Uliuonea wapi?sema joket mvumilivi alikuwa anavumilia mzigo wa hasheem thabiti.
Nawaza akikutana na CDF bado atapigiwa salute?Mbona yupo sawa kwenye ukaguzi wa Majengo unataka avae nguo gani?
Hawa watoto ni nani aliyeyewapa vyeo?!
Macho mengi kwao..na mengi ni ya husda,chuki,wivu....wanarogwa sana.Kwann mkuu?
Kwa akili zako unadhani mkuu wa wilaya siyo mtumishi wa umma!!? hizi shule zenu za Memkwa zinafanya hamfahamu hata vitu basic.....kwani mkuu wa wilaya ni mtumishi wa umma?
unataka kuelimishwa au unataka kubishana? cheo cha kisiasa unaita mtumishi wa umma?Kwa akili zako unadhani mkuu wa wilaya siyo mtumishi wa umma!!? hizi shule zenu za Memkwa zinafanya hamfahamu hata vitu basic.....
hana maajabu lakini ndio hivo tena anapendwa na mama mwenye nyuma
Unajua maana ya kuwa mtumishi wa umma? Mkuu wa wilaya anatumikia nini na mshahara wake analipwa na nani? unao uelewa kwamba hata rais ni mtumishi wa umma namba moja au hizi shule zenu za MEMKWA ni kwenda kuzurura tu.unataka kuelimishwa au unataka kubishana? cheo cha kisiasa unaita mtumishi wa umma?
DC mchapakazi sana huyu...
Mkiandikiwa heading story au thinking story unapita juu kwa juu wala hausomi, asilimia kubwa mnapenda hizi za udaku.JF of GT's, tunajadili uvaaji wa nguo!