Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

Wote ni wahuni tu mfano hao Biko hawana hata winning criteria kwamba umepatia hiki utashindi hiki eti ww weka hela tu ndiyo unaingia kwenye draw, hakuna tofauti na kuchukua hela yako ukaitumbukiza chooni then utegemee itazaa. Tatu mzuka nao hakuna mtu anayeverify kwenye kila draw ya saa kuwa namba ya bahati ilikuwa ni xyz, mfano ukisema namba za bahati labda ni 367 wakishachezesha draw yao ya saa wanakwambia namba za bahati zilikuwa labda 994 umeshindwa ujaribu tena baadaye kadhalika kwa mwingine aliyeweka kama hiyo yaani 994 wanaweza mwambia namba za bahati zilikuwa 063 yaani full usaniii maana hakuna mtu anayefanya check n balance, wanakusanya hela weee ndiyo wanakuja kuamua labda watoe mshindi mmoja wa 2m.
Hapana ushaid wa kila saa upo ingia website yao wanaweka washind na kila namba ya muda huo
Kwaio namba hazitofautian kama ulivosema,hata mimi mwanzon nlihisi ivo
 
Wamnitumia ii msg sijui wsmepata wapi namba yangu,

Zaidi ya watu MILIONI 1 wamevuna BILIONI 12 kutoka BIKO. Kesho 60M kwa watu wa 3. Leo ni MILIONI 300 za papohapo. CHEZA SASA. Namb ya Kampun 505050,Kumb No 2456

Swali la msingi; Je Serikali inachujua kodi ya mapato makubwa ivi
 
Afadhari ya biko uwezi poteza elfu kumi pasipo kushinda hata elfu tano Biko wapo vizuri ukiwa mdau woa ukicheza mfululizo mfano laki moja yani leo unaccheza buku kesho jelo at list Biko wana huruma wanaweza kirudishia elfu hamsini kama zawadi yako ila hao sijui nini mzuka hamna kitu wezi wezi tu
si kweli mie nilicheza kama mara 3 naishia ambiwa bado nafasi moja millioni iwe yako nikaona huu ubwege sasa mara 2 zote naambiwa ujinga huo huo
 
Wamnitumia ii msg sijui wsmepata wapi namba yangu,

Zaidi ya watu MILIONI 1 wamevuna BILIONI 12 kutoka BIKO. Kesho 60M kwa watu wa 3. Leo ni MILIONI 300 za papohapo. CHEZA SASA. Namb ya Kampun 505050,Kumb No 2456

Swali la msingi; Je Serikali inachujua kodi ya mapato makubwa ivi
Mwezi September walireport kulipa 2.1 b kodi! Hii ilinifikirisha sana! Kwamba jamaa wanapiga super profit!
 
Inatakiwa Waziri husika afute hii michezo maana inawatia Wananchi umasikini, kama kigwangallah alikimbizana na kina Dr mwaka na kuwafuta kwenye ramani kwanini waziri husika anawaangalia hawa biko/ tatu mzuka na michezo inayofanana na hiyo? At least Kubet unaona kama umeshinda au lah! Hiyo mizuka imekuwa mizuka kweli maana haujui vigezo ni vipi na kupata mshindi sio live ni recorded tu,wizi mtupu.
 
afadhali buku lako ukabet kwenye michezo kama mpira. ukiliwa unaliwa kwa haki kuliko huo upuuz
 
mchezo unao jua umepata au umekosa ni betting aka mkeka zaidi ya hapo kwenye tatu mzuka na bikio ni desi ya kwa stahili yao
 
Hahahah kiukweli sitakaa nifanye upuuzi wa tatu mzuka japokuwa ni mnazi wa kubet hasa live games. Naona kama usanii flani kucheza biko au tatu mzuka, guts zinaniambia ushindi wao hupangwa.
 
Biko ni wasanii.. Ila bahati nasibu sii live.. Wanatuibia.. Nilishajaribu kumpigia mshindi muda ule ule namba ilipotokea na bamba ilikuwa inapatikana.. Hii inamaanisha sii waaminifu .... Wanatuaminisha ni live lakini siyo.

Kwa hilo tu inaondoa credibility yao.
Nawahamasisha na wengine wathibitishe hilo jumatano hii.
Aiseee, kumbe Mpoki na Kajara wanakuwa sio live pale? ...kumbe haina maana kuweka simu karibu ile mida yao..... Damn
 
Pole sana, na hata kama ungelishiriki hiyo bahati nasibu ungelishiriki tu. Lakini usingeshinda, wanawashindi wao wamewaandaa siku nyingiii nyie mnaoingia mchezoni kichwa kichwa ni mwendo wa kupigwa tu hakuna cha nguvu ya buku, wala nguvu ya soda. Ni utapeli wa wazi wazi, eti utoe buku (1000) upate buku tano (5000) umewahi kuona wapi hiyo biashara?
Ndo tatzo linalo tumaliza Africa vitu vya bure......tunapenda sana
 
Leo ndo nmeanza kujaribu Bahati yangu kwenye mkeka huu. Sasa kila nikiwawekea buku wananambia bado nafasi moja, bado tatu e.t.c ili uweze kushinda mil.1 ya papo kwa papo, una nafasi 2 kushinda jumadili, e.t.c.

Vp, kuna wakati ukicheza huwa wanaleta SMS kwamba "imetosha subiria Bahati?"

Msaada kwa wanaojua issue hii.

mbavu zime uma kwa kucheka
 
Hiyo Inaitwa kamari

Inaendeshwa na kikundi cha watu Kwa ujanja sana

Vizawadi vidogo vidogo vipo ili kukufanya uendelee kuwachangia mifweza

Achana na hio michezo utaendelea kuwa masikini wa fikra ukishajiingiza huko muda wote akili yako itawaza majumba ya kifahari minoti Kwa kitu ambacho hutakipata kitaishia kwenye fikra tu na kujikuta umepoteza muda mwingi for nothing

Bet mpira unaweza shinda
Aisee mbona umekatisha Watu tamaaa
 
Back
Top Bottom