JE KUNA UKWELI WOWOTE KUHUSU BIKO? .....
naitwa geophrey ni mkazi wa arusha siku ya jana nime cheza BIKO jumla ya laki na 70 ,watu wengi tuna amini tuna weza kushinda ma milioni ya pesa 50m hadi 100m,Katika kucheza biko nime jifunza kitu sijui kama ni mawazo yangu.
Huu mchezo mwanzo una kuvutia mwanzoni ili uendelee kucheza kwa mfano kwa siku ya jana nilianza na elf 10 sikushinda nika cheza tena elf 10 nikashinda elf 20 nikacheza elf 20 tena nikashinda elf 50 lakin swali langu kubwa ili kushinda hzo m50 au m100 ina kuaje maana nme kuwa mtumwa nina ndoto za kushinda na nina nafasi 171 katika dro ya j5 na j2!!!!