Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,290
- 4,623
Ujinga ni adui wa maendeleoJK sijamuona hapo. Baada ya tarehe 16 tutashuhudia maanguko ya COVID-19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga ni adui wa maendeleoJK sijamuona hapo. Baada ya tarehe 16 tutashuhudia maanguko ya COVID-19
Usikute una watoto sijui kama wanacho Cha kujifunza kutoka kwakoKazikeni mzoga wenu!
Mungu kamataafishakachero hastaafu, over and out!
Sema wakuu tuchukue tahadhari ni kama kuna homa inayo ambatana na mafua imezuka hivi.. watu wangu kadhaa wakaribu wameumwa labda ni kwasababu ya baridi..Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.
View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.
Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.
R.I.P. Membe
Kwani ule mzoga wa Chato umefufuka au umekwisha oza?Mzoga unaagwa leo😂😂😂 unapelekwa Rondo
Huna akili wewe!Wale mawaziri wa Jiwe anajua mwenyewe alikokuwa anawapata
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwani mizoga ya wazazi wako haijaoza bado?Kwani ule mzoga wa Chato umefufuka au umekwisha oza?
Maana ulizungushwa karibu nchi nzima na ukapelekea watu wengine kufa kwa kukanyagana wakigombea kuutazama
Aage mzoga wewe!!!Hahaha . Wema utadumu na uovu utafutika mapema! Kwamba kwakuwa unajua kukariri kilomita za barabara ndiyo uue watu? Hiyo siyo sawa!
Mkuu umeongea vizuri sana , just Rais amefika lazima watu wake wa chin wampe kampani, sasa sijui mtoa mada alitaka Rais nenda kwenye msiba kama bi mkubwa wangu alioko Songea NyasaMimi siyo mtaalam wa protokali lakini tukio lolote, akishiriki Rais, tegemea kuiona karibia Serikali yote.
Hata Mahiga, kama Rais angeshiriki, isingekuwa tofauti kubwa na hii ya leo.
Hapa ufahamu kuwa kuna Rais amehudhuria. Halafu Kikwete ni Rais mstaafu, na sote tunajua kuwa marehemu alikuwa karibu na marehemu, na wengine wanathubutu kusema ni ndugu yake.
Mtu mashuhuri akifariki au mtu wa kawaida asiye na umashuhuri wowote akafariki lakini watu wa karibu na marehemu wakawa ni watu mashuhuri, tegemea mabadiliko katika taratibu.
Achana naye mkuu laana za ukoo ni shida, acha apambane hali yake , laana ya ukoo hainaga tibaUsikute una watoto sijui kama wanacho Cha kujifunza kutoka kwako
Hata mwizi akifa vyombo vya habari hutangaza wanafalijiana haituhusu wakamfukie tu yaishePoleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.
View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.
Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.
R.I.P. Membe
Aliesema hvyo sio huyu, ni nape.Mungu ameamua ugomvi!
Jpm alikuwa mwizi sawa ila huyu ni mbwa Koko Kawa mzoga wafanye haraka wakaufunikie huko rundo kwaoJizi kuu llimezikwa ccchattle
Leo msoga family mmelowaSawa
Tahadhari kwa wanaompost lemutuz humu wasije wakavuta nao😂😂Dunia hii,imagine alimpost Membe juzi juzi tu.Leo nae kavuta.Dunia hii acha tu.
@moderatorsHuo mzoga ulijifanya hautakufa😂
Ila ukumbuke wanasubiriwa kwa hamu usitoe povu lako loteEti wanasubiriwa kwa hamu. Akili za kipumbavu kabisa. Usikute wakati unasubiri wenzako wafe, ndo kwanza unaanza kufa wewe au mama yako.
Mbona mzee makamba hakwenda msibani?Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.
View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.
Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.
R.I.P. Membe
Kange lako limeanza kuoza nenda kalifukie shauli yakoUkiwa muumini wa watu utasema haya. Ukiwa muumini wa taasisi ulichoandika ni upumbavu. Kama ulienda shule utaelewa. Hatuhitaji viongozi ma fascist tunahitaji sheria zenye kutenda kwa kila mtenda! Sheria co mtu.. zipo kidhibiti matendo ya watu kama JPM. KWANN TENDA YA KUJENGA CHATO HAIKUTANGAZWA? MAYANGA CONSTITUTION NI KAMPUNI YA NANI?