Tuelimishane: mazishi ya Membe yamebeba sura ya msiba wa kiongozi mkubwa Kiitifaki. Nini maana yake

Sema wakuu tuchukue tahadhari ni kama kuna homa inayo ambatana na mafua imezuka hivi.. watu wangu kadhaa wakaribu wameumwa labda ni kwasababu ya baridi..
 
Mzoga unaagwa leo😂😂😂 unapelekwa Rondo
Kwani ule mzoga wa Chato umefufuka au umekwisha oza?
Maana ulizungushwa karibu nchi nzima na ukapelekea watu wengine kufa kwa kukanyagana wakigombea kuutazama
 
Kwani ule mzoga wa Chato umefufuka au umekwisha oza?
Maana ulizungushwa karibu nchi nzima na ukapelekea watu wengine kufa kwa kukanyagana wakigombea kuutazama
Kwani mizoga ya wazazi wako haijaoza bado?
 
Mzee Mwinyi aliwahi kusema maisha ni kama uandishi wa kitabu.
 
Mkuu umeongea vizuri sana , just Rais amefika lazima watu wake wa chin wampe kampani, sasa sijui mtoa mada alitaka Rais nenda kwenye msiba kama bi mkubwa wangu alioko Songea Nyasa
 
Hata mwizi akifa vyombo vya habari hutangaza wanafalijiana haituhusu wakamfukie tu yaishe
 
Eti wanasubiriwa kwa hamu. Akili za kipumbavu kabisa. Usikute wakati unasubiri wenzako wafe, ndo kwanza unaanza kufa wewe au mama yako.
Ila ukumbuke wanasubiriwa kwa hamu usitoe povu lako lote
Siku mbwa hawa wakidondoka daah
 
Mbona mzee makamba hakwenda msibani?
 
Kange lako limeanza kuoza nenda kalifukie shauli yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…