Mkuu sina shida ndogo ndogo ila acha wivu wa kiseee mpaka mtoto wa kike unamwonea wivu?Umekazana Hana sida ndogondogo hamia kwake basi ukaishi nae. Mwanaume mzima unabaki kusifia wanawake tu fanya kazi na wewe usiwe na shida ndondogo
Hana mvuto wwte ni jeupe jeupe tuJarida kubwa huko Nigeria limemtaja Tuerny kama mwanamke mwenye mvuto zaidi nchini Tanzania na kwa africa akiwa namba 7 yaani yupo top 10. Hivo kwa sasa mrembo mwenye mvuto na muonekano wake TZ kwa sasa ni Tuerny hilo halina ubishi ukibisha utakuwa mchawi! Tuerny ana masters ya Accounting pamoja na CPA alipata huko oxford UINGEREZA. Vigezo vilivotumika ni elimu, umbo la sura, umbo la mwili, assets alizonazo na demand ya soko kwa sasa! N.B tuerny ana miliki kampuni ya madini akishirikiana na wasouth africa wawili, pia anajishughulisha na stock market! Anamiliki nyumba 3 moja ikiwa masaki dar. Pia ni philanthropist mzuri akiwa ameshatoa misaada ya takribani milioni 500 za kitanzania! Hana shida ndogo ndogo!
View attachment 2194947
View attachment 2194948
View attachment 2194949
Mkuu huyo "wife" wako ako na hivyo vigezo vya elimu na assets pia? Hapo ndipo panakomoa wadada wengi. Wadada wako wengi sana warembo kupindukia lakini bongo lala ama hawakufanikiwa kwenda oxfodi.Mbona wa kawaida sana tu ...
Huyu hata wife wangu anampiga chini mala 100
Bure kabisa
MBONA TUERNY haya asante chawa wa Tuerny kwa habariJarida kubwa huko Nigeria limemtaja Tuerny kama mwanamke mwenye mvuto zaidi nchini Tanzania na kwa africa akiwa namba 7 yaani yupo top 10. Hivo kwa sasa mrembo mwenye mvuto na muonekano wake TZ kwa sasa ni Tuerny hilo halina ubishi ukibisha utakuwa mchawi! Tuerny ana masters ya Accounting pamoja na CPA alipata huko oxford UINGEREZA. Vigezo vilivotumika ni elimu, umbo la sura, umbo la mwili, assets alizonazo na demand ya soko kwa sasa! N.B tuerny ana miliki kampuni ya madini akishirikiana na wasouth africa wawili, pia anajishughulisha na stock market! Anamiliki nyumba 3 moja ikiwa masaki dar. Pia ni philanthropist mzuri akiwa ameshatoa misaada ya takribani milioni 500 za kitanzania! Hana shida ndogo ndogo!
View attachment 2194947
View attachment 2194948
View attachment 2194949
Duh okTuerny na sanchoka na watu wawili tofauti!
Wewe utajiri wake unakuhusu nini?! Au wewe ni mnufaika wa utajiri wake!!!Mkuu kafuatilie vizuri ndio utajua Tuerny is damn rich!