Tuendelee kumkosoa Mama yetu kwa staha. Binafsi naamini anatusikia

Tuendelee kumkosoa Mama yetu kwa staha. Binafsi naamini anatusikia

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
.Binafsi nafarijika kuona nyuzi za ukosoaji wa serikali yetu kwani mitandao ndo kisemeo chetu wanyonge.
.nami niengeze sauti yangu kwa wakosoaji kama ifuatavyo

1. Wengi wanaonyesha kukerwa na sauti iliyokosa mamlaka pindi yanapobainika makosa mahala kwani mara nyingi tumeshazoeshwa kwa kuambiwa kuwa tutaliangalia hili, oooh tutaona la kufanya nk.

2. Nami ninakuwa agitated ninapozisikia kauli kama hizi mfano kwa position yake mkuu wa nchi ni kosa la karne .kwa mfano kwenye mradi kuonyesha assumption na kubariki wizi usioathiri ubora wa mradi. Nilikuwa shocked pale mama alipozindua mradi wa jengo mbeya ,na kusema hata kama mkuu wa mkoa kafanya manoeuvre kwenye mchakato alikuwa happy kwani haijaathiri ubora wa mradi. What a statement ? Mama anapaswa ku promote 100% cleanliness ya watu aliowaamini kutuhudumia kwani tunawalipa na hawajitolei hadi waibe kwenye miradi yetu.

3. Kuna mambo mengi serikali iko vizuri , mfano ku promote kilimo , kitoa pesa za miradi, kutowanyanyasa opposition nk ila bila kupepesa macho watu wengi hawana imani na usimamizi bora wa pesa ambazo nyingi tutazilipa wenyewe kwa kodi zetu.

4. Sisi wananchi mikataba ya kimya kimya hatuitaki kwani tunao uzoefu wa miaka mingi wa kuingizwa chaka, mikataba ya mh Makamba LNG , sijui upepo na ya kule uarabuni bado hatuko comfortable nayo ukilinganisha na Tembo nickel, bomba la mafuta etc ambayo tuliambiwa kilichomo kwani hata huko mbele si rahisi kulaumiana in case anything goes wrong in future.

Naamini serikali inatusikiliza wadau ndo maana imeonyesha kuwa makini kule bagamoyo na kwa ndugu zetu wamasai. Na naiagiza isinune maana kazi yetu ni kuieleza ya kwetu na kisemeo chetu ndo hiki na kazi yetu si kuiimbia mapambio bali kuikosoa tunapoona haiko.sawa.
 
The French phrase laissez faire literally means "allow to do," with the idea being "let people do as they choose." The origins of laissez-faire are associated with the Physiocrats, a group of 18th-century French economists who believed that government policy should not interfere with the operation of natural economic ...
 
Amekusikia kwenye lipi?
Tumemkabidhi mamlaka, ayatumie ,tuzione hatua na tujenge confidence na serikali yetu ,mamlaka yasibaki kwenye teuzi tu bali yaelekezwe kwa mambo hasa ambayo public tuna interest kubwa , hasa kulinda raslimali zetu , na kuwachukulia hatua wabadhirifu. Kama umesoma heading na kurukia ku comment, nimesema bagamoyo atakuwa ametusikia, kuuza wanyama wetu , na kule wamasai wetu wametulia
 
.Binafsi nafarijika kuona nyuzi za ukosoaji wa serikali yetu kwani mitandao ndo kisemeo chetu wanyonge.
.nami niengeze sauti yangu kwa wakosoaji kama ifuatavyo

1. Wengi wanaonyesha kukerwa na sauti iliyokosa mamlaka pindi yanapobainika makosa mahala kwani mara nyingi tumeshazoeshwa kwa kuambiwa kuwa tutaliangalia hili, oooh tutaona la kufanya nk.

2. Nami ninakuwa agitated ninapozisikia kauli kama hizi mfano kwa position yake mkuu wa nchi ni kosa la karne .kwa mfano kwenye mradi kuonyesha assumption na kubariki wizi usioathiri ubora wa mradi. Nilikuwa shocked pale mama alipozindua mradi wa jengo mbeya ,na kusema hata kama mkuu wa mkoa kafanya manoeuvre kwenye mchakato alikuwa happy kwani haijaathiri ubora wa mradi. What a statement ? Mama anapaswa ku promote 100% cleanliness ya watu aliowaamini kutuhudumia kwani tunawalipa na hawajitolei hadi waibe kwenye miradi yetu.

3. Kuna mambo mengi serikali iko vizuri , mfano ku promote kilimo , kitoa pesa za miradi, kutowanyanyasa opposition nk ila bila kupepesa macho watu wengi hawana imani na usimamizi bora wa pesa ambazo nyingi tutazilipa wenyewe kwa kodi zetu.

4. Sisi wananchi mikataba ya kimya kimya hatuitaki kwani tunao uzoefu wa miaka mingi wa kuingizwa chaka, mikataba ya mh Makamba LNG , sijui upepo na ya kule uarabuni bado hatuko comfortable nayo ukilinganisha na Tembo nickel, bomba la mafuta etc ambayo tuliambiwa kilichomo kwani hata huko mbele si rahisi kulaumiana in case anything goes wrong in future.

Naamini serikali inatusikiliza wadau ndo maana imeonyesha kuwa makini kule bagamoyo na kwa ndugu zetu wamasai. Na naiagiza isinune maana kazi yetu ni kuieleza ya kwetu na kisemeo chetu ndo hiki na kazi yetu si kuiimbia mapambio bali kuikosoa tunapoona haiko.sawa.
Sema mama yako labda.

Huyo ni Rais. Mama kila mtu anaye wake.
 
Sema mama yako labda.

Huyo ni Rais. Mama kila mtu anaye wake.
Huo ni msemo wetu sisi watanzania si lazima awe aneingia labour ndo awe mama yako unless we unaingilia tamaduni za watu
 
.Binafsi nafarijika kuona nyuzi za ukosoaji wa serikali yetu kwani mitandao ndo kisemeo chetu wanyonge.
.nami niengeze sauti yangu kwa wakosoaji kama ifuatavyo

1. Wengi wanaonyesha kukerwa na sauti iliyokosa mamlaka pindi yanapobainika makosa mahala kwani mara nyingi tumeshazoeshwa kwa kuambiwa kuwa tutaliangalia hili, oooh tutaona la kufanya nk.

2. Nami ninakuwa agitated ninapozisikia kauli kama hizi mfano kwa position yake mkuu wa nchi ni kosa la karne .kwa mfano kwenye mradi kuonyesha assumption na kubariki wizi usioathiri ubora wa mradi. Nilikuwa shocked pale mama alipozindua mradi wa jengo mbeya ,na kusema hata kama mkuu wa mkoa kafanya manoeuvre kwenye mchakato alikuwa happy kwani haijaathiri ubora wa mradi. What a statement ? Mama anapaswa ku promote 100% cleanliness ya watu aliowaamini kutuhudumia kwani tunawalipa na hawajitolei hadi waibe kwenye miradi yetu.

3. Kuna mambo mengi serikali iko vizuri , mfano ku promote kilimo , kitoa pesa za miradi, kutowanyanyasa opposition nk ila bila kupepesa macho watu wengi hawana imani na usimamizi bora wa pesa ambazo nyingi tutazilipa wenyewe kwa kodi zetu.

4. Sisi wananchi mikataba ya kimya kimya hatuitaki kwani tunao uzoefu wa miaka mingi wa kuingizwa chaka, mikataba ya mh Makamba LNG , sijui upepo na ya kule uarabuni bado hatuko comfortable nayo ukilinganisha na Tembo nickel, bomba la mafuta etc ambayo tuliambiwa kilichomo kwani hata huko mbele si rahisi kulaumiana in case anything goes wrong in future.

Naamini serikali inatusikiliza wadau ndo maana imeonyesha kuwa makini kule bagamoyo na kwa ndugu zetu wamasai. Na naiagiza isinune maana kazi yetu ni kuieleza ya kwetu na kisemeo chetu ndo hiki na kazi yetu si kuiimbia mapambio bali kuikosoa tunapoona haiko.sawa.
Umenena !! Mama aelewe wanaokosoa kwa staha ndio wanaomsaidia sio wale wanaomwimbia mapambio !! Ni sahihi Mheshimiwa Rais kujionyesha kwamba yeye ni muungwana lakini anatakiwa pia aonyeshe kwamba yeye ni mkali sana linapokuja suala la ubadhirifu au wizi wa mali za Umma !!
 
Kinachohitajika ni mfumo imara sio sauti kali za kufoka foka, kuendesha serikali ni tofauti kabisa na kuendesha biashara binafsi.
 
Watu wanamchukia na kumdharau kwa sababu hatatui changamoto, na kibaya sababu za kwa mfano kupanda vitu bei hazina ukweli kwa sababu mfano alilazimisha chanjo ya COVID-19 wakati sisi COVID-19 tulikuwa tumeshaiepuka kwa kusali na hapakuwa na tatizo, yeye akaja na mikopo. Kwa ufupi Raid Samia yeye ndiye kajichongea na hasa anapodhihaki matendo ya Dkt Magufuli ambapo pia yeye alikuwa sehemu ya hiyo serikali. Kwa ujumla hana uhalali wa kukemea jambo la awamu ya 5 zaidi ya kuunga mkono ili wengi wafaidike. Sasa hivi masikini wanaisoma namba na ndilo kundi linalomchukia sana
 
Mimi nawaomba tu msiendelee kumwita mama ni Rais huyo jamani.
 
.Binafsi nafarijika kuona nyuzi za ukosoaji wa serikali yetu kwani mitandao ndo kisemeo chetu wanyonge.
.nami niengeze sauti yangu kwa wakosoaji kama ifuatavyo

1. Wengi wanaonyesha kukerwa na sauti iliyokosa mamlaka pindi yanapobainika makosa mahala kwani mara nyingi tumeshazoeshwa kwa kuambiwa kuwa tutaliangalia hili, oooh tutaona la kufanya nk.

2. Nami ninakuwa agitated ninapozisikia kauli kama hizi mfano kwa position yake mkuu wa nchi ni kosa la karne .kwa mfano kwenye mradi kuonyesha assumption na kubariki wizi usioathiri ubora wa mradi. Nilikuwa shocked pale mama alipozindua mradi wa jengo mbeya ,na kusema hata kama mkuu wa mkoa kafanya manoeuvre kwenye mchakato alikuwa happy kwani haijaathiri ubora wa mradi. What a statement ? Mama anapaswa ku promote 100% cleanliness ya watu aliowaamini kutuhudumia kwani tunawalipa na hawajitolei hadi waibe kwenye miradi yetu.

3. Kuna mambo mengi serikali iko vizuri , mfano ku promote kilimo , kitoa pesa za miradi, kutowanyanyasa opposition nk ila bila kupepesa macho watu wengi hawana imani na usimamizi bora wa pesa ambazo nyingi tutazilipa wenyewe kwa kodi zetu.

4. Sisi wananchi mikataba ya kimya kimya hatuitaki kwani tunao uzoefu wa miaka mingi wa kuingizwa chaka, mikataba ya mh Makamba LNG , sijui upepo na ya kule uarabuni bado hatuko comfortable nayo ukilinganisha na Tembo nickel, bomba la mafuta etc ambayo tuliambiwa kilichomo kwani hata huko mbele si rahisi kulaumiana in case anything goes wrong in future.

Naamini serikali inatusikiliza wadau ndo maana imeonyesha kuwa makini kule bagamoyo na kwa ndugu zetu wamasai. Na naiagiza isinune maana kazi yetu ni kuieleza ya kwetu na kisemeo chetu ndo hiki na kazi yetu si kuiimbia mapambio bali kuikosoa tunapoona haiko.sawa.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ni muislamu hivyo lazima asifiwe
 
Watu wanamchukia na kumdharau kwa sababu hatatui changamoto, na kibaya sababu za kwa mfano kupanda vitu bei hazina ukweli kwa sababu mfano alilazimisha chanjo ya COVID-19 wakati sisi COVID-19 tulikuwa tumeshaiepuka kwa kusali na hapakuwa na tatizo, yeye akaja na mikopo. Kwa ufupi Raid Samia yeye ndiye kajichongea na hasa anapodhihaki matendo ya Dkt Magufuli ambapo pia yeye alikuwa sehemu ya hiyo serikali. Kwa ujumla hana uhalali wa kukemea jambo la awamu ya 5 zaidi ya kuunga mkono ili wengi wafaidike. Sasa hivi masikini wanaisoma namba na ndilo kundi linalomchukia sana
Ukweli system yetu ni mbovu sn, huwezi kuwa na Rais wa namna hii
 
.Binafsi nafarijika kuona nyuzi za ukosoaji wa serikali yetu kwani mitandao ndo kisemeo chetu wanyonge.
.nami niengeze sauti yangu kwa wakosoaji kama ifuatavyo

1. Wengi wanaonyesha kukerwa na sauti iliyokosa mamlaka pindi yanapobainika makosa mahala kwani mara nyingi tumeshazoeshwa kwa kuambiwa kuwa tutaliangalia hili, oooh tutaona la kufanya nk.

2. Nami ninakuwa agitated ninapozisikia kauli kama hizi mfano kwa position yake mkuu wa nchi ni kosa la karne .kwa mfano kwenye mradi kuonyesha assumption na kubariki wizi usioathiri ubora wa mradi. Nilikuwa shocked pale mama alipozindua mradi wa jengo mbeya ,na kusema hata kama mkuu wa mkoa kafanya manoeuvre kwenye mchakato alikuwa happy kwani haijaathiri ubora wa mradi. What a statement ? Mama anapaswa ku promote 100% cleanliness ya watu aliowaamini kutuhudumia kwani tunawalipa na hawajitolei hadi waibe kwenye miradi yetu.

3. Kuna mambo mengi serikali iko vizuri , mfano ku promote kilimo , kitoa pesa za miradi, kutowanyanyasa opposition nk ila bila kupepesa macho watu wengi hawana imani na usimamizi bora wa pesa ambazo nyingi tutazilipa wenyewe kwa kodi zetu.

4. Sisi wananchi mikataba ya kimya kimya hatuitaki kwani tunao uzoefu wa miaka mingi wa kuingizwa chaka, mikataba ya mh Makamba LNG , sijui upepo na ya kule uarabuni bado hatuko comfortable nayo ukilinganisha na Tembo nickel, bomba la mafuta etc ambayo tuliambiwa kilichomo kwani hata huko mbele si rahisi kulaumiana in case anything goes wrong in future.

Naamini serikali inatusikiliza wadau ndo maana imeonyesha kuwa makini kule bagamoyo na kwa ndugu zetu wamasai. Na naiagiza isinune maana kazi yetu ni kuieleza ya kwetu na kisemeo chetu ndo hiki na kazi yetu si kuiimbia mapambio bali kuikosoa tunapoona haiko.sawa.
Kama sauti imekosa mamlaka wewe akiongea tuu msitekeleze ndio mtajua ina mamlaka au haina..

Alishaongea mara nyingi hana mda wa kufokea watu wazima na alishasema mara kadhaa kwamba Kuna wanaume walitaka wajue rangi yake na akawaonyesha..

Subirieni mataahira wengine waje kudhalilisha wenzao ndio mkate viumo ila hilo halitatokea kwa SSH..

Mwisho hadi dakika hii keshawafunika wenye kende wazee wa legacy.
 
Ukweli system yetu ni mbovu sn, huwezi kuwa na Rais wa namna hii
Kabisa, mfumo wetu na katiba inahitaji rais mwenye kuelewa anataka nini toka kwa wateule wake, hasa kwenye uchumi. Mama kwenye uchumi hana waziri ila ana mfano wa waziri. Haiwezekani kabisa mfumuko wa bei uwe zaidi ya 100% halafu eti kwa sababu ya vita. Ina maana COVID-19 ingemkuta yeye angeamrisha lockdown na watu wangekufa mno. Sijui kwa nini hajifunzi kwa Dkt Mpango na Dkt Ashatu? Maana kama kuondoka kwenye mfumo ni mmoja tu Dkt Magufuli, sasa inakuwaje Rais aruhusu mfumuko wa bei kiasi hicho? Yaani Ningekuwa mi Rais Samia ningemuondoa haraka sana Dkt Mwigulu, ningemuweka Dkt Ashatu haraka.
 
Back
Top Bottom