Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameanza tena. watafukua makaburi.
hamna mtu ambaye hana makaburi ya kufukuliwa, ni kwa vile tu we uko segese huko hakuna anayekujua, ila ungekuwa kama yeye na ww tungefukua hayo maozo yako kwa raha zetu.ameanza tena. watafukua makaburi.
Pisi ya ukweli hyoHuyu mtoto mrembo sana aisee.
MMBEA MWENYEWE MWANAUME ETIKazi umbea tu
Huyu mtoto namtamani ever since aisee,nikimpata huyu sitatamani nje tena.Pisi ya ukweli hyo
Kwanza Acha ufala nani kakwambia tuna viongozi bwana ...... kiongozi ni yule aliye chaguliwa kwa kura halali ya wanachi ..... hawa wwngine wote ni vikundi vya wapigaji walio jivika ngozi ya kondoo .....[emoji125][emoji125][emoji125]
😂😂😂Yeye avae tu sisi tunachokata ni kujua mkataba wa bandari umekaaje?
Kweli hii ni dressing code ya wapi? Achague kuwa mwanamitindo au kuwa Kiongozi wa Serikali.
Ah mtalaam.ww una changamoto, mbona hapo ame jisotiri vizuri tu