Tuchukue lipi, Tuache lipi kwa mistari hii ya Joh Makini

Tuchukue lipi, Tuache lipi kwa mistari hii ya Joh Makini

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
TUCHUKUE LIPI, TULIACHE LIPI?
STIMU ZIMELIPIWA (COPY MY MOTION)
Hii ni segment mpya ambayo itakuwa inaangazia wasanii waliotamka kauli zinazokinzana.
Tuanze na John Simon "Mwamba wa Kaskazini, Joh Makini" kwenye wimbo wake uliotajwa hapo juu.

"I'M BIG FISH IN THIS OCEAN" DAKIKA ya kwanza, sekunde 0 inapatikana nukuu hii, ambapo kwa tafsiri isiyo rasmi anasema YEYE NI SAMAKI MKUBWA NDANI YA BAHARI HII.
Tukienda kwenye kiitikio anasema;
"NAWAVUA KAMA SAMAKI WABICHI KUTOKA OCEAN" Dakika ya kwanza, sekunde ya 43 inasikika nukuu hii.
Sasa kwenye dakika ya kwanza, Joh ni samaki lakini ndani ya sekunde 43 tu Joh anavua.

Swali ni je, kuna SAMAKI mwenye uwezo wa KUVUA?
Je tubaki na wazo kwamba JOH NI SAMAKI MKUBWA au TUKUBALI KWAMBA JOH NI MVUVI ANAYEWAVUA KAMA SAMAKI WABICHI?
Eti Scars TUCHUKUE LIPI, TUACHE LIPI?
LUAH (LENGO, UWEZO, AKILI, HISIA)
1683021553802.jpeg
 
anasema anawavua kama samaki wa bichi kutoka ocean, yani apo manake ya kwanza inaweza akawa anawavua wanawake pichu manaake ya pili wasanii level ya chini anawakalisha kwenye michano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye uandishi wa muziki kuna lugha ya picha ndio hiyo aliyotumia Jo..
I'm a big fish in this ocean.. ( Ocean alimanisha industry ya muziki kwa hiyo yeye ndio msaniii mkubwa kwenye hii industry)
Nawavua kama samaki wabichi kutoka ocean... alimanisha anawakalisha wasanii wengine yeye ndo anatawala game si unajua vile mvuvi anavyowafanya samaki eeh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwani big fish inamaanisha samaki in real sense???
 
Back
Top Bottom