Tuerny atajwa kama mwanamke mwenye mvuto zaidi Tanzania!

Tuerny atajwa kama mwanamke mwenye mvuto zaidi Tanzania!

Umekazana Hana sida ndogondogo hamia kwake basi ukaishi nae. Mwanaume mzima unabaki kusifia wanawake tu fanya kazi na wewe usiwe na shida ndondogo
Mkuu sina shida ndogo ndogo ila acha wivu wa kiseee mpaka mtoto wa kike unamwonea wivu?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Jarida kubwa huko Nigeria limemtaja Tuerny kama mwanamke mwenye mvuto zaidi nchini Tanzania na kwa africa akiwa namba 7 yaani yupo top 10. Hivo kwa sasa mrembo mwenye mvuto na muonekano wake TZ kwa sasa ni Tuerny hilo halina ubishi ukibisha utakuwa mchawi! Tuerny ana masters ya Accounting pamoja na CPA alipata huko oxford UINGEREZA. Vigezo vilivotumika ni elimu, umbo la sura, umbo la mwili, assets alizonazo na demand ya soko kwa sasa! N.B tuerny ana miliki kampuni ya madini akishirikiana na wasouth africa wawili, pia anajishughulisha na stock market! Anamiliki nyumba 3 moja ikiwa masaki dar. Pia ni philanthropist mzuri akiwa ameshatoa misaada ya takribani milioni 500 za kitanzania! Hana shida ndogo ndogo!

View attachment 2194947

View attachment 2194948

View attachment 2194949
Hana mvuto wwte ni jeupe jeupe tu
 
Mbona wa kawaida sana tu ...
Huyu hata wife wangu anampiga chini mala 100
Bure kabisa
Mkuu huyo "wife" wako ako na hivyo vigezo vya elimu na assets pia? Hapo ndipo panakomoa wadada wengi. Wadada wako wengi sana warembo kupindukia lakini bongo lala ama hawakufanikiwa kwenda oxfodi.
 
Hv huyu ndy sanchoka au

Ova
Screenshot_20220509-085502.jpg
 
Huyu hela yako kumla
Naona anajinadi kujifanya
Expensive,sjui kunitoa out
Gharama blhblh
Kmbe ndiyo anajivutia uzi
Soko lake

Ova
 
Jarida kubwa huko Nigeria limemtaja Tuerny kama mwanamke mwenye mvuto zaidi nchini Tanzania na kwa africa akiwa namba 7 yaani yupo top 10. Hivo kwa sasa mrembo mwenye mvuto na muonekano wake TZ kwa sasa ni Tuerny hilo halina ubishi ukibisha utakuwa mchawi! Tuerny ana masters ya Accounting pamoja na CPA alipata huko oxford UINGEREZA. Vigezo vilivotumika ni elimu, umbo la sura, umbo la mwili, assets alizonazo na demand ya soko kwa sasa! N.B tuerny ana miliki kampuni ya madini akishirikiana na wasouth africa wawili, pia anajishughulisha na stock market! Anamiliki nyumba 3 moja ikiwa masaki dar. Pia ni philanthropist mzuri akiwa ameshatoa misaada ya takribani milioni 500 za kitanzania! Hana shida ndogo ndogo!

View attachment 2194947

View attachment 2194948

View attachment 2194949
MBONA TUERNY haya asante chawa wa Tuerny kwa habari
 
Huyu hela yako kumla
Naona anajinadi kujifanya
Expensive,sjui kunitoa out
Gharama blhblh
Kmbe ndiyo anajivutia uzi
Soko lake

Ova
Tuerny na sanchoka na watu wawili tofauti!
 
Duh ok
Wamefanana

Maana nlishanga,sanchoka naona muda amekuwa hajiweki mitandaoni
Sjui kpata mme teh teh

Ova
Ndio ana mume kaolewa saiv ni mchaga wa Kilimanjaro
 
Uzi mzurii..ahsante Mkuu Poker kwa taarifa..ubarikiwe
 
Mkuu Poker ongezea picha zake naona wadau hawajamuona vizuri
 
Back
Top Bottom