TUBONGE KIUME: Uzi maalumu wa Kijiwe cha Wanaume

As a man, don’t stay at a girlfriend's place! Call it toxic masculinity if you must. We are masculine in nature and this should reflect in our deeds. Never rely on a woman for anything. Don’t rest on your laurels. Have a plan. Be a man!

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Men,

Confidence matters. Be a man with BIG BALLS.

You will go far in this life,in everything.

No school will teach you this!

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Young men:

ATTENTION is your weapon in sexual marketplace.

Use your attention wisely.

If girl behaves well, give her a little extra attention.
If girl behaves badly, withdraw your attention for some time.

Absolutely avoid giving her much attention when she's rude.

BE SMART.

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
 
 
 
 
Women are nowhere near equal to men. Not physically nor mentally. They were not designed or created to be. They are here to be submissive housewives and mothers. To support, help, please, and serve their husbands. Why should we see or treat them as equals?
 
Showing too much interest in a woman creates uncomfortable tension within her and causes her to feel the repulsion response. Learn how to express interest and then release it with a tease. Cycle between pulling her in and psychologically pushing her away. Push/pull is key.
 
You aren't born to follow her lead. You were born to lead her.
 
Three ways to make any girl addicted to you:-

1) Rough sex.

2) Ignoring her bullshit.

3) Masculine Frame.
 
Neno mwanamume linavyotuumiza wanaume


Ulipokuwa mtoto, ukiumia, ukaanza kulia, kama utabahatika kuambiwa pole basi neno litakalofuata litakuwa ni “nyamaza, wanaume hawalii.”

Labda waliotulea walikuwa na maana nyingine, lakini iwe kwa kujua au bila kujua na sisi watoto wa kiume tumeelewa kuwa walikuwa wanamaanisha mtoto wa kiume kuhisi maumivu ni dalili ya udhaifu.

Matokeo yake tumekuwa wanaume tunaoishi kwenye mazingira magumu, yenye kutusababishia kila aina ya maumivu, lakini katu hatuthubutu kunyanyua midomo yetu kuyazungumza kwa sababu kufanya hivyo ni kuwa kinyume cha maana ya mwanamume, tuliambiwa wanaume hawalii.

Kwenye ofisi zetu tunafanya kazi kwenye mazingira magumu sana, tunabebeshwa majumuku yasiyotuhusu, tunanyanyaswa, tunatukanwa, tunadhalilishwa, tunadhulumiwa lakini hatuna kwa kusemea kwa sababu haiingii akilini mwanamume kwenda kushitaki eti unanyanyaswa au unadhalilishwa na bosi wako ambaye usikute ni mwanamume pia.

Sasa wewe utakuwa mwanamume gani? Kulalamika ni kwa ajili ya wanawake tu, mwanamume halii, ndivyo tulivyoambiwa kipindi tunakua.

Kwenye familia zetu tunaishi kwa mateso, hatuna furaha, tuna majukumu kuzidi uwezo wetu au kuzidi kiasi cha majukumu ambacho labda tulitakiwa kuwa nacho.

Unatakiwa uhudumie familia yako, yaani wewe, mkeo na watoto wako; bado unatakiwa uhudumie wazazi wako na wazazi wa mkeo na kamwe huwezi kudiriki kusema mzigo huu ni mzito, siuwezi.

Utakuwa ni mwanamume wa aina gani wewe? Mwanamume ni majukumu na hiyo ni kauli ya Mungu kutoka katika vitabu vyake takatifu, imeandikwa mwanamume atakula kwa jasho, utashitaki kwa nani?

Tena kwenye familia zetu tunaishi kwa mateso, tunaishi kwa hofu, tunanyanyaswa na kudhalilishwa, tukishindwa kuhudumia familia kiuchumi tunakumbwa na hofu ya kuonekana mwanaume suruali, wakati bado hofu ya kuitwa vibamia, hofu ya kukosa nguvu za kiume na hofu ya kushindwa kuwaridhisha wenza wetu kitandani inatutafuna, lakini yote haya hatuna jukwaa la kuyazungumzia kwa sababu sisi ni wanaume, mwanamume halii.

Matokeo yake tunaishia kuwa na msongo wa mawazo, tunaishia kuugua magonjwa ya akili yanayosababishwa na msongo wa mawazo, tunaishia kuwa walevi kwa sababu angalau tukilewa tunapata likizo ya joto kali na mateso ya maisha yetu halisi ambayo hatuwezi kuyazungumza kokote.

Matokeo yake, mwaka juzi, Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitoa ripoti kuhusu vifo vinavyotokana na kujiua na kupitia ripoti hiyo ilionekana wanaume wanajiua zaidi ya wanawake, lakini yote haya yanaanzia kwenye neno mwanamume.

Baadhi ya matatizo yanatatulika kwa kuyazungumza tu, wanaume wenzangu tuhakikishe tunafanya hivyo kila tunapopata fursa, tuyaseme matatizo yanayotutesa wanaume.

Tusipokuwa makini tutajikuta tunaupoteza uanaume wetu halisi kwa kujibana sana kuhakikisha tunalinda uanaume unaoishi kwenye jina mwanamume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…