GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nimeshiriki mchezo huu, na niliposhiriki wamekuwa wakinitumia msg zao za kunihamasisha nishiriki au msg za kutangaza washindi wao, Cha ajabu ni hizi msg mbili za kutangaza washindi hebu angalieni namba za simu za washindi! View attachment 533320
Kwani wamekulazimisha ucheze bahati nasibu yao Mkuu? Hivi kama ingetokea ume ' beti ' halafu kweli ukashinda hiyo 20 M yao ungekuja ' kuwapovukia ' hivi humu JF kama ulivyofanya sasa baada ya kupatwa na hasira ya ' Kubeti ' kila siku lakini mpaka sasa bado hujaambulia ' Senti ' yoyote?
Na bado ' Kudadadeki '.