IGA = Treaty
IGA sio contract it’s an agreement
Contract has ‘consideration’ (value of exchange), IGA doesn’t have consideration so it can’t be a contract on its own.
A treaty needs to be ratified under VCLT 1969 if its to become valid.
By ratifying a treaty inakuwa sheria ya nchi kwa jambo husika (enforceable), not on its own though; bali unapoingia mikataba ya kibiashara baadae.
Kilichomo kwenye IGA (kwa sababu ni sheria, after ratification) kinakuwa ni aspects za ‘implied term’ kwenye mkataba itakayoingiwa mbeleni (otherwise IGA on its own is useless).
Kingine muhimu kwenye hiyo mikataba ya baadae ni consideration terms za kwenye concession agreement mtakazokubaliana huko mbele ambacho hakipo kwenye IGA (actually consideration ndio sababu kubwa ya migogoro
Una complicate mambo sana.
Mleta mada: umeandika tuige sheria IGA (which is BIT) ya uingereza.
Mchangiaji: nimekueleza hiyo BIT ya uingereza na IGA ya Tanzania hazina tofauti na misingi ya zote mbili VCLT 1969. Tofauti ya BIT na IGA are the former is generic, whereas the latter is specific to a project.
Mleta mada: umesema BIT ya uingereza ina muda wa miaka 10.
Mchangiaji: nimekueleza japo hiyo BIT ina miaka 10. Lakini investment zitakazoingiwa sheria hiyo hiyo bado ni enforceable kwa 20 baadae toka kuisha kwake kwa mikitaba iliyoingiwa.
Mchangiaji: baada ya miaka 20 kutakuwa na negotiations nyingine kama kuna investments zina endelea ambapo BIT aitakuwa na nguvu as an ‘implied term’ ya mkataba (that’s the whole purposes ya sheria yeyote kwenye mkataba).
Mchangiaji: nini kitatokea pasipo na BIT wanasheria makini watatumia kanuni za law of contract ku draft terms za kuendeleza hiyo mikataba ambapo swala la usuluhishi wa migogoro watahakikisha ni neutral venue kama ilivyo kwenye BIT/IGA yeyote. Na kutakuwa na kipengele kinachoelezea mkataba unavyoweza kuisha nikakutajia na namna tatu ambazo ni completetion of performance, a frustrating event and a serious breach (sasa kuna mambo mengi hapo ya kimazingira kwenye kila aspect).
But then yote hayo yapo pia kwenye IGA ya Tanzania yameandikwa tofauti tu.
Mikataba ya biashara rules zake ni principle za contract law; ata hizo sheria zina codify tu principles ambazo nyingi vyanzo vyake ni case laws za uingereza (mostly) na marekani (in small instances).
walimu wana kazi sana
Una complicate mambo sana.
Mleta mada: umeandika tuige sheria IGA (which is BIT) ya uingereza.
Mchangiaji: nimekueleza hiyo BIT ya uingereza na IGA ya Tanzania hazina tofauti na misingi ya zote mbili VCLT 1969. Tofauti ya BIT na IGA are the former is generic, whereas the latter is specific to a project.
Mleta mada: umesema BIT ya uingereza ina muda wa miaka 10.
Mchangiaji: nimekueleza japo hiyo BIT ina miaka 10. Lakini investment zitakazoingiwa sheria hiyo hiyo bado ni enforceable kwa 20 baadae toka kuisha kwake kwa mikitaba iliyoingiwa.
Mchangiaji: baada ya miaka 20 kutakuwa na negotiations nyingine kama kuna investments zina endelea ambapo BIT aitakuwa na nguvu as an ‘implied term’ ya mkataba (that’s the whole purposes ya sheria yeyote kwenye mkataba).
Mchangiaji: nini kitatokea pasipo na BIT wanasheria makini watatumia kanuni za law of contract ku draft terms za kuendeleza hiyo mikataba ambapo swala la usuluhishi wa migogoro watahakikisha ni neutral venue kama ilivyo kwenye BIT/IGA yeyote. Na kutakuwa na kipengele kinachoelezea mkataba unavyoweza kuisha nikakutajia na namna tatu ambazo ni completetion of performance, a frustrating event and a serious breach (sasa kuna mambo mengi hapo ya kimazingira kwenye kila aspect).
But then yote hayo yapo pia kwenye IGA ya Tanzania yameandikwa tofauti tu.
Mikataba ya biashara rules zake ni principle za contract law; ata hizo sheria zina codify tu principles ambazo nyingi vyanzo vyake ni case laws za uingereza (mostly) na marekani (in small instances).
nashindwa hata nikusaidie nini,una mambo mengi, nadhani pia hujui unataka nini kwenye maswali yako, okay mwanzano nilikujibu kuhusu vclt, 1969 kuwa sio specific law to investment law, coz basement yake ni recognition of international jcontracts,
tofauti ya IGA na BIT unayotaka kuileta nadhani pia hujui, pengine ni lugha au kutokujua, those terms are used interchangeably, shortly, IGA= (Inter-governmental), inter ni prefix yenye maana ya between, kwa sababu neno linalofuata ni government, it means between two government, na agreement ( ambayo wengi mnachanganya na kudanganya watu, ni makubaliano, hapana ni mkataba, = kwa hiyo ni mkataba baina ya nchi mbili.
neno Bilateral (Bi-lateral), etymologically is from latin lingua, bi-means two, na lateral (two sides), na treaty (means agreement), kwa hiyo literally iko translated as agreement between two sides.
hizo terms zote katika sheria za mkataba wa kimataifa, for purpose of our discussion yaani uwekezaji zinatumika interchangeably, two means the agreement between two states, ( na hapa ndio vienna convention on law of treaties ina apply)
kwa hiyo mikataba hiyo ila lengo la kulinda uwekezaji, hakuna kitu kinachoitwa specific or generic. these are ground for protection of investors as against the host government.
they all bound by vienna na ndio rationale ya kwenda bungeni, to make concluded as such.
pili mkuu, unatupiga za mbavu, mikataba ya uwekezaji na mikataba ya biashara ina tofauti sana, japo inarandana, principle and rules zake ni tofauti, they may bave a baseline on the law of contract kwa sababu ni ndio msingi wa mikataba yote but they depart, kwa maana ya nature ya investment na biashara ziko tofauti.
tatu mkuu, fanya homework yako vizuri kwenye discharge ya contract, mikataba ya uwekezaji need serious mind, reliance on copy and paste ya completion of perfomance? serious breach? and frustration of contracts. ( lazima mpigwe kama akili ndio hizi kama ngoma ya DPW). imekula kweli hiyo boss.
iga ya uk, na UAE na kwetu na dubai ni vitu viwili tufauti, kuanzia kwenye compliance to the law of vienna of 1969, to the patriotism of the whole contract. kimsingi tumepigwa, mchana kweupe.
nendeni mkatoe elimu vijijini, watanzania wawaelewe, kula hawaitaji sana minds, upande wa khanga biashara kwishiney