Tuelimishane: mazishi ya Membe yamebeba sura ya msiba wa kiongozi mkubwa Kiitifaki. Nini maana yake

Mnaofatilia msiba huu wanasoma wasifu wa marehemu.

Membe ni mwana idara wa Usalama wa Taifa. Na amepigana vita vya Kagera kama jasusi na amesimamia uundaji wa serikali mpya ya Uganda baada ya vita.

Msoma wasifu, amesema wazi mwaka ambao Membe ameanza kazi ndani ya Idara ila hajasema kama alistaafu.
 
Je ni sahihi kutaja wssifu wa mfanyakazi wa idara?

Hawajawahi kufa? Maana hatykuwahi kusikia kabla hili jambo la marehemu kutajwa kama.mfanyakazi wa idara
 

Kuna sababu kadhaa,
Ni Waziri mstaafu, kada na mwana mtandao…

90% ya waliopo Serikalini ni watu amefanya nao kazi kwa muda mrefu, wengine walioko kwenye system ni ndugu na rafiki zake.

Pia ukumbuke huu msiba unaigusa Msoga, sasa unapozungumzia msoga si ndo serikali yenyewe?
 
Kwa hiyo kama ukifahamika serikalini ndo Hazina iingie gharama hizo kubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…