wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,107
Mtoa post ni jinsia ya kike maana hii ni wivu wa kike. Kama ni me basi amekuzwa na bibi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa post ni jinsia ya kike maana hii ni wivu wa kike. Kama ni me basi amekuzwa na bibi
kwani mkuu wa wilaya ni mtumishi wa umma?Yeye sheria ya mavazi haimuhusu? au imebaki kwa ma HR kuwabana watumishi wa kawaida huku makazini.
...Mbona yupo Fresh TU ?.... Ulitaka avaeje ??
Hata polisi pisi ikivaa hovyo mzigo nje nje inaambiwa ikavae vizuri...Kuna siku dogo akienda ofisini alirudishwa nyumbani na mlinzi wa getini kisa amevaa likewise akaambiwa kabadilishe!!.
Nina dogo mmoja mlevi mkubwa halafu uvaaji hamna kitu ila bana kazin kwao wanavyomSawa kabisa.
Sishangai nikikukuta ofisini umevaa pensi na jezi la Galatasaray, huko kichwani nywere umetibua!.
Bro hii nchi imeongozwa na wavaa suti mpaka kesho lakin wanataka kuiachia bandari bure kabisa. LiveSawa kabisa.
Sishangai nikikukuta ofisini umevaa pensi na jezi la Galatasaray, huko kichwani nywere umetibua!.
sawa yohana mtakatifuNaona hatuelewani kamarada!
wavaa suti takataka tu zimejaa kichwaniNina dogo mmoja mlevi mkubwa halafu uvaaji hamna kitu ila bana kazin kwao wanavyom
Bro hii nchi imeongozwa na wavaa suti mpaka kesho lakin wanataka kuiachia bandari bure kabisa. Live