Frank Hood
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 597
- 1,374
Kuanza mwenzako kakutangulia inabid uwe na moyo wa ziada...hata sasa bado nafasi ipo mkuu wangu, ni wewe tu na vocal zako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanza mwenzako kakutangulia inabid uwe na moyo wa ziada...hata sasa bado nafasi ipo mkuu wangu, ni wewe tu na vocal zako.
Hasheem kwisha habari yake, halafu mbona siku hz anakvja kimyakimya?Na hasheem katia timu bongo,mvunja bei akae chonjo[emoji16]
Kwani kuna shida gani kama anadeliver, akili sio mavazi au muonekano, matapeli ndo wanapendaga wawe na muonekano mzuri ili kuhadaa watu, kama hao wavaa suti wenu masaa yote kumbe wezi tu.Sawa kabisa.
Sishangai nikikukuta ofisini umevaa pensi na jezi la Galatasaray, huko kichwani nywere umetibua!.
Yeye kiongozi ndio hana exposure. Aliishi ubalozini Ulaya akiwa mtoto mdogo, hakujifunza lolote. Total pinhead.Ongeza exposure.
unaogopa nn mkuu, si utakuwa unakula child support tu mkuu wangu, huku mnaendeleza yenu na mlimbwende,Kuanza mwenzako kakutangulia inabid uwe na moyo wa ziada...
😂😂😂unaogopa nn mkuu, si utakuwa unakula child support tu mkuu wangu, huku mnaendeleza yenu na mlimbwende,
Sheriya inasema kiongozi wa serikali avae vazi gani?
Zinakuwaga na mikosi sanaPisi kalii
Naseeb Abdul a.k.a Diamond anawa chekaa.Kumbe alikuwa maharage ya Mbeya
Unadhani hakuna waliyofanikiwa kumkula kabla ya Mzee kutangulia?
JF of GT's, tunajadili uvaaji wa nguo!
Nimejikuta nacheka ka mwehu hahahahaaaa
Hatari, kumbe pale pochi nene ndiyo inahusika 🤪Naseeb Abdul a.k.a Diamond anawa chekaa.
Ngogoti Hasheem Thabiti anauliza kwani mwanangu Mondi hiyo kitu hatuku share na Kiba?
Kwani si upo au uvivu kutafuta na kusoma?Yeye avae tu sisi tunachokata ni kujua mkataba wa bandari umekaaje?
Ulitaka avaaje sasa
Kwann mkuu?Zinakuwaga na mikosi sana