Paschal Ngaiza
New Member
- Jan 3, 2021
- 1
- 2
ni kujaribu kujiweka kwenye USO fulani katika jamii fulani, wakati siyo wakati wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha..............kumbe alikuwa wakawaidawengi tu ndo maana nikasema hakuwa mgumu kiasi cha pricebreaker kusifiwa. hata domo alishakula.
unadhani asingetangulia pricebreaker angethubutu kutia mguu kwa mlimbwende? thubutu, angepotezwa mazima.
Wa kawaida sana,Hahaha..............kumbe alikuwa wakawaida
Mzee alikuwa hapendi kushea
Avae diraMbona yupo sawa kwenye ukaguzi wa Majengo unataka avae nguo gani?
Kweli kabisa. Avae hata suti hatuna shida naye. Sisi tunachotaka kwa sasa ni umeme, umeme, umeme.Yeye avae tu sisi tunachokata ni kujua mkataba wa bandari umekaaje?
Waraka wa mavazi haujaonesha nguo za saiti, wala za warsha tuache kupindisha mamneno hat kuacha shati wazi kidogo ni kwaajili ta saiti?Kazi sana kuwa kiongozi wa serikali. Yan hadi site basi mtu awe na masuti tu. Vunjabei kanyagia hapohapo mpe minguo kama hiyohiyo.
ulitaka ajikabe koo? ashindwe kupumua, afe?Waraka wa mavazi haujaonesha nguo za saiti, wala za warsha tuache kupindisha mamneno hat kuacha shati wazi kidogo ni kwaajili ta saiti?
Hatari sana MzeeWa kawaida sana,
Mzee alitakaga kumtoa mtu roho kisa sundi mkuu wangu, alikuwa hataki utani na mbususu yake.
Huo waraka umeeleza nguo gani zivaliwe site?Waraka wa mavazi haujaonesha nguo za saiti, wala za warsha tuache kupindisha mamneno hat kuacha shati wazi kidogo ni kwaajili ta saiti?
Sasa si pisi hiyo Mkuu unataka avae nani hivyo...Umefuatulia uvaaji wake kwenye baadhi ya events?
Hiyo mitindo ndio iliyomvutia yule jamaa hadi akampa uteuzi sasa kwa nini aiache?
Sijaona habari za site ila ni watumishi wa umma wanatakiwa kuvaaje hivyo tu.Huo waraka umeeleza nguo gani zivaliwe site?
msiwe mnapenda kuumiza vichwa vyenu kwenye mambo mepesi
John & JokateJojo
hata sasa bado nafasi ipo mkuu wangu, ni wewe tu na vocal zako.Yani binti kama huyu nilitakiwa nioe kabisa....wanaume wengine washenzi sana