Ukiona unaitiwa fursa..tambua hiyo fursa ni weweKila unapokutana na wazungu usisahau kujikumbusha na kuwakumbusha kuwa wazungu hawana kitu cha bure kwao "No free lunch"
Kila mara utakapoona dili lao kwako ni zuri sana usiache kufikiria mara mbilimbili kabla ya kujiingiza.
Akina rob amster πππHata Lisu huko aliko hawamtunzi Bure ,
Kuna namna wanafaidika naye.
Ya bure hiyo ache acheni kutishana nyieKwa hiyo unataka kusema nini mkuu?
Kwamba hata hiyo chanjo si ya bure kama wanavotuambia?
Wanampakua kitumbua-pori?Hata Lisu huko aliko hawamtunzi Bure ,
Kuna namna wanafaidika naye.