Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu wa mitengo tangu lini akastaafu?Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.
View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.
Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.
R.I.P. Membe
Wala usijusumbue mkuu, jasus hajafa... pale rondo no mzoga wa nguruwe utafukiwa. Wema hawafi... alikufa jiwe tu.Wema haulipwi kwa ubaya abadani ukiwa mwema wewe ni mwema ukiwa mbaya vivyo hivyo . Tuendelee kujifariji kwa kusoma makala ile ya shiva na kile kitabu cha wahariri " I am the state"
Muuaji amekufa m?Hahaha . Wema utadumu na uovu utafutika mapema! Kwamba kwakuwa unajua kukariri kilomita za barabara ndiyo uue watu? Hiyo siyo sawa!
Dunia hii,imagine alimpost Membe juzi juzi tu.Leo nae kavuta.Dunia hii acha tu.
Msiowote kwenye reli... wale wote waliofurah kifo cha Magufuli regardless wapo CCM au upinzani wanasubiriwa kwa hamu... pona pona yao waombe msamaha au waishi milele... la hasha walizikwa tutakojolea majeneza yao...Cha ajabu ni WanaCCM wa humu JF ndio wanaofurahishwa na kuondoka kwa mwana CCM mwenzao [emoji848]
Kabudi si alitwambia kuwa Jiwe mawaziri wake alikuwa akiwaokota jalalani mbona kuleta nongwa kwenye msiba.Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.
View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.
Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.
R.I.P. Membe
We ganga njaa zako, chuki dhidi ya maiti hazina maana.tutakojolea majeneza yao...
Membe anakofia nyingi!Nadhani ukachero wake ulikuwa wa hadhi ya juu na sio uwaziri tu kaka!Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.
View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.
Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.
R.I.P. Membe
Je ni sahihi kutaja wssifu wa mfanyakazi wa idara?
Hawajawahi kufa? Maana hatykuwahi kusikia kabla hili jambo la marehemu kutajwa kama.mfanyakazi wa idara
Tofautisha kati ya Wafuasi wa CCM na Wafuasi wa Marehemu wa Chato! Hao Wafuasi wa Marehemu utiifu wao kwa marehemu haukuwa kwa sababu za kiitikadi bali ukabila. Wengi wao hapo ni Wasukuma. Walivyo na akili finyu wanadhani adui wa JPM alikuwa Membe bila kujua ambacho kilikuwepo kati ya Membe na JPM ni maslahi ya kisisasa.Cha ajabu ni WanaCCM wa humu JF ndio wanaofurahishwa na kuondoka kwa mwana CCM mwenzao 🤔
Uzuri wazee wa Londo wanacheki ktk VAR sababu za kifo cha mpendwa wao. Subirini pigo jingine huko sukuma gang utasikia uwii ujue wazee wamesha fanya yao.Mzoga unaagwa leo[emoji23][emoji23][emoji23] unapelekwa Rondo
Kazikwe na mzoga wenuHaimanishi chochote kwa wenye akili timamu . Tunahitaji uhuru kuliko barabara yes. Membe amefariki lakini taifa lipo huru sasa tangu msiba ulle wa juha
Eti wanasubiriwa kwa hamu. Akili za kipumbavu kabisa. Usikute wakati unasubiri wenzako wafe, ndo kwanza unaanza kufa wewe au mama yako.Msiowote kwenye reli... wale wote waliofurah kifo cha Magufuli regardless wapo CCM au upinzani wanasubiriwa kwa hamu... pona pona yao waombe msamaha au waishi milele... la hasha walizikwa tutakojolea majeneza yao...