Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili Likorona lilikua la kuhujumiana wao kwa wao, ndio maana linaenea kwa Wazungu, Waarabu na Wachina. Naona Mrusi halijambishia hodi, au atakua yeye ndio mpishi wa haya mambo.
Russia wamekuwa nayo kwa muda sasa ila haisambai haraka, sasa wanawatu 10 waliowahi kudhurika.Russia mbona sijapokea taarifa zake
Ametajwa raia 1 wa kitanzania kupata maambukizi katika 15 walio ambukizwa na kufikisha idadi ya 74 huko UAE
Sent using Jamii Forums mobile app
Russia wamekuwa nayo kwa muda sasa ila haisambai haraka, sasa wanawatu 10 waliowahi kudhurika.
View attachment 1383769
Center for Systems Science and Engineering (CSSE)
Corona imedunda kwenye hiyo ngozi
Jr[emoji769]
Na mimi nimeshangaa sana why Russia... Halafu hawajadili Russia iliyopakana na corona mbele nyuma kushoto kulia wanaanza kutujadili sisi... Tusipopata vichwa vyao havitulii.
Russia watayari wana wagonjwa karibia kumi, sema Korea kaskazini kwa mzee Kiduku ndio sijasikia hata mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
hawafi na corona ni unaambukizwa tu