila sio kama una malengo ya kuwa kwenye uhusiano wa kudumu Kuoana ama kama Boyfriend and Girlfriend itakugharimu sana.

Kuna mdau humu aliwahi kuandika kuomba ushauri akiwa na majonzi akiwa haamini jinsi alivyoachwa na mwanamke aliyempa vingi sana na hadi kumtafutia kazi, Kuna mahali aliandika "Nilimfanya anipende asione wengine " Hili ndilo lilikuwa kosa lake kubwa sana. Yeye aliamini zile zawadi na vitu ndiyo ilikuwa ulimbo wa mapenzi kwa yule mwanamke.

Mwanamke anayekupenda atakupenda hata kama unatembea kwa mguu , huna kazi na unaishi ghetto la Elfu 15 kule Keko Magurumbasi. Ila huwezi kumfanya mwanamke akupende kisa umeenda bank kumchukulia mkopo na yeye aendeshe IST ! Fanya hivyo kwa mke wako. Jamii haitashangaa wala hutaonekana kituko kwa mashoga zake.

Wanaume wapeni wapenzi wenu zawadi zisizozidi utu wako, ili usije kuumia sana pale unapokuja kumegewa na kuachwa.

Thanks me later!
 
Za mchana huu wadau hapo ulipo. na sisi mwenyeji wa hapa mwanza Kisesa kuna moto umetokea mda sio mrefu kwenye nyumba fulani karibu na hospitali ya kisesa ila jeshi la zima moto linafanya kazi kwa welendi mkubwa nawapongeza sana.

Turudi kwenye mada.... sio utafiti ila kwa wadada wengi ambao nimekuwanao karibu kwa maana ya kuitana kaka na dada au marafiki wa bila mapenzi. mara zote huwa wanajikuta kuwa wazi sana na kuongea mambo mengi ya moyoni na ikiwemo jamaa wanaongombea majibo hayo. na kwa vile mimi sio mngombea huwa wanakuwa wazi kunitajia msururu mrefu wa watu wanavyowapanga na kuwatumia kupata pesa.

Kitu pekee nilichogundua ni kuwa mwanamke kama anakupenda au anahisi unamfaa,huwa hatumii wewe kumuhitaji kama mtaji wa kipato chake. mfano, utakuta mnamfatilia mdada lakini katika kukuonesha kukubali anaweka kigezo cha dau kama vile ninunulie kiwanja kwanza ndio nitakufikilia, au nahitaji milioni kadhaa za biashara yangu ndio tutakuwa wote au mambo mengi kama hayo.. ukiona tu unawekewa mazingira hayo jua hapo hakuna mapenzi na utakuwa mtumwa wake kila siku na siku ukiacha tu ndio maumivu yako. kumbuka maisha hayana huruma na wewe na mwanamke hana huruma na pesa ya mwanaume.

Ukweli ninaoujua mimi ni huu. mtu yoyote anayekupenda utamuhudumia kwa hiari na yeye atakuhudumia kwa furaha na sio hadi apewe kitu...

LAKINI SIO KOSA LAO WANAWAKE ILA NA SISI WANAUME TUMEZIDI EAT AND RUN,.. NA SIKU HIZI TUMEKUJA NA STYLE YA AJABU YA KUTONGOZA.. KUWA NAKUPENDA NATAKA UNIZALIE MTOTO. NA WAO PIA NDIO WANAONA HAPA NI ATAKAYEWAHI KUPATA APATE MJIGA ATAACHWA ANALIA..

WAKATI UNATAKA MTOTO YEYE ANATAKA HELA YAKO. YEYE MWANAMKE ATAMEZA DAWA ZA KUZUIA MIMBA WEWE UTAKUWA BUZY KUTOA HELA YA MALENGO YAKE

MWANAUME UNATAKAIWA KUMUHUDIMIA MWANAMKE KWA UWEZO WAKO WOTE UNAOUWEZA HATA KAMA KUMNUNULIA NDEGE ILA UFANYE KWA HIARI NA UPENDO
 
Kumekua na maneno mengi na vitisho vingi juu ya kutaka kuujua ukweli kuhusu mwanamke .

Ila siku mwanaume ukaujua ukweli huu ndio siku ambayo utakua huru na kukomboka kifikra. Utaishi maisha mazuri bila hofu yoyote.

Ushawahi kujiuliza ni kwa Nini Kuna vitisho vingi Sana pale unapo taka kujua ukweli juu ya wanawake.....? Mfano ..ukimjua Mwanamke ujijue unakaribia kufa. Nk

Nakuapia siku ukiujua ukweli utaacha kufanya Mambo yako kwa kuangalia wanawake...yaani unafanya mambo ili uwe verified na mwanamke...yaani unafanya mambo yako ili mwanamke akupe tiki au kosa huoni Kama huu ni utumwa ....? Yaani unataka kununua suruali nzuri lkn unaijaji Kama ukiivaa wanawake watapenda huoni Kama unajikosea heshima.....? Na siku utakao ujua ukweli huo wote utaona ni upumbavu na ulikua wapi miaka yote kuzinduka.

Wanaume haya Mambo na kazi ngumu tunazo zifanya kwa Nini tusifanye kwa ajiri ya maisha yetu wenyewe ....yaani fanya kazi ngumu kwa ajiri ya kula vizuri...uvae vizuri...utembee sehemu mbalimbali duniani uone vitu vingi vitakavyo kufurahisha na kuongeza siku zako za kuishi na kuachana na Mambo ya wanawake hayo ya kuandikishana wosia vijana wadogo eti utakufa kabla take..we jamaa mbona hujionei huruma.

Hawa watu ukitoa kutuzalia watoto tuwapendao hawana ishu saana Kama tuwafikiliavyo ndio maana Kuna baadhi ya dini zime amua kuwafuja ili mwanaume apete ajiolee atakavyo yeye na huku wengine wameamua kuwatesa wanaume kwa kuwapa mke mmoja ili abanane nacho afe kwa stress za hicho kimwanamke.

Mwanaume usiishi kama funza...unamengi ya kufanya kabla hauja Anza kukimbizana na stress za wanawake. Namaliza kwa kusema mwanamke ni kiumbe wa kawaida saaana Tena Sana kuliko maelezo Wala Hana uspesho wowote kwa mwanaume anae jitambua...Ila Kama wewe ni funza ndio utaona huo uspesho.

NB
Wanaume tujipende, tutafute pesa kwa ajiri yetu na kusaidia wasio jiweza na watoto.... Zilizo Baki tembea duniani[emoji39]
 
Women are nowhere near equal to men. Not physically nor mentally. They were not designed or created to be. They are here to be submissive housewives and mothers. To support, help, please, and serve their husbands. Why should we see or treat them as equals?
 
Showing too much interest in a woman creates uncomfortable tension within her and causes her to feel the repulsion response. Learn how to express interest and then release it with a tease. Cycle between pulling her in and psychologically pushing her away. Push/pull is key.
 
You aren't born to follow her lead. You were born to lead her.
 
Three ways to make any girl addicted to you:-

1) Rough sex.

2) Ignoring her bullshit.

3) Masculine Frame.
 
Neno mwanamume linavyotuumiza wanaume


Ulipokuwa mtoto, ukiumia, ukaanza kulia, kama utabahatika kuambiwa pole basi neno litakalofuata litakuwa ni “nyamaza, wanaume hawalii.”

Labda waliotulea walikuwa na maana nyingine, lakini iwe kwa kujua au bila kujua na sisi watoto wa kiume tumeelewa kuwa walikuwa wanamaanisha mtoto wa kiume kuhisi maumivu ni dalili ya udhaifu.

Matokeo yake tumekuwa wanaume tunaoishi kwenye mazingira magumu, yenye kutusababishia kila aina ya maumivu, lakini katu hatuthubutu kunyanyua midomo yetu kuyazungumza kwa sababu kufanya hivyo ni kuwa kinyume cha maana ya mwanamume, tuliambiwa wanaume hawalii.

Kwenye ofisi zetu tunafanya kazi kwenye mazingira magumu sana, tunabebeshwa majumuku yasiyotuhusu, tunanyanyaswa, tunatukanwa, tunadhalilishwa, tunadhulumiwa lakini hatuna kwa kusemea kwa sababu haiingii akilini mwanamume kwenda kushitaki eti unanyanyaswa au unadhalilishwa na bosi wako ambaye usikute ni mwanamume pia.

Sasa wewe utakuwa mwanamume gani? Kulalamika ni kwa ajili ya wanawake tu, mwanamume halii, ndivyo tulivyoambiwa kipindi tunakua.

Kwenye familia zetu tunaishi kwa mateso, hatuna furaha, tuna majukumu kuzidi uwezo wetu au kuzidi kiasi cha majukumu ambacho labda tulitakiwa kuwa nacho.

Unatakiwa uhudumie familia yako, yaani wewe, mkeo na watoto wako; bado unatakiwa uhudumie wazazi wako na wazazi wa mkeo na kamwe huwezi kudiriki kusema mzigo huu ni mzito, siuwezi.

Utakuwa ni mwanamume wa aina gani wewe? Mwanamume ni majukumu na hiyo ni kauli ya Mungu kutoka katika vitabu vyake takatifu, imeandikwa mwanamume atakula kwa jasho, utashitaki kwa nani?

Tena kwenye familia zetu tunaishi kwa mateso, tunaishi kwa hofu, tunanyanyaswa na kudhalilishwa, tukishindwa kuhudumia familia kiuchumi tunakumbwa na hofu ya kuonekana mwanaume suruali, wakati bado hofu ya kuitwa vibamia, hofu ya kukosa nguvu za kiume na hofu ya kushindwa kuwaridhisha wenza wetu kitandani inatutafuna, lakini yote haya hatuna jukwaa la kuyazungumzia kwa sababu sisi ni wanaume, mwanamume halii.

Matokeo yake tunaishia kuwa na msongo wa mawazo, tunaishia kuugua magonjwa ya akili yanayosababishwa na msongo wa mawazo, tunaishia kuwa walevi kwa sababu angalau tukilewa tunapata likizo ya joto kali na mateso ya maisha yetu halisi ambayo hatuwezi kuyazungumza kokote.

Matokeo yake, mwaka juzi, Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitoa ripoti kuhusu vifo vinavyotokana na kujiua na kupitia ripoti hiyo ilionekana wanaume wanajiua zaidi ya wanawake, lakini yote haya yanaanzia kwenye neno mwanamume.

Baadhi ya matatizo yanatatulika kwa kuyazungumza tu, wanaume wenzangu tuhakikishe tunafanya hivyo kila tunapopata fursa, tuyaseme matatizo yanayotutesa wanaume.

Tusipokuwa makini tutajikuta tunaupoteza uanaume wetu halisi kwa kujibana sana kuhakikisha tunalinda uanaume unaoishi kwenye jina mwanamume.
 
Back
Top Bottom