Lucas mwashambwa Hivi ndo wana ccm og huwa wanapost,ww bado unaishi zama za magu za kudhan wapinzani ni adui zetu .watu hawana jeshi wanazuiaje juhudi za mama ???? Sasa hivi ccm inafanya siasa z kisayansi kujikosoa kila siku kurudisha imani aliyotupotlezea mwendazake na magenge yake ,Mama sasa hivi yupo vikao vya usuluhishi na vyama vya upinzani ,hata kupoa kwao Sugu alijibu ni Mama kaonesha nia isiyo shaka .Leo mama anahudhuria tamasha la sugu,anamwalika mbowe na wanacheka kama watanzania ,ww from no where unaturudisha kutekana,kuua watu wenye maoni tofauti na sisi, kaka hakuna nchi duniani iliwahi endelea bila upinzani imara .Ili kuwa madarakani
1.Ccm izifanyie kazi report za can kwa ukali haraka iliwemo kupeleka watu mahakamani
2.isimamie pesa za maendeleo vyema
3.Iongeze matumizi bora ya fedha za umma
-iangalie uwezekano wa kupunguza matumizi ya ununuzi magari
-iboreshe mifumo ya tecnohama vikao vya mkuu wa wilaya mfano kibondo na mkuu wa mkoa kigoma cruiser 3 zinatembea Km 400 posho si chini ya mil 3 .wakati wakifanya conference meeting inahitajika bando la elfu 30 tu kikao cha siku nzima .
-Nafasi za kisiasa kupinguziwa Mapato hii itapelekea kuwatoa kujioendekeza na kugombanisha ,kufitinisha siasa na wanasiasa kupata teuzi ,maana kilimo kitaonekana kinalipa kuliko ubunge .mtu ni Dr Bingwa muhimbili analipwa mil 3 afu mtu mtoto wa mjini anavihela vya kuuza unga ameishia la saba anahonga anakuwa mbunge analipwa mil8 .Dr anafanya operation ya moyo siku nzima halipwi posho na amepanga mwenyewe.mbunge anapewa nyumba maji umeme na ulinzi bure kwa kwenda bungen masaa machache anapewa 300k