Tuelimishane: mazishi ya Membe yamebeba sura ya msiba wa kiongozi mkubwa Kiitifaki. Nini maana yake

Tuelimishane: mazishi ya Membe yamebeba sura ya msiba wa kiongozi mkubwa Kiitifaki. Nini maana yake

Kazikwe na mzoga wenu
Ukiwa muumini wa watu utasema haya. Ukiwa muumini wa taasisi ulichoandika ni upumbavu. Kama ulienda shule utaelewa. Hatuhitaji viongozi ma fascist tunahitaji sheria zenye kutenda kwa kila mtenda! Sheria co mtu.. zipo kidhibiti matendo ya watu kama JPM. KWANN TENDA YA KUJENGA CHATO HAIKUTANGAZWA? MAYANGA CONSTITUTION NI KAMPUNI YA NANI?
 
Tofautisha kati ya Wafuasi wa CCM na Wafuasi wa Marehemu wa Chato! Hao Wafuasi wa Marehemu utiifu wao kwa marehemu haukuwa kwa sababu za kiitikadi bali ukabila. Wengi wao hapo ni Wasukuma. Walivyo na akili finyu wanadhani adui wa JPM alikuwa Membe bila kujua ambacho kilikuwepo kati ya Membe na JPM ni maslahi ya kisisasa.
Asante kwa ufafanuzi mzuri.
 
Mnaofatilia msiba huu wanasoma wasifu wa marehemu.

Membe ni mwana idara wa Usalama wa Taifa. Na amepigana vita vya Kagera kama jasusi na amesimamia uundaji wa serikali mpya ya Uganda baada ya vita.

Msoma wasifu, amesema wazi mwaka ambao Membe ameanza kazi ndani ya Idara ila hajasema kama alistaafu.
Kwani TISS huwa wanastaafu??
 
Mtu akishalala hebu tujifunze tu kukaa kimya na kuiombea familia itiwe nguvu na marehemu akapumzike Kwa Amani....hata ukiongea hawezi kujibu hawezi kujibu kurasa zake zinakuwa zimefungwa.
 
Uzuri wazee wa Londo wanacheki ktk VAR sababu za kifo cha mpendwa wao. Subirini pigo jingine huko sukuma gang utasikia uwii ujue wazee wamesha fanya yao.
Si mliona ule Moshi pale Ruangwa jamaa akasema naona mnaleta hadi moshi.

Tusio wana ccm tunafurahi tuu mnapo uana wenyewe kwa wenyewe halafu mnafurahi. Tuliwaambia kuwa siasa za chuki hazina tija lakini mkawa mnakenua meno tuu kufurahia mateso ya wapinzani Magufuli akiyatenda.
Sasa hivi chuki imerudi kwenu mnaitana mizoga na bado. Biblia inasema apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Mlipanda chuki na sasa mnavuna chuki yenu wenyewe.
Maendeleo hayana vyamaa.
Hao wazee wameshindwa kuzuia mwenye wako kudanja, ndo wataweza nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Watu hawatishiki na moshi babuu wee
 
Kikohozi cha MC wa shughuli kinanipa shaka kidogo
 
Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.

Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.

View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.

Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.

Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.

R.I.P. Membe
Mimi siyo mtaalam wa protokali lakini tukio lolote, akishiriki Rais, tegemea kuiona karibia Serikali yote.

Hata Mahiga, kama Rais angeshiriki, isingekuwa tofauti kubwa na hii ya leo.

Hapa ufahamu kuwa kuna Rais amehudhuria. Halafu Kikwete ni Rais mstaafu, na sote tunajua kuwa marehemu alikuwa karibu na marehemu, na wengine wanathubutu kusema ni ndugu yake.

Mtu mashuhuri akifariki au mtu wa kawaida asiye na umashuhuri wowote akafariki lakini watu wa karibu na marehemu wakawa ni watu mashuhuri, tegemea mabadiliko katika taratibu.
 
Mimi siyo mtaalam wa protokali lakini tukio lolote, akishiriki Rais, tegemea kuiona karibia Serikali yote.

Hata Mahiga, kama Rais angeshiriki, isingekuwa tofauti kubwa na hii ya leo.

Hapa ufahamu kuwa kuna Rais amehudhuria. Halafu Kikwete ni Rais mstaafu, na sote tunajua kuwa marehemu alikuwa karibu na marehemu, na wengine wanathubutu kusema ni ndugu yake.

Mtu mashuhuri akifariki au mtu wa kawaida asiye na umashuhuri wowote akafariki lakini watu wa karibu na marehemu wakawa ni watu mashuhuri, tegemea mabadiliko katika taratibu.
Mwaka fulani nilikuwa msibani ambapo baba wa rafiki yangu alifariki.
Rais Kikwete alikuja Msibani na hakukuwepo na waziri wala kiongozi yeyote. Alikuja akakaa akashiriki ibada ya kuaga akasepa.

Ulichoandika si kweli
 
Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.

Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna ambayo inanipa dukuduku kufahamu undani wake.

View attachment 2621216
Protokali za Mkuu wa Nchi kushiriki msiba wa mtumishi ama mstaafu zinafahamika. Na ikumbukwe marehemu Membe alikuwa amestaafu na sheo chake cha juu cha mwisho kilikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.

Nimeona Serikali nzima imejaa pale Karimjee, na hata wakuu wa mihimili ya dola nao wameshiriki kupata mimbari ya kutoa salaam kwa protokali za serikali.

Nafahamu humu JF kuna wataalam wengi, naomba tuelimishane inakuwaje huu msiba kuwa na protokali za juu kuliko misiba hata ya mawaziri waliowahi kufariki wakiwa madarakani.
Tunamkumbuka aliyekuwa Waziri wa Ulinzi alipofariki hatukuona ukuu wa protokali namna hii.

R.I.P. Membe
Kwani kuna tatizo wakiwepo hao wote? Na leo ni jumapili watu wakienda kushiriki kumuaga Kuna shida gani?
 
Nchi hii Ina watu wa jinga wengi Sana na chuki kubwa Sana na ndio maana hatuendelei.
Kuna thread kibao Zina eleza kuwa huyu Membe alukwa Kachero Tena mbobezi lkn watu wana shangaaa kuona viongozi wengi msibani kwake
 
Samaki wanakulana wenyewe,baada ya tukio hili usishangae sukuma gang kikawakuta kilio au wafiwa wakafiwa tena. Wanasiasa wanaishi kinafki na kuwindana sana.
Kuna Raha Gani mtu anaipata Kwa kutoa uhai wa mtu mwingine tena bila hatia.....

Uhai wa mtu yeyote usio na hatia ukiutoa ni KARMA,

Kama zipo faida nijulishwe....
 
Back
Top Bottom